Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliofungua maduka wawasihi wenzao K’koo

Wafanyabiashara wachache waliofungua maduka eneo la Kariakoo jijini hapa, wamewataka wenzao wanaoendelea na mgomo kukubali amri ya Serikali ya kutumia mashine za risiti za kielektroniki, EFD, kwa kuwa zina manufaa kwa nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAFANYABISHARA WANAOMILIKI MADUKA STENDI KUBWA YA MOSHI WAAMUA KUVUNJA KUFULI BAADA YA MANISPAA YA KUYAFUNGA MADUKA HAYO

 
 Na Woinde Shizza,KILIMANJARO

WAFANYABIASHARA 10  wanaomiliki maduka katika eneo la stendi kubwa Moshi mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuvunja kufuli mara baada ya kufungiwa maduka yao   na mgambo wa Manispaa kwa madai kwamba sio wapangaji halali

Wakizungumzia tukio hilo kwa niaba ya wafanyabiashara hao Iren Charles ameleza kwamba wananyanyasika na Mgambo wa Manispaa ya Moshi kwa  kuwavamia na kufunga maduka yao hivyo kukazimika kuvunja kufuli hizo.

Ameeleza kuwa  walifungua kesi Mahakamani...

 

11 years ago

Michuzi

SIMBA WAFANYA MKUTANO, YAWAFUKUZA WANACHAMA 72 WALIOFUNGUA KESI MAHAKAMANI

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akifafanua jambo wakati wa mkutano maalum wa wananchama wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano maalum wa klabu hiyo jijini Dar es Salaam Baadhi ya wanachama wa Simba wakihakiki kadi zao kabla ya kuingia katika ukumbi wa mkutano. Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali akipitia nyaraka za klabu hiyo wakati akiingia katika...

 

11 years ago

Habarileo

Wanavyuo wawasihi Ukawa kurejea bungeni

Freeman MboweWANAFUNZI kutoka vyuo 10 vya elimu ya juu nchini, wamewasihi wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea ndani ya Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na majadiliano.

 

10 years ago

GPL

MAHAKAMA YA KADHI, BAKWATA WAWASIHI WAISLAMU

Mufti Shaaba Simba. Na Elvan Stambuli BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) linaloongozwa na Mufti Shaaba Simba (pichani) leo wamewasihi Waislamu kuwa watulivu wakati mchakato wa Mahakama ya Kadhi ukiwa bungeni kwa mjadala. Katika taarifa yao iliyosainiwa na Sheikh Abdallah Yusufu Mnyasi na Sheikh Abubakar Zuberi ambayo ilisambazwa kupitia Idara ya Habari (Maelezo) viongozi hao wote ambao wapo katika Baraza la Ulamaa la...

 

10 years ago

Bongo5

Chege, Young Killer, Bob Junior wawasihi wananchi kujiandikisha na kupiga kura

Young Killer, Chege na Bob Junior wamewataka watanzania kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ili wapate haki yao ya msingi ya kupiga kura na kuwachagua viongozi wanaowataka. Wakizungumza na Bongo5 leo kwa nyakati tofauti wasanii hao wasema kila mtanzania anapaswa kujiandikia ili asikose haki yake ya kuchagua viongozi. Young Killer Tujitokeze tukajiandikeshe […]

 

11 years ago

Mwananchi

Amatre aikaba koo Simba

>Aliyewahi kuwa Kocha Msaidizi wa Simba, Mganda Richard Amatre amewasilisha rasmi barua ya malalamiko kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) akiidai klabu hiyo Sh17.2 Milioni.

 

10 years ago

Mwananchi

RC ‘aikaba koo’ Halmashauri Moshi

Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama limeonekana ‘kuwasha moto’ kwa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi baada ya kutaka wanyang’anywe asilimia 80 ya maeneo inayoyashikilia kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali, Bunge wakabana koo

Kumekuwa na mvutano mkubwa katika vikao vya mashauriano kati ya Serikali na Kamati ya Bunge ya Bajeti, ambao pamoja na mambo mengine unaelezwa kuchangiwa na hatua ya Serikali kukataa kuweka wazi vyanzo vya mapato kwa wajumbe wa kamati hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali

>Viongozi wa dini wamezidi kuikaba koo Serikali kuhusu kashfa ya Escrow na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani