WANAFUNZI 184 WAPATA MIMBA MKOANI PWANI 2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-7DCpPag_gao/XmJWoSZbAFI/AAAAAAALhiA/07uRCPipYwAuk_IsjSDfs0hCAKBF6tLFACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
WANAFUNZI wa shule za msingi na sekondari 2,091 mkoani Pwani, kati ya hao wanafunzi 184 walipata mimba na wengine kuacha shule na utoro kwa mwaka 2019 ,idadi ambayo ni kubwa.
Aidha ,wanafunzi 2,221 ambao waliochaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari mkoani humo bado hawajaripoti shule walizopangiwa hadi sasa .
Kufuatia hali hiyo, mkuu wa mkoa wa Pwani'mhandisi Evarist Ndikilo aliwaagiza wakaguzi wa elimu kufanya kazi kwa weledi kwa kufuatilia na kusimamia masuala ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Wanafunzi 150 Duce wapata mimba — Utafiti
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
“Vitendo vya utoro na mimba kwa wanafunzi Mkoani Singida havivumilikiâ€- Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo Anna Mughwira
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Anna Mughwira, akichangia ajenda zilizokuwa zinatolewa kwenye kikao cha kamati ya maendeleo (RCC) mkoa wa Singida kilichofanyika mjini hapa. Pamoja na mambo mengine, ameviomba vyombo vya habari mkoani, kusaidia kutoa elimu juu ya madhara yanayowapata wanafunzi watoro.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mwenyekiti wa chama cha ACT- Wazalendo ,Anna Mughwira amewahimiza waandishi wa habari mkoani hapa, kutumia taaluma yao kuwaelimisha...
11 years ago
Habarileo25 Dec
Wasichana 98 wapata mimba utotoni
ZAIDI ya wasichana 98 walipata mimba za utotoni na wengine kukatishwa masomo kwa kipindi cha mwaka huu, mkoani Kilimanjaro, huku asilimia kubwa wakiwa ni kutoka familia masikini.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Wasichana 700 wapata mimba, waacha shule
9 years ago
Habarileo10 Nov
Wanafunzi lukuki wapata mikopo HELSB
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), mpaka sasa imetoa mikopo kwa waombaji wenye sifa wapya 40,836 kati ya waombaji 50,830 wanaostahili kupatiwa mikopo hiyo kwa mwaka wa masomo wa 2015/2016.
11 years ago
Habarileo03 Mar
Wanafunzi wasichana wapata ugonjwa wa kuanguka
WAZAZI na walezi ambao watoto wao wanasoma katika Shule ya Msingi Inyonga wilayani Mlele, mkoani Katavi wameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutuma timu ya wataalamu wa afya kuchuguza ugonjwa wa ajabu unaowakumba wasichana wanaosoma katika shule hiyo.
10 years ago
Dewji Blog15 Nov
Wanafunzi bora CBE wapata tuzo
Na. Aron Msigwa – MAELEZO
Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam kimetoa tuzo kwa wanafunzi bora 12 waliohitimu na kufanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka wa masomo 2014/2015 ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa chuo hicho kuenzi na kuthamini mchango walioutoa katika maendeleo ya taaluma chuoni hapo.
Akikabidhi tuzo hizo katika hafla fupi iliyofanyika jana jijini Dar es salaam, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na mwenyekiti wa sasa wa wanafunzi ...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Mimba za wanafunzi zamshtua JK
RAIS Jakaya Kikwete ameshtushwa na kiwango kikubwa cha wanafunzi katika Mkoa wa Ruvuma kushindwa kumaliza shule kwa sababu mbalimbali ukiwemo utoro na mimba. Utoro na mimba za wanafunzi ni mambo...
11 years ago
KwanzaJamii14 Jul
Wanafunzi Golden Gate wapata mafunzo maalum