Wanafunzi ‘waliokacha’ JKT kusakwa
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amesema vijana wote waliohitimu kidato cha sita mwaka 2013/14, 2014/15 na kutojiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) bila ridhaa ya jeshi hilo, wanaendelea kusakwa na kuorodheshwa kwenye orodha ya watoro na upo uwezekano wa wao kwenda mafunzo hayo mapema mwezi ujao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
DC kuwasaka waliokacha masomo kukimbilia ndoa
MKUU wa Wilaya (DC) ya Mpanda, Paza Mwamlima, amewaagiza wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mpanda Ndogo iliyoko Tarafa ya Kabungu, wilayani Mpanda kuhakikisha watoto wao walioacha shule na...
11 years ago
Habarileo28 Feb
Aliyemuoa mwanafunzi kusakwa
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameliagiza Jeshi la Polisi kumsaka na kumfikisha katika vyombo vya sheria mtu anayedaiwa kumrubuni na kumuoa mwanafunzi Veronika Maganga aliyetakiwa kujiunga Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya bweni Rugambwa mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Wafugaji wakaidi Kiteto kusakwa
MKUU wa Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara, Martha Umbula, ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani humo kuwasaka wafugaji wa jamii ya Kimasai waliogoma kuondoka katika hifadhi ya jamii ya Embolei Omurutangos....
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Kundi la Mbwa mwitu kusakwa
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Amani ya Burundi kusakwa Uganda
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Waingizaji sukari ya magendo kusakwa
SERIKALI imetangaza msako mkali kuwanasa waingizaji na wauzaji wa sukari ya magendo iliyoingizwa nchini na kuzagaa kwenye masoko. Pia, maofisa wote wa Mamlaka ya Mapato na ushuru mwingine kwenye bandari...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VIktgDvv6rVrpnFDeACDyql1nbekbRTlYbL4GANU4K1eJCI*vCV6xtpKZz03Q*6j-hiorJJDlq1mbBprImkh1G/steve8.jpg)
MISS BONGO MUVI KUSAKWA
10 years ago
Habarileo21 Dec
Watoro kusakwa na kurejeshwa shule
SERIKALI mkoa wa Rukwa imeagiza watoto, waliokatiza masomo yao kwa utoro wasakwe na kurejeshwa shuleni mara moja.