Wagundua tiba ya Ukimwi
Wakati dunia ikiwa na zaidi ya watu 34 milioni wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), madaktari nchini Hispania wametangaza kugundua tiba ya ugonjwa huo wanayodai ni uhakika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii24 Jul
Tiba na kinga ya UKIMWI zinakuja
WATAFITI katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba cha Temple, Marekani wamegundua dawa ya kuangamiza Virusi Vya Ukimwi (VVU) ambayo ni ya uhakika zaidi ukilinganisha na zilizowahi kupatikana katika tafiti za awali duniani.
Dawa yao inaweza kutumika kwa tiba ya wanaoishi na VVU na kinga kwa wale ambao bado hawajaambukizwa.
Mmoja wa watafiti hao, Dk Kamel Khalili aliwaambia waandishi wa habari mjini Philadelphia, Marekani kuwa tofauti na utafiti mwingine, wao wamegundua namna ya kukiondoa kirusi...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Tiba, kinga ya Ukimwi vyanukia
>Watafiti katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba cha Temple, Marekani wamegundua dawa ya kuangamiza Virusi Vya Ukimwi (VVU) ambayo ni ya uhakika zaidi ukilinganisha na zilizowahi kupatikana katika tafiti za awali duniani.
9 years ago
StarTV15 Aug
Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.
Ongezeko la ugonjwa wa Malaria na U.T.I kwa wananchi wanaoishi vijijini na idadi ndogo ya madaktari nchini ni baadhi ya sababu zinazochangia kwa kiasi kikubwa wagonjwa wengi kukimbilia kwa waganga wa tiba za jadi kupata matibabu licha ya magonjwa hayo kuwa na tiba za uhakika Hospitali na kwenye vituo vya Afya.
Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.
Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
TIBA MBADALA: Kunywa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi
>Kuna tiba nyingi za kitabibu, zilizogawanyikaa katika makundi mbalimbali. Kuna zile za hospitali ambazo ni lazima zinunuliwe, lakini kuna tiba ambazo kwa ushauri wa daktari hata wewe unaweza kuziandaa bila kutumia gharama kubwa.
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Profesa Rogassian Mahunnah. Kutoka kushoto ni Kaimu Msajili wa tiba Asili Mboni Bakari, Mwenyekiti, Profesa Rogassian Mahunnah na Mfamasia Lucy Samweli. BARAZA hilo limesema halitambui vipindi na matangazo yote ya tiba asili na tiba mbadala yanayoendelea kwa sasa kwenye vyombo vya habari… ...
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Polisi wagundua bomu jingine
Polisi nchini Misri wameleezea bomu lililo lipua basi la abiria na pia wagundua bomu jingine lililotegwa eneo la karibu
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Wagundua sumu ya kuua VVU mwilini
Timu ya Watafiti katika Chuo Kikuu cha North Carolina nchini Marekani, wamegundua aina ya sumu ambayo ina uwezo wa kuua seli ambazo zimekwishaathiriwa na Virusi Vya Ukimwi (VVU).
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wRhC4Yf1PwI/VUJC5-FZd7I/AAAAAAAHUVc/OaU_CTTl76I/s72-c/DSC_0239.jpeg)
SUNNRGY WAGUNDUA KIFAA KINACHOTUMIA MIONZI YA JUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wRhC4Yf1PwI/VUJC5-FZd7I/AAAAAAAHUVc/OaU_CTTl76I/s1600/DSC_0239.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mjDAMq7mGRc/VUJC3iwPTTI/AAAAAAAHUVU/ca1YGgOIBl0/s1600/DSC_0275.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ijoe9sdPsGc/VUJC_xcnLwI/AAAAAAAHUVs/x-Msk0DXd0s/s1600/DSC_0302.jpeg)
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Sokwe wagundua kifaa cha kunywa maji
Watafiti wamegundua kifaa kipya kinachotumiwa na idadi kubwa ya masokwe kunywa maji .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania