Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WACHEZAJI 9 KUWASILISHA UTETEZI KWA KUMPIGA MWAMUZI

Wachezaji tisa wa Kanembwa JKT pamoja na timu yao wanaolalamikiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kumpiga mwamuzi Peter Mujaya wanatakiwa kujitetea mbele ya Kamati ya Nidhamu itakayokutana Jumapili (Februari 9 mwaka huu). Utetezi huo unaweza kuwa wa mdomo kwa walalamikiwa kufika wenyewe mbele ya kamati itakayokutana saa 4 kamili asubuhi au kuuwasilisha kwa njia ya maandishi. Kamati ilikutana jana Jumatano...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TFF YAWAKA WACHEZAJI 9 WA KANEMBWA JKT KUWASILISHA UTETEZI

Wachezaji tisa wa Kanembwa JKT pamoja na timu yao wanaolalamikiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kumpiga mwamuzi Peter Mujaya wanatakiwa kujitetea mbele ya Kamati ya Nidhamu itakayokutana Jumapili (Februari 9 mwaka huu).  Utetezi huo unaweza kuwa wa mdomo kwa walalamikiwa kufika wenyewe mbele ya kamati itakayokutana saa 4 kamili asubuhi au kuuwasilisha kwa njia ya maandishi.  Kamati ilikutana jana Jumatano (Februari 5 mwaka huu) kusikiliza malalamiko dhidi ya wachezaji...

 

9 years ago

Raia Mwema

Utetezi wangu kwa Lowassa

JANUARI 2007 nilihamia Dar es Salaam, nikishughulika karibu na Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro

Joseph Magata

 

10 years ago

Habarileo

20 mbaroni kwa kumpiga askari polisi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo.WATU 20 wamekamatwa na Polisi baada ya kumjeruhi askari aliyekuwa doria. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo alisema watu hao 20 wanatuhumiwa kumpiga na kitu butu kichwani Askari Polisi mwenye namba F 3328 Cpl Ramadhani akiwa kwenye doria na mwenzake.

 

11 years ago

Mwananchi

Hakimu mbaroni kwa kumpiga mtu risasi

Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Maromboso jijini Arusha, Denis Shayo (45) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumjeruhi kwa risasi, Yusufu Mukhtar (37) Mtanzania mwenye asili ya Asia, mkazi wa Majengo Sokoni jijini hapa.

 

10 years ago

GPL

MOROGORO: 20 MBARONI KWA KUMPIGA ASKARI POLISI

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Leonard Paul . WATU 20 wamekamatwa na Polisi baada ya kumjeruhi askari aliyekuwa doria. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo alisema watu hao 20 wanatuhumiwa kumpiga na kitu butu kichwani Askari Polisi mwenye namba F 3328 Cpl Ramadhani akiwa kwenye doria na mwenzake. Pia kamanda huyo alisema Polisi inamshikilia mkazi wa Mawenzi mjini hapa, Dikanyo Ramadhani (29) kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Amuua mwanawe kwa kumpiga nyundo kichwani

MCHINJA nguruwe katika Kitongoji cha Sokoni Mji mdogo wa Sirari, Tarime Ezekiel Magige (39) amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime baada ya kupigwa mawe na wananchi wenye hasira kali.

 

11 years ago

GPL

JUSTIN BIEBER ASHTAKIWA KWA KUMPIGA DEREVA

Justin Bieber akifikishwa katika kituo cha polisi cha Toronto.
MWANAMUZIKI mahiri wa muziki wa Pop kutoka Canada, Justin Bieber amefunguliwa mashtaka kwa kumpiga dereva wa gari la kifahari la kukodisha mwezi Desemba mwaka jana. Bieber mwenye umri wa miaka 19 alikaribishwa katika kituo cha polisi cha Toronto na kikosi kikubwa cha wapiga picha za televisheni pamoja na mashabiki wake. Amefunguliwa mashtaka ikiwa ni ndani ya...

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kumpiga mkewe ngumi, makofi

MKAZI wa mtaa wa Ohio, George Kanyama (68) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kumshambulia mke wake kwa kumpiga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani