Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaopenda matusi wafungue madarasa nje ya Bunge

WATANZANIA waliopo Bara na Visiwani na majirani zetu wanaofahamu lugha ya Kiswahili, wamejifunza mengi katika awamu ya kwanza ya Bunge Maalumu la Katiba liliomalizika Dodoma hivi karibuni. Miongoni mwa mafunzo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Matusi, vijembe, vyatawala Bunge

Bunge Maalumu la Katiba limeendelea kutawaliwa na vijembe na mipasho, huku baadhi ya wajumbe wakitambiana kujua misemo, mbinu na nahau na kuacha kujadili mambo ya msingi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Bunge la Bajeti 2014/2015: lisiwe la Vurugu, Matusi na Kejeli

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifunga Bunge  leo twasira ya muono wa Mandhari ilivyokuwa.

Tamko Vikao Vya Bajeti 20142015 by moblog

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana (Mb) akizundua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni na wanaofanya shughuli zao katika sekta zisizo rasmi. Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Belinda Jijini Dar es salaam tarehe 27 Februari 2015. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Dkt. Pindi Chana akizungumza mara baada ya kuzindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Yaliyojiri Bunge Maalum la Katiba baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge!

PIX 1

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akipiga kura leo kwenye ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma kupitisha Sura na Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

PIX 2

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Yahya Kassim Issa akiomba mwongozo leo Bungeni kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kuhusu kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman kuja kupiga kura na kukataa baadhi ya Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa wakati...

 

10 years ago

GPL

SHAMSA FORD: NAWACHUKIA WANAOPENDA KUJIKWEZA

Muigizaji wa Bongo Movie, Shamsa Ford. Gabriel Ng’osha NI wiki nyingine tena mpenzi msomaji wa safu hii ya Dukuduku. Leo tunaye muigizaji wa Bongo Movie, Shamsa Ford akifunguka kuwa hapendi au kusikia watu wanashindana kwenye vitu vya kijinga. “Huwa nawashangaa hao wanaojiita ni watoto wa mjini, kuna wakati utakuta wanashindana katika mambo ya kijinga, mfano mwenzake kafanya hiki basi na yeye pia anataka akifanye...

 

10 years ago

Habarileo

Msichague wanaopenda matukio, Watanzania waaswa

WATANZANIA wametakiwa kuepuka kuwachagua viongozi wanaopendelea matukio kuliko kujali wananchi wao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka nje ya bunge- Ukraine

Afisa mmoja auawa na wengine kujeruhiwa Ukraine baada ya wabunge kuipa eneo linalothibitiwa na waasi mamlaka ya kijitawala

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda ashukiwa ndani na nje ya Bunge

>Kauli ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa wanafunzi walioshiriki gwaride na halaiki kwenye sherehe za miaka 38 ya CCM mjini Songea ni watoto wa wanachama wa chama hicho, imekosolewa na wananchi na wabunge ambao walifikia uamuzi wa kuomba mwongozo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa: Tutaidai Tanganyika nje ya Bunge

Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wameapa kuendelea kudai mfumo wa Muungano wa serikali tatu nje ya Bunge la Katiba kwa nguvu zote, ikiwamo kufanya maandamano ya amani nchi nzima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani