Wakristo wa Italia wawezesha zahanati ya kisasa Vikawe
Mkuu wa Masista Waabuduo Damu ya Kristo, Euprasia Julius akimtambulisha mgeni rasmi na meza kuu kwa wageni waalikwa na wanakijiji wa Vikawe (hawapo pichani) katika hafla ya ufunguzi wa Zahanati ya Da.Ma Africa Maria De Mathias (MDM) Vikawe, Kibaha.
Na Mwandishi wetu, Kibaha
MGANGA Mkuu wa halmashauri ya Mji Kibaha, Dk. Happniness Ndosi amepongeza shirika la masisita wa Waabuduo Damu ya Kristo kwa kufanikisha ujenzi wa zahanati ya kisasa katika kijiji cha Vikawe wilayani Kibaha mkoani...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aCADodFsFNc/VnpIitPrpyI/AAAAAAADEGY/hL1A0MWK4Ak/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA UVINZA ASHIRIKIANA NA WANANCHI KUJENGA ZAHANATI YA KISASA KIJIJI CHA MAZUNGWE MKOANI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aCADodFsFNc/VnpIitPrpyI/AAAAAAADEGY/hL1A0MWK4Ak/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Plu8Z8QFAY/VnpIizIBY5I/AAAAAAADEGg/b63fPS7KUQQ/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-27OGa9R2Z74/VnpIiiJzgbI/AAAAAAADEGc/du-amjLJkxU/s640/C.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kfEga51sJjA/VnpIjd_HcLI/AAAAAAADEGk/NkxfvJZKFpQ/s640/E.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hzk5bnKhqKc/VTvdfmS6HTI/AAAAAAAHTQ0/veHQJ4RgF-g/s72-c/5909_629985427014340_1747130641_n.jpg)
Dar City kukipiga na Kombaini ya Vikawe, Kibaha Mkoani Pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-hzk5bnKhqKc/VTvdfmS6HTI/AAAAAAAHTQ0/veHQJ4RgF-g/s1600/5909_629985427014340_1747130641_n.jpg)
Kwa mujibu wa mratibu wa mchezo huo, Athuman Tippo ‘Zizzou’, mchezo umeandaliwa maalum kwa ajili ya kuhamasisha michezo mkoani Pwani.
Tippo alisema kikosi cha Dar City kitajumuisha pia baadhi ya Waandishi wa Habari za Michezo na kubainisha kuwa mechi hiyo itachezwa kesho...
10 years ago
Habarileo04 Oct
Airtel wawezesha redio za UNESCO
KAMPUNI ya simu za mkononi ya AirteL kwa kushirikiana na UNESCO imewawezasha wakazi wa Uvinza kupata taarifa za kimaendeleo na habari za ndani na nje ya nchi kuTtokana na uzinduzi wa radio jamii Uvinza Kigoma.
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
CFAO Motors wawezesha wapenzi wa Formula One Dar kuona gemu
Kukiwa na wanawake warembo katika magari yanayomeremeta, waliovikwa na nguli wa mavazi Ally Rhemtulla kwa ajili ya kupokea wageni kwenye hafla ya kuona mashindano ya magari ya Formula One iliyoandaliwa na kampuni ya CFAO Motors kwa mashabiki wa mchezo huo na wateja wake.
Na Mwandishi wetu
JUMAPILI wakati kiwanja cha mbio za magari za Formula One cha Monza Italia kinawaka moto, wapenzi wa mchezo huo jijini Dare s salaam walipata uhondo wa kuona mkali wa injini na udereva, katika skrini...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_00091.jpg)
CFAO MOTORS WAWEZESHA WAPENZI WA FORMULA ONE DAR KUONA GEMU
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lv0ys3pR-sE/U1kfUPhQuAI/AAAAAAAFcpo/LUbHaHjqi0A/s72-c/ko3.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOSPITALI KUBWA NA YA KISASA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KISASA KIJIJINI MLOGANZILA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lv0ys3pR-sE/U1kfUPhQuAI/AAAAAAAFcpo/LUbHaHjqi0A/s1600/ko3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b-9rLuTAafY/U1kfVLo73AI/AAAAAAAFcpw/EFC0qCv_Fcw/s1600/ko4.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
IS latoa video ya mauaji ya wakristo
10 years ago
Habarileo16 Mar
Pengo: Waacheni Wakristo wajiamulie
“MAASKOFU hatuna mamlaka ya kuwaamulia au kuwalazimisha waumini wetu wafanye uamuzi gani kuhusu Katiba. Kuwaamulia ni kuwadharau kuwa hawawezi kufanya uamuzi sahihi wao wenyewe na kuingilia uhuru wao. “Waraka huu unaleta utengano katika taifa kuwa Wakristo tumechukua uamuzi dhidi ya Serikali na wengine....Tuwaache waumini wafanye uamuzi kwa tafakari yao binafsi bila shinikizo letu…”
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
UN yalaani mateso ya Wakristo Iraq