Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa marufuku kuongoza ushirika

MKOA wa Tabora umepiga marufuku viongozi wa kisiasa kuongoza vyama vya ushirika vya wakulima kwa madai ya kutanguliza maslahi yao badala ya kuwatetea wakulima. Hayo yalibainishwa na wajumbe wa Kamati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanasiasa,watawala kuondolewa uongozi Ushirika

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imetoa waraka wa kuwaondoa viongozi wa siasa na serikali katika uongozi wa vyama vya ushirika katika ngazi zote ili kuondoa migogoro ya kimaslahi.

 

11 years ago

Michuzi

DCI MNGULU KUONGOZA TIMU YA WAPELELEZI KUCHUNGUZA TUHUMA ZA WIZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI TABORA


 Na Allan Ntana wa Globu  ya Jamii, Tabora  MKUU wa Jeshi la Polisi hapa nchini IGP Ernest Mangu ameteua timu ya askari polisi wataochunguza tuhuma za wizi wa fedha za wakulima wa zao la tumbaku katika vyama vya ushirika vya wakulima hao mkoani Tabora. 
 IGP Mangu amemteua Kamishna wa Polisi Issaya Mngulu (pichani) ambaye ni Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai hapa nchini kuongoza timu.   Timu hiyo ya upelelezi kutoka makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam tayari...

 

9 years ago

StarTV

Wanasiasa wapigwa marufuku kutumia maeneo ya shule kupiga kampeni

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Tarime na msimamizi wa uchaguzi Venance Mwamengo amevitaka vyama vya siasa kuacha kutumia maeneo ya shule na vyuo kuendesha mikutano yao ya kampeni ili kuepuka kuvuruga masomo kwa wanafunzi husika.

Amesema hayo wakati mgombea ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini Ester Matiko alipochukua fomu ya kuwania ubunge.

Mwamengo amesema kwamba hata ruhusu ratiba ya chama chochote cha siasa, kuendesha mikutano yao ya kampeni katika maeneo ya taasisi yoyote ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuni za kuongoza #Bunge la #Katiba zawasilishwa, porojo za kupoteza muda sasa marufuku [VIDEO]

BUNGE maalum la Katiba limekutana leo mjini Dodoma kwa ajili ya kujadili kanuni mbalimbali zitakazotumika kuliendesha Bunge hilo katika vikao vyake.

 

5 years ago

Michuzi

MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA


Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020

 

5 years ago

Michuzi

DC TUNDURU AUFUNDA USHIRIKA

Mkuu wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Ndg. Julius Mtatiro, amevitaka vyama vya ushirika na vyama vya akiba na mikopo kuzingatia taratibu na sheria katika utendaji kazi wao na kuacha kufanya kazi kwa kwa mazoea.

Ndugu Mtatiro ametoa rai hiyo leo alipokuwa akifunga mafunzo ya siku ya tatu ya vyama vya ushirika na vyama vya akiba na mikopo yaliyoandaliwa na Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Shirika la Ukaguzi na usimamizi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Zambi ahimiza ushirika

 Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi, amewataka wakulima nchini kuanzisha vyama vya ushirika ili waweze kukopesheka kwa urahisi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK: Hatulipi madeni ya ushirika

RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali yake haitalipa madeni ambayo baadhi ya vyama vya ushirika nchini vinadaiwa na mabenki hadi kwanza wezi walioyasababisha wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria....

 

9 years ago

Habarileo

Wanaoua ushirika kukiona -Samia

MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan, amesema ilani ya chama hicho ya awamu ya tano, itawaondoa watendaji wote wanaotumia vyama vya ushirika kwa manufaa yao badala ya wakulima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani