Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAFUNZI 184 WAPATA MIMBA MKOANI PWANI 2019


NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
WANAFUNZI wa shule za msingi na sekondari  2,091 mkoani Pwani, kati ya hao wanafunzi 184 walipata mimba na wengine  kuacha shule na utoro kwa mwaka 2019 ,idadi ambayo ni kubwa.

Aidha ,wanafunzi 2,221 ambao waliochaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari mkoani humo bado hawajaripoti shule walizopangiwa hadi sasa .

Kufuatia hali hiyo, mkuu wa mkoa wa Pwani'mhandisi Evarist Ndikilo aliwaagiza wakaguzi wa elimu kufanya kazi kwa weledi kwa kufuatilia na kusimamia masuala ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 150 Duce wapata mimba — Utafiti

Wanafunzi 150 kati ya 1,000 waliojiunga na masomo katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (Duce) mwaka jana wamebainika kuwa na ujauzito waliopewa na wenzao chuoni hapo.

 

9 years ago

Dewji Blog

“Vitendo vya utoro na mimba kwa wanafunzi Mkoani Singida havivumiliki”- Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo Anna Mughwira

IMG_1743

Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Anna Mughwira, akichangia ajenda zilizokuwa zinatolewa kwenye kikao cha kamati ya maendeleo (RCC) mkoa wa Singida kilichofanyika mjini hapa. Pamoja na mambo mengine, ameviomba vyombo vya habari mkoani, kusaidia kutoa elimu juu ya madhara yanayowapata wanafunzi watoro.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Mwenyekiti wa chama cha ACT- Wazalendo ,Anna Mughwira amewahimiza waandishi wa habari mkoani hapa, kutumia taaluma yao kuwaelimisha...

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana 98 wapata mimba utotoni

ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasichana 700 wapata mimba, waacha shule

Zaidi ya wasichana 700 wenye umri kati ya miaka 10 na 19 ambao walikatisha masomo kwa sababu ya mimba katika shule za msingi na sekondari Wilaya ya Kahama, wamejitokeza kupatiwa elimu ya uzazi wa mpango na ujasiriamali inayotolewa na Shirika la Kiota Women Health Development (Kiwohede) la Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi lukuki wapata mikopo HELSB

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), mpaka sasa imetoa mikopo kwa waombaji wenye sifa wapya 40,836 kati ya waombaji 50,830 wanaostahili kupatiwa mikopo hiyo kwa mwaka wa masomo wa 2015/2016.

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi wasichana wapata ugonjwa wa kuanguka

WAZAZI na walezi ambao watoto wao wanasoma katika Shule ya Msingi Inyonga wilayani Mlele, mkoani Katavi wameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutuma timu ya wataalamu wa afya kuchuguza ugonjwa wa ajabu unaowakumba wasichana wanaosoma katika shule hiyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi bora CBE wapata tuzo

TZ-College-of-Business-Education

Na. Aron Msigwa – MAELEZO

Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam kimetoa tuzo kwa wanafunzi bora 12 waliohitimu na kufanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka wa masomo 2014/2015 ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa chuo hicho kuenzi na kuthamini mchango walioutoa katika maendeleo ya taaluma chuoni hapo.

Akikabidhi tuzo hizo katika hafla fupi iliyofanyika jana jijini Dar es salaam, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na mwenyekiti wa sasa wa wanafunzi ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mimba za wanafunzi zamshtua JK

RAIS Jakaya Kikwete ameshtushwa na kiwango kikubwa cha wanafunzi katika Mkoa wa Ruvuma kushindwa kumaliza shule kwa sababu mbalimbali ukiwemo utoro na mimba. Utoro na mimba za wanafunzi ni mambo...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Wanafunzi Golden Gate wapata mafunzo maalum

Na Albano Midelo WANAFUNZI 18 wa shule ya sekondari ya Golden Gate iliyopo Luhira manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wamepata mafunzo maalum yatakayowawezesha kukabiliana na changamoto za maisha. Shule hiyo ipo chini ya shirika la kuhudumia watoto yatima linaloitwa St.Teresa Orphan Foundation (STOF) lenye makao yake makuu mjini Songea lililoanzishwa mwaka 2001 ambapo hivi sasa linahudumia watoto yatima wapatao 76. Mafunzo ambayo wanafunzi hao wamefuzu ni pamoja na mafunzo ya huduma ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani