Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa,watawala kuondolewa uongozi Ushirika

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imetoa waraka wa kuwaondoa viongozi wa siasa na serikali katika uongozi wa vyama vya ushirika katika ngazi zote ili kuondoa migogoro ya kimaslahi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa marufuku kuongoza ushirika

MKOA wa Tabora umepiga marufuku viongozi wa kisiasa kuongoza vyama vya ushirika vya wakulima kwa madai ya kutanguliza maslahi yao badala ya kuwatetea wakulima. Hayo yalibainishwa na wajumbe wa Kamati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wanaotaka uongozi wanaukana ushirika wao na wazee?

KIASI cha kama wiki moja hivi iliyopita nilikuwa Bukoba. Nikaenda sehemu inaitwa Bukoba Club kutafuta mlo wa mchana. Wakati nikisubiri mlo wangu, alikuja mtoto mmoja mvulana aliyeniambia ana miaka kumi...

 

5 years ago

Michuzi

MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA


Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020

 

9 years ago

CCM Blog

MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI MUHIMBILI ATEUA UONGOZI MPYA


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz             
Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
     STATE HOUSE,
             1 BARACK OBAMA ROAD, 
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maaskofu: Watawala wameshindwa

BAADHI ya viongozi wa dini hapa nchini wamebainisha kuwa kukithiri kwa migomo na matatizo mbalimbali ni dalili za watawala kushindwa kazi. Wakihutubia kwenye mkesha na ibada ya Sikukuu ya Krismasi,...

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ.....: RAIS MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, ATEUA UONGOZI MPYA WA MUDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kukutana na hali ya kumsikitisha.
“ Rais  amesikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya huduma kwa wagonjwa hususan wanaolala chini. Pia amekasirishwa na hali ya kutokujali wala kushughulikia vifaa vya kufanyia kazi ambapo amekuta mashine muhimu za uchunguzi wa magonjwa kama vile MRI na CT-SCAN zikiwa hazifanyi kazi kwa muda wa miezi miwili...

 

9 years ago

Mtanzania

Utulivu watawala uchaguzi Zanzibar

IMG_4639NORA DAMIAN NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR

UPIGAJI kura za uchaguzi mkuu jana umefanyika kwa amani Visiwani Zanzibar, licha ya kuwapo kwa kasoro ndogondogo.

Vituo vingi vya kupigia kura vilianza shughuli zake saa moja asubuhi na wananchi walijitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuwachagua viongozi wanaowapenda.

Jana MTANZANIA ilitembelea vituo vya Shule ya Msingi Bungi, Jimbo la Tunguu, Mkoa wa Mjini Magharibi, Shule ya Maandalizi ya Msingi Kiembesamaki, Mtoni Kidatu na Malindi na kushuhudia wananchi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Upofu wa watawala utaliangamiza Taifa

“SINA kawaida ya kulizwa na mambo ya siasa, lakini katika kikao hicho nilishindwa kujizuia kulia. Sikupata maelezo ya maana ya kuwafanya watu wazima wafanye walivyofanya” Haya ni matamshi ya Baba...

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi watawala Olimpiki Sochi

Urusi imeibuka washindi wa kwanza katika michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi, iliyofanyika katika mji wa Sochi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani