Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waishio mipakani waahidiwa neema

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli ameahidi kuimarisha biashara baina ya Kenya na Tanzania ili wananchi wa mipakani wanufaike na biashara hizo na kutatua kero zao, ikiwemo ukosefu mkubwa wa maji katika mji wa Tarakea, huku akiahidi kuondoa ushuru kwa biashara ndogo za mipakani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara waahidiwa mikataba

Mgombea udiwani katika Kata ya Ngokolo kupitia CCM, Emmanuel Mlimandago ameahidi kuwa akichaguliwa katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika nchini Oktoba 25, atahakikisha Manispaa ya Shinyanga inatoa mikataba kwa wafanyabiashara wa Soko la Majengo Mapya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfuko wa Ebola waahidiwa Afrika

Makampuni na wafanyabiashara waahidi kusaidia nchi zilizoathirika na Ebola

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Ilolo waahidiwa kujengewa mradi wa maji

 

Changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji inayowakabili wakazi wa wilaya ya Kilolo mkoani Iringa imetajwa kubaki katika historia baada ya kuahidiwa ujenzi wa mradi mkubwa utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni mbili.

Kwa muda mrefu sasa, wakazi wa Jimbo la Kilolo hutumia muda mwingi kuipata huduma ya maji.

 

Ni hali ya kawaida kuiona mara tu ufikapo Ilula na katika vijiji mbalimbali vilivyopo katika Wilaya ya Kilolo, shida ni namna ya  upatikanaji wa huduma ya maji na kusababisha wakazi...

 

11 years ago

Michuzi

KIKUNDI CHA WAFUGAJI WA NG'OMBE WA KISASA WAAHIDIWA MKOPO NA COVENANT BENKI

   Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya  Covenant  Bi.Sabetha Mwambenja  akitoa mfano wa  beiskali   wakati alipokuwa akiongea na kikundi cha wafugaji Ng’ombe  wa kisasa cha Kata ya Somangila Kigamboni jijini Dar es Salaam, kuhusiana na mradi huo.Benki hiyo inategemea kutoa  mkopo kwa kikundi hicho ili waweze kuendeleza ufugaji huo. Kulia ni Mratibu wa Wafugaji wa Ng’ombe  wa Kata ya hiyo  Getruda Mpelembe  na katikati ni  mtunza Hazina wa Kikundi hicho Jumanne Hussen na Kushoto ni Mwenyekiti ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Foleni za magari mipakani

Kwa wafanyabiashara wanaosafiri katika nchi mbalimbali barani Afrika, ni kawaida kuona misururu mirefu katika mipaka ya nchi, huku baadhi ya maeneo, foleni hizo husalia hata kwa wiki kadhaa.

 

10 years ago

Habarileo

Ebola kudhibitiwa mipakani

MAOFISA wa idara mbalimbali za Serikali zikiwemo za Uhamiaji, Polisi na Usalama wa Taifa kwa nchi za Tanzania na Kenya wameweka mikakati ya pamoja katika mipaka ya Isebania na Sirari katika kudhibiti wageni ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.

Bw Kisasi mwenyekiti wa jumuiya ya Watanzania waishio Botswana akitoa hotuba ya kumkaribisha mgeni rasmi. Bi Rosemary Chambe Jairo Mkurugenzi kutoka wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa anaeshughulikia dawati la diaspora akifungua rasmi mkutano huo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Vifaa vya ebola kufungwa mipakani

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inatarajia kufunga vifaa vya kupimia joto (Thermal Scanner) katika mipaka ya nchi ili kudhibiti kuenea ugonjwa wa ebola ambao umeelezwa umeingia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara yaanza ujenzi vituo mipakani

WIZARA ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeanza kukamilisha utekelezaji wa ujenzi wa vituo vya utoaji huduma kwa pamoja mipakani vikavyosaidia kupunguza gharama za usafirishaji na kuondoa urasimu uliokuwepo. Akizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani