Walioua albino mwaka 2009 wahukumiwa kunyongwa
NA JUDITH NYANGE, MWANZA
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza imewahukumu kunyongwa washtakiwa watatu wa kesi ya mauaji ya Jesca Charles (25) mwenye albino, mkazi wa Igoma Kishiri wilayani Nyamagana, Mkoa wa Mwanza.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Jaji Agnes Bukuku baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa na pande zote mbili.
Washtakiwa hao ni Melikiadi Christopher (33) mkazi wa Igoma Kishiri, Yohana Kabadi (52) maarufu kama Mwanamalundi mkazi wa Igoma na Regina Mashauri (43) kutoka Mwisenya Igoma...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Wanne wahukumiwa kunyongwa kwa kuua albino Tanzania
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Wanne wahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua albino
9 years ago
StarTV22 Nov
Mh Sakalambi na wenzake wawili wahukumiwa kunyongwa
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Tabora jana imewahukumu kunyongwa hadi kufa Mweshimiwa Sakalambi na wenzake wawili waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka ya mauaji ya watu wawili kwa kukusudia.
Watu hao walipanga njama za kutekeleza mauaji ya watu wawili mume na mkewe julai 9/2012 kwa kuwakatakata na mapanga hadi kifo katika kijiji cha Inala one Kata Ndevelwa katika Manispaa ya Tabora.
Katika hukumu hiyo iliyosomwa kwa zaidi ya masaa mawili na Jaji John Utamwa amesema ameridhika pasipo...
10 years ago
Mtanzania20 Dec
Wauaji wa Ubungo wahukumiwa kunyongwa - Ni wale waliohusishwa na uporaji wa fedha za NMB
![Jaji Mkuu Othman Chande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/Jaji-Chande1.jpg)
Jaji Mkuu Othman Chande
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam,
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa sita katika kesi ya mauaji ya askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wa mkoani Morogoro na mfanyakazi wa Benki ya NMB, maarufu kama mauaji ya Ubungo Mataa.
Washtakiwa hao waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa jana na Jaji Projest Rugazia ni Haji Kiweru, Mashaka Pastory, Wycliff Imbora, John Mndasha, Martine Mndasha na Rashidi Abdikadir.
Jaji Rugazia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-k5ilM3q2WxY/U5hYVSDEPfI/AAAAAAAAFEE/1bgV3NCA01E/s72-c/moshi-1.jpg)
Breaking Newss:WAKENYA WAWILI WAHUKUMIWA KUNYONGWA,NI WALE WALIPORA FEDHA BENKI YA NMB TAWI LA MWANGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-k5ilM3q2WxY/U5hYVSDEPfI/AAAAAAAAFEE/1bgV3NCA01E/s1600/moshi-1.jpg)
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MAHAKAMA kuu kanda ya Moshi imetoa adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa wawili raia wa Kenya katika kesi ya mauaji ya askari Polisi, Pc Michael Milanzi, wakati wa tukio la uporaji wa fedha katika benki ya NMB tawi la Mwanga mkoani Kilimanjaro. Mbali na hukumu hiyo iliyosomwa na Jaji mfawidhi wa Mahakama kuu, Kakusulo Sambo kwa zaidi ya saa, nne ,Mshatakiwa wa tatu katika kesi hiyo ,Karisti Kanje(Mtanzania) yeye amehukumiwa...
10 years ago
Habarileo02 Jul
Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua albino
MKAZI wa Kiwira, wilayani Rungwe, Hakimu Mwakalinga ambaye aliwahi kuhukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kukutwa na hatia ya kumuua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Rungwe, John Mwakenja, amehukumiwa adhabu hiyo kwa mara nyingine baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mlemavu wa ngozi (albino).
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rhOgG7zQW5w/VZLpOW7nT-I/AAAAAAAAID8/deLoDfiHqRw/s72-c/Hakimu%2BMwakalinga.jpg)
WALIOMUUA ALBINO MWAKAJILA WA MBEYA LEO WAMEHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rhOgG7zQW5w/VZLpOW7nT-I/AAAAAAAAID8/deLoDfiHqRw/s640/Hakimu%2BMwakalinga.jpg)
Na Daniel MbegaMAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya leo hii imewahukumu kunyongwa mpaka kufa watu wanne kati ya watano waliomuua Henry Mwakajila (17) ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino).
Waliohukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni Asangalwisye Kayuni maarufu kama Katiti au Mwakatoga na Gerard Korosso...
10 years ago
TheCitizen09 Mar
How Tanzania seized IS knifeman in 2009