Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakala Jorge Mendes aliteka soka la Ulaya

Mawakala wa wachezaji ni watu muhimu katika maendeleo ya soka kwani hufanya kazi ya kuviibua vipaji na kuviendeleza hivyo kubadilisha maisha ya wachezaji wa soka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ronaldo atastaafu soka akiwa Real Madrid – Jorge Mendes

2F955BAD00000578-0-The_Portuguese_maestro_watched_the_Miami_Heat_agonisingly_lose_9-a-40_1451263483471

Wakala maarufu wa Cristiano Ronaldo, Jorge Mendes amezifutilia mbali tetesi za uwezekano wa mshambuliaji huyo wa Real Madrid kuwa na mpango wa kuhamia klabu nyingine.

2F955BAD00000578-0-The_Portuguese_maestro_watched_the_Miami_Heat_agonisingly_lose_9-a-40_1451263483471
Ronaldo akishuhudia mchezo wa kikapu wa ligi ya NBA kati ya Miami Heat na Detroit Pistons ambapo Heat walishindwa kwa vikapu 93-92 December 22

Wakala huyo amedai kuwa Real Madrid ni timu ya mwisho mchezaji huyo kuichezea. Kulikuwepo na tetesi kuwa mchezaji huyo angependa kucheza na Paris Saint-Germain ya Ufaransa.

Akizungumza...

 

5 years ago

CCM Blog

TETESI ZA SOKA ULAYA

Pierre-Emerick AubameyangHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang akifanya mashambulizi katika mechi dhidi ya BurnleyMshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 30, alimuahidi marehemu babu yake kuwa atachezea Real Madrid. (Sun)Gunners pia wanakabiliwa na pigo jingine la kumkosa beki wa RB Leipzig wa miaka 21-Mfaransa Dayot Upamecano baada ajenti wake kusema kuwa huenda asihame kutokana na janga la coronavirus. (Sport 1, via Metro)Tetesi...

 

5 years ago

CCM Blog

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO


Timo WernerHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionWerner, katikati , aliwahi kufunga bao mwaka huu (2020) kwa penalti dhidi ya TottenhamLiverpool wamewaambia wawakilishi wa Timo Warner,24, kuwa wanahitaji muda zaidi ili kuamua kama watatuma ofa kwa mshambuliaji huyo wa RB Leipzig, katika kipindi hiki ambacho wanasubiri kutathmini athari za ugonjwa wa corona katika dirisha la usajili. (Guardian)Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 04.05.2020Real pia wanaangalia uwezekano wa kumsajili kinda wa Rennes ya...

 

5 years ago

CCM Blog

TETESI ZA SOKA ULAYA 25.06.2020

Mhezaji wa Ndombele akimkabili Ashley Westwood wa BurnleyCHANZO CHA PICHA,REUTERSMaelezo ya picha,Mchezaji wa Ndombele akimkabili Ashley Westwood wa BurnleyMchezaji wa Tottenham aliyesaini kandarasi iliovunja rekodi ya dau la £54m Tanguy Ndombele, 23, amemwambia mkufunzi wake Jose Mourinho kwamba hataki tena kucheza chini yake. Paris St-Germain, Barcelona na Bayern Munich zote zinamnyatia kiungo huyo wa kati wa Ufaransa. (ESPN)Barcelona itavutiwa na mpango wa kubadilishana wachezaji huku Ndombele akijiunga na timu hiyo na winga wa kulia wa...

 

5 years ago

CCM Blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE 19.05.2020

Gonzalo Higuain
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionGonzalo Higuain
Juventus wanaweza kuuza wachezaji kadhaa akiwemo kiungo wa Bosnia Miralem Pjanic, 30 na mshambuliaji wa Argentina Gonzalo Higuain, 32, msimu huu kama sehemu ya sera mpya ya kifedha ili kuisaidia klabu kukabiliana na atahri za kiuchumi zilizosababishwa na janga la corona. (Daily Mail)Kiungo wa Bayer Leverkusen Kai Havertz anapaswa kukataa nafasi ya kwenda Liverpool na badala yake ajiunge na Borussia Dortmund, anashauri mchezaji wa...

 

5 years ago

CCM Blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAMOSI 16.05.2020


Erling Braut HaalandReal Madrid bado wana nia ya kumnunua Erling Braut Haaland na watamfuatilia mshambuliaji huyo wa miaka 19- leo Jumamosi wakati Borussia Dortmund watarejea uwanjani katika ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga. (Mundo Deportivo - in Spanish)Chelsea wako tayari kuwauza baadhi ya wachezaji wake katika kikosi cha kwanza ili kufadhili kiungo wa kujiimarisha msimu huu lakini hawana nia ya kupokea ofa ya kuwauza wachezaji N'Golo Kante, 29, na Jorginho, 28. (ESPN)JesusGabriel JesusHaki miliki ya pichaREUTERSManchester...

 

5 years ago

CCM Blog

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA


Philippe CoutinhoHaki miliki ya pichaQUALITY SPORT IMAGES/GETTYImage captionPhilippe Coutinho ameshindwa kutamba Barcelona na amepelekwa Bayern kwa mkopoKlabu ya Newcastle itatumia pauni milioni 70 kumsajili mchezaji wa nafasi ya kiungo wa Barcelona, raia wa Brazil Philippe Coutinho ikiwa pendekezo la klabu hiyo kununuliwa litafanikiwa. Mchezaji huyo mwenye miaka 27 anaichezea Bayern Munich kwa mkopo. (Mundo Deportivo - in Spanish)Kampuni ambayo inaelekea kuwa wamiliki wapya wa Newcastle pia inataka...

 

5 years ago

CCM Blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMATATU 15.06.2020


Aston Villa celebrateHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionJack Grealish (kulia) aliwahi kuchezea Ireland katika timu za U17, U18 na U21Manchester United itaongeza jitihada kuhakikisha inamsajili kiungo wa kati Jack Grealish, 24, kwa kitita cha pauni milioni 75 baada ya kuambiwa wamsubiri kwa miezi 12 mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Jadon Sancho, 20 (Daily Star)Tottenham Hotspur, West Ham na Chelsea wanamtaka mlinda mlango wa Uhispania Pau Lopez. Roma itamuuza mchezaji huyo, 25 kwa kitita cha pauni...

 

5 years ago

CCM Blog

TETESI ZA SOKA ULAYA IJUMAA 15.05.2020

David Silva mwenye umri wa miaka 34, kwa Manchester City unakamilika Juni 30 lMkataba wa David Silva mwenye umri wa miaka 34, kwa Manchester City unakamilika Juni 30 lakini Mhispania huyo anayecheza safu ya kati,yuko tayari kuongeza mkataba huo hadi mwisho wa msimu, kabla ya kufunganya virago. (Times - subscription required)Manchester United wamekuwa wakimsaka Schalke na Rabbi Matondo na huenda wakamnunua mchezaji huyo wa miaka 19, wakishindwa kumsainisha mshambuliaji wa Borussia Dortmund na England, Jadon Sancho, 20. (Manchester Evening News)Mchezaji Dries Mertens...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani