Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafuasi 17 wa Chadema kortini kwa kutotii amri

WATU 17 wakiwemo viongozi watatu na wafuasi 14 wa Chadema mkoa wa Katavi wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kufanya maandamano mjini Mpanda kinyume cha sheria, wamenyimwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Mpanda.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAFUASI na viongozi 27 wa CHADEMA wamefikishwa kortini wakikabiliwa na mashtaka saba

Na Karama Kenyunko, globu ya jamii.

WAFUASI na viongozi 27 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),  wamefikishwa Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka saba yakiwemo ya kutoa maneno ya maudhi kwa askari magereza na kuharibu geti la gereza la Segerea.

Hata hivyo ni washtakiwa 15 tu ndio wamesomewa mashtaka yao leo Machi 23,2020. Hata hivyo upande wa mashtaka umeomba hati ya wito kwa washtakiwa 12 ambao hawakuwepo leo mbele ya mahakama kujibu mashtaka yao ili...

 

9 years ago

Mwananchi

Kortini kwa kutumia majina ya CCM, Chadema

Watu watatu wamefikishwa Mahakama ya Mkoa wa Mwanza wakikabiliwa na mashtaka ya wizi wa kimtandao na kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu.

 

10 years ago

Michuzi

CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakutana Zanzibar Januari 13, kwa kikao cha kawaida cha siku moja chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete. 
Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAFUASI 60 WA CHADEMA AKIWEMO MGOMBEA UBUNGE MCHUNGAJI MSIGWA MATATANI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA MAWE MKUU WA FFU NA WANANCHI WALIOKUWA WAKITOKA KUMSIKILIZA DR MAGUFULI .....

 Aliyekuwa  mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akishuka katika gari la  polisi  baada ya  kufikishwa mahakamani  wakati wa vurugu za machingaji  eneo la mashine tatu  mjini Iringa mwaka  jana(picha na maktaba ya matukiodaima)
Na MatukiodaimaBlogJESHI  la polisi kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mkoani  Iringa watumia mabomu ya machozi kuwakamata wafuasi  zaidi ya 60  wa  chama  cha  Demokrasia  na maendeleo (chadema ) akiwemo mgombea  ubunge wao  jimbo la  Iringa...

 

11 years ago

Habarileo

Chadema wasalimu amri Arusha

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman MboweKAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka madiwani wa Mkoa wa Arusha kuhudhuria vikao vya madiwani walivyokuwa wamesusia kwa miaka kadhaa.

 

10 years ago

Habarileo

Wafuasi wa Chadema mbaroni

WATU wawili wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Goodluck Hamandi (26), mkazi wa Mtoni na Fulgence Shayo (18) mkazi wa Mazimbu katika Manispaa ya Morogoro mkoani hapa, wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kufanya fujo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafuasi wa Chadema kizimbani Dar

Wafuasi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ) waliokamatwa ndani ya ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Polisi juzi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafuasi Chadema wapunguziwa mashtaka

Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imewafutia wafuasi watatu wa Chadema mashtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.

 

11 years ago

Habarileo

Wafuasi wa Chadema wapata dhamana

WAFUASI watatu wa Chadema wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kuingia katika Makao Makuu ya Jeshi hilo kinyume cha sheria, wamepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani