Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WALIOTAKA KWENDA IKULU WAISHIA RUMANDE DAR

VIJANA watatu wanaoaminika kuwa ni wafuasi wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA, wamekamatwa na polisi eneo la Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Januari 2, 2014, baada ya jaribio lao la kufanya matembezi kutoka mkoa wa Geita wakielekea Ikulu ya Dar es Salaam kumuona Rais Jakaya Kikwete kufikisha malalamiko yao. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Wilaya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Jordan Rugimbana, vijana hao watatu, Juma Maganga, Khalifa Selemani na Athanas Michael,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kwenda Ikulu ni kazi

Kama ukubwa ni huu, wa kupelekeshwa mbiyo, Na kuwekwa roho juu, kila saa jakamoyo, Nawaacheni tuu, siukalifishi moyo, Ikulu nendeni nyinyi, mpendao uraisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015

Fukuto la kumpata mgombea wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupamba moto huku ikielezwa kuwa jina la mgombea litatajwa kabla ya Mei mwakani.

 

10 years ago

Mtanzania

Waliotembea km 1, 200 kwenda Ikulu wakamatwa

Pg 1

 

Na Elias Msuya
ILE safari ya zaidi ya kilometa 1,200 ya makada watatu wa Chadema kutoka mkoani Geita waliotaka kwenda Ikulu ya Dar es Salaam kumwona Rais Jakaya Kikwete, imeishia mikononi mwa polisi baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana, kuwazuia kuendelea na safari yao hadi watakapopata maelekezo.
Vijana hao, Khalid Selemani, Athanas Michael na Juma Maganga, walisema wameamua kutembea kwa miguu kwa siku 37 ili kumfikishia Rais Kikwete ujumbe wao kuhusu kupinga ufisadi,...

 

10 years ago

Mtanzania

Monica Mbega ajihakikishia kwenda Ikulu

Na Francis Godwin, Iringa

WAKATI mbio za makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaowania nafasi ya kuteuliwa kugombea urais kupitia chama hicho zikiendelea kushika kasi, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Monica Mbega, jana ameingia mkoani hapa na kupata wadhamini 33.

Mwanamama huyo aliwataka Watanzania kutoaminishwa na mbwembwe za wagombea wenzake wanazofanya mikoani na kusema kuwa yeye ndiye rais wa awamu ya tano, huku akiwaomba Watanzania wamuunge mkono.

Mbega, ambaye alilazimika...

 

9 years ago

Mwananchi

Askofu: Kauli za kulazimisha kwenda Ikulu hatari

Askofu wa Kanisa  la Pentecostal Assemblies of God Tanzania (PAG), Mbeya Christian Centre (MCC), Damianus Kongoro  amesema kauli za wanasiasa kulazimisha kwenda Ikulu zinazotolewa kipindi hiki  zinatishia usalama na amani ya nchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Hashim Rungwe: Sigombei kwenda Ikulu kupiga ‘dili’

Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chauma), Hashim Rungwe amesema ameamua kugombea urais ili kutengeneza ajira kwa Watanzania wanaohitimu elimu katika ngazi mbalimbali na hakimbilii Ikulu kujinufaisha binafsi.

 

10 years ago

Mwananchi

mtoto wa ‘housegirl’ aliyekabili vigingi vingi kwenda Ikulu- 2

Castro hakukubaliana na mapinduzi hayo na alikuwa miongoni mwa walioupinga utawala wa Batista na mara kadhaaa alijaribu kutumia sheria pasipo mafanikio.

 

10 years ago

Mwananchi

Fidel Castro; mtoto wa ‘housegirl’ aliyekabili vigingi vingi kwenda Ikulu- 2

Wiki iliyopita tuliona Fidel Castro alikwama kwenye ndoto yake ya kugombea ubunge baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na Generali Fulgencio Batista na kuvuruga demokrasia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani