Wajawazito wajifungua kwa mwanga wa kibatari
Kituo cha Afya cha Msanda Muungano kilichopo wilayani Sumbawanga Mkoa wa Rukwa, kinalazimika kutumia chumba kidogo, mwanga wa kibatari na mshumaa nyakati za usiku kwa ajili ya wajawazito kujifungua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Dada watatu wajifungua siku moja
Imekuwa ni sadfa ya aina yake baada ya dada watatu kujifungua siku moja nchini Ireland wa nne naye akitarajia kujaliwa mtoto hivi karibuni
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
‘Kukosa elimu sawa na kibatari’
OFISA Elimu Shule za Sekondari wilayani Temeke Dar es Salaam, Donald Chavilla amesema kukosa elimu ni sawa na kibatari. Alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahafali ya tisa ya kidato...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/iZUkkKTsTto/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kuzaliana kwa wingi huongeza vifo kwa wajawazito
Hivi karibuni dunia iliadhimisha Siku ya Utepe Mweupe na Uzazi Salama, ambayo iliambatana na kaulimbiu ya, ‘Wajibika Mama Aishi’.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDp3L5MMqKcPdJxhz-4Wwm0*JhNDUsRqiZlN1afeSKYhqBdXjo13ME9RPqjt6OpD2VhU17vgHCijiNkQCqHWxI89/plegnant.jpg?width=650)
ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-4
TUNAENDEA kuchambua ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, leo tutaeleza madhara kwa watoto walio tumboni. Endelea... Wakati wa kuugua aina hii ya kaswende, muathirika huwa hana dalili wala viashiria vyovyote vile na uwezo wake wa kuambukiza mtu mwingine huwa chini au hawezi kabisa kumuambukiza ugonjwa huu mtu mwingine. Kaswende ya baadaye
Asilimia 30 ya wagonjwa wa kaswende ambao hawakupata tiba hapo awali huingia kwenye kundi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeo8-QFvUC0CBCzv95gvYU5ldtdYsWvtSAhyl2PaOw2HMU2*xTL4nnCn6Y1Y6w-11KSDfRH0z5*P8fgD6JvzuQky/pregnantwomanstanding.jpg?width=650)
ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-3
Kidonda hiki kinaweza kuwepo kwa muda wa wiki tatu hadi sita kama mtu hatapata matibabu, na hutoweka chenyewe bila tiba au baada ya kupata tiba. Kaswende ya aina ya pili
Shirika la Idhaa ya Kiswahili ya Redio Tehran la nchini Iran, linasema robo tatu ya watu ambao hawapati tiba, huishia kuingia kwenye kundi la kaswende ya aina ya pili yaani Secondary Syphilis.
Aina hii hutokea wiki 4 hadi 10 baada ya mtu kupata kaswende ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKhlbMvvDmdx7gX4JRjy8HJC-tH03ZlEqnUER2pDIlxqAyVVzDLfnfENzTlseTHB-Blb4PY2pOZ*iSwlvxL8OiCc/PregnancyYeastInfection300x199.jpg?width=650)
MAAMBUKIZI YA FANGASI KWA WAJAWAZITO
WIKI iliyopita tuliona jinsi fangasi wanavyoambukiza na kusababisha madhara mbalimbali sehemu za siri.
Leo tunakwenda mbele zaidi kwa kuangazia akina mama wenye ujauzito ambao hupata fangasi hawa kutokana na kubadilika kwa mfumo wa homoni mwilini na kupungua kwa kinga ya mwili. Hata hivyo, ieleweke kuwa si kila mjamzito hupatwa na maambukizi haya ya fangasi wa Candida albicans.
Matumizi ya dawa za kupanga uzazi maarufu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akTC9q3GLfZFBFgOlt1acH1kBfoJlNF1TJqEMSAsO1IjyvdAJf1UnjqqPUxeRwfPGVd6iWeDTPm3SAPC*C9ecZEN/PregnantWoman.jpg?width=650)
ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-2
Toleo lililopia tulichambua athari za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, tukaeleza mengi. Endelea... Ugonjwa huu unaambukizwa kwa njia ya kujamiiana bila kutumia kinga (ngono zembe) dhidi ya mtu mwenye ugonjwa huo. Njia nyingine ni mwanamke aliyeambukizwa ugonjwa huo wakati wa ujauzito anaweza kumuambukiza mtoto wake wakati wa ujauzito. Pia huambukizwa kupitia michubuko au mipasuko kwenye ngozi wakati wa kufanya ngono zembe.
...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Pombe siyo salama kwa wajawazito
Moja ya vinywaji vinavyopendwa na watu wengi nchini ni pombe. haihitaji kufanya utafiti bali tu macho yako kuthibitisha hili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania