‘Wanaodaiwa kughushi vyeti BoT wana kesi ya kujibu’
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WAFANYAKAZI wanane wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wanaokabiliwa na tuhuma za kughushi vyeti vya kidato cha nne wamekutwa wana kesi ya kujibu.
Uamuzi huo ulitolewa jana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi wanane wa upande wa mashtaka na kuona kwamba kuna haja kwa washtakiwa kujitetea.
Washtakiwa katika kesi hiyo ni Justina Mungai, Christina Ntemi, Siamini Kombakono, Janeth Mahenge, Beata Massawe, Jackline Juma,
Philimina...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 May
Watoto wa vigogo BoT wana kesi ya kujibu
11 years ago
Mwananchi25 Mar
‘Washtakiwa EPA wana kesi ya kujibu’
11 years ago
Mwananchi06 Feb
‘Vigogo wa Suma-JKT wana kesi ya kujibu’
11 years ago
Habarileo24 Mar
NECTA: Picha kwenye vyeti zimepunguza kughushi
BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limesema tangu kuanza mfumo wa kuweka picha kwenye vyeti vya kidato cha nne na sita kumepunguza kwa kiwango kikubwa vitendo vya kughushi.
11 years ago
Habarileo22 Jun
Sekretarieti yabaini vyeti 1,035 vya kughushi
SEKRETARIETI ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeshabaini vyeti vya kughushi 1,035 kutoka kwa baadhi ya waombaji kazi tangu mpango wa kuhakiki vyeti ulipoanza hadi mwezi Mei mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi10 May
Wanachuo 212 wa Chuo cha Polisi Moshi wafukuzwa kwa kughushi vyeti
10 years ago
GPLPAPAA MSOFFE AFUTIWA KESI YA MAUAJI, AFUNGULIWA NYINGINE YA KUGHUSHI NYARAKA
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Watanzania asilimia13 wana vyeti vya kuzaliwa
OFISA Habari wa Mamlaka ya Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Jafari Malema amesema asilimia 13 ya Watanzania wote milioni 45 ndiyo wenye vyeti vya kuzaliwa. Akizungumza na Tanznaia Daima lilipotembelea...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
DC , wenzake watatu wakutwa na kesi ya kujibu