Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara kukutana leo

MKUTANO mkuu wa kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili wafanyabiashara ukiwamo mfumo mbaya wa uendeshaji biashara nchini unafanyika leo jijini Dar es Salaam. Katibu wa Umoja wa Wafanyabiashara Kariakoo, Sued Chemchem, alisema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA ZAIDI YA 600 SOKO LA SHEKILANGO JIJINI DAR WAOMBA KUKUTANA NA MKURUGENZI MANISPAA YA UBUNGO

*Ni baada ya kupewa tangazo linalowataka kuondoka eneo hilo ndani ya siku 14


Na Said Mwishehe,Michuzi TV

WAFANYABIASHARA zaidi ya 600 waliopo kwenye Soko la Shekilango jijini Dar es Salaam ambao wamepewa siku 14 na Manispaa ya Ubungo kuondoa sokoni hapo ikiwa pamoja na kubomoa vibanda vyao wamesema hawapo tayari kuondoka lakini wanaomba kukutana na Mkurugenzi wa manispaa hiyo ili wazungunze kwa lengo la kupata muafaka.

Wamesema wameshangazwa kuona wanapelekewa tangazo la kutakiwa kuondoka bila...

 

10 years ago

Mwananchi

TCD, JK kukutana leo Dodoma

Masikio ya Watanzania leo yanaelekezwa mjini hapa kusikia kile ambacho Rais Jakaya Kikwete alisema ni hatima ya mchakato wa Katiba, atakapokutana na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake 250 kukutana leo

MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete leo anaongoza wanawake zaidi ya 250 kutoka kada mbalimbali katika kuangalia mafanikio ya ukombozi wa mwanamke nchini kiuchumi na kijamii.

 

10 years ago

Habarileo

Bunge kuanza kukutana leo

MIKUTANO wa 16 na 17 ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanza mjini Dodoma leo hadi Novemba 4 hadi 28 mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Bunge kuendelea kukutana leo

MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge, unaendelea leo ambao pamoja na mambo mengine, Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu fedha za akaunti ya Escrow, zinatarajiwa kukabidhiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa kukutana Yemen Leo

Umoja wa mataifa unatarajia kukutata nchini Yemen leo kwa mazungumzo ya Amani. Kuna wasiwasi huenda yakasitishwa kama kikundi cha waasi kijulikanacho kwa jina la Houth kitachelewa kuwasili katika mkutano huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati Kuu CCM kukutana leo

Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi inakutana leo kwa ajili ya kupitisha jina la mgombea wa chama hicho kwa nafasi ya uwakilishi wa Jimbo la Kiembe samaki.

 

11 years ago

GPL

PINDA KUKUTANA NA SURPRISE LEO DODOMA

Stori: Ojuku Abraham
WAZIRI Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda leo atakutana na ‘surprise’ ya aina yake, wakati atakapokabidhi tuzo kwa mwanamke bora wa mwaka, ambaye hadi sasa bado hajafahamika ni nani kati ya wanawake wanne mahiri nchini, itakayofanyika katika Ukumbi wa The African Dream, Dodoma. Wanawake hao ambao mmoja wao ataibuka kinara na kuondoka na Tuzo na zawadi maalum ni pamoja na Dk. Maria Kam, Dk. Asha Rose...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani