Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahitimu ITA kuziba pengo TRA

Kati ya wahitimu 146 wa kozi za kodi za forodha na za ndani kutoka Chuo cha Usimamizi wa Kodi nchini (ITA), wataziba nafasi ya watumishi 36 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) waliosimamishwa kazi na Rais John Magufuli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Simba kusajili wachezaji kuziba pengo

Katika kile kinachoonekana ni kuweka mikakati ili kuchukua ubingwa msimu ujao, wekundu wa Msimbazi.

 

5 years ago

Bongo5

Mchungaji Lwakatare azungumzia kuziba pengo la Sophia Simba

Mchungaji wa kanisa la Assemblies Of God maarufu kama ‘Mlima wa moto’ Dk Getrude Lakwatare, lililopo Mikocheni B, amemshukuru Rais Dk. John Magufuli kwa kumkumbuka na kumteua katika nafasi ya ubunge wa Viti Maalumu.

Mama Lwakatare alitoa shukrani hizo wakati wa Ibada ya Pasaka katika kanisa hilo.

“Tunasherehekea kumbukumbu ya kufufuka kwa mwokozi wetu Yesu ambaye alitufia pale msalabani. Pasaka ya mwaka huu ni yangu, Mungu ameniona. “Nina furaha ya mwili na roho kwa sababu Yesu amefufuka...

 

10 years ago

GPL

MBRAZIL EMERSON KUZIBA PENGO LILILOACHWA NA JAJA ALIYEKATISHA MKATABA NA YANGA

Geilson Santana Santos ‘Jaja’. KLABU ya Yanga inatarajia kumsajili kiungo mkabaji mpya kutoka Brazil Emerson De Oliveira Neves Rouqe kuziba nafasi hiyo iliyoachwa na mshambuliaji Geilson Santana Santos ‘Jaja’ aliyekatisha mkataba wake na klabu hiyo kutokana na kukabiliwa na matatizo ya kifamilia. Jaja akishangilia bao lake alilofunga kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya Yanga na Thika...

 

5 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BODI YA TRA WAIPONGEZA ITA

CHUO cha Kodi (ITA) kimeshauriwa kupanua wigo wa kutoa mafunzo ya utawala na uongozi katika taasisi na mashirika pamoja na wadau wengine ili wananchi wengi waipate elimu hiyo ambayo ni muhimu kwa viongozi.

Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dr. Suleiman Missango wakati akifunga mafunzo ya uongozi na utawala kwa wajumbe na wakuu wa idara za TRA ambayo yaliyotolewa na Chuo cha Kodi na kufanyika jijini Dododma kwa siku tatu.
“Tumekuwa...

 

9 years ago

TheCitizen

WINNING LEADERSHIP : No, it’s not your title at all; It’s all about you

“I want be my own person” is a very common desire. I truly believe that sometimes people just say they want that which they don’t have but on the slightest possibility that it could come to be, they shy away. I am not going to give you that tired “you are your own enemy” line. Well, not today.

 

11 years ago

GPL

KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

Kuziba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke ni tatizo kubwa na ndiyo linaloongoza kusababisha ugumba kwa mwanamke ingawa hata matatizo ya vichecheo au homoni pia huchangia.Wanawake wengi wanaohangaika kutafuta watoto hugundulika na tatizo la mirija kuziba.
Matatizo ya mirija ya uzazi kwa wanawake yapo wengi, mfano mirija inaweza kuvimba na kupoteza uhalisia hivyo kushindwa kutungisha mimba. Mirija inaweza kujaa usaha au maji....

 

10 years ago

Raia Tanzania

Olunga kuziba nafasi ya Sherman

MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga ametajwa kuingia kwenye rada za kujiunga na mabingwa watetezi wa ligi kuu, Yanga ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Kpah Sherman wa Liberia ambaye yuko mbioni kusajiliwa na Mpumalanga FC  ya Afrika Kusini.

Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, mmoja wa viongozi wa bechi la ufundi alisema kocha wao mkuu Hans Van Pluijm anamtaka mshambuliaji huyo kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao.

Kiongozi huyo ambaye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni ya Dandho yalalamikiwa kuziba barabara

WAKAZI wa Mtaa wa Usalama, Kata ya Sandali, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, wanailalamikia Kampuni ya Dandho inayosafirisha mizigo na mafuta ndani na nje ya nchi kwa kugeuza eneo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alikiba: Diamond hawezi kuziba nafasi yangu

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, amesema msanii mwenzake wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ hawezi kuziba nafasi yake. Kauli hiyo ya Alikiba imekuja baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani