Wanne wafa Tabora katika mapigano
WATU wanne wamefariki dunia kutokana na mapigano ya wakulima na wafugaji, na wengine tisa kujeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Wilaya Igunga, mkoani Tabora. Akizungumza na waandishi wa habari juzi,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Dec
Wanne Moro wafa katika matukio tofauti
WATU wanne wamekufa na watano kujeruhiwa mkoani Morogoro katika ajali tofauti ikiwemo ya watoto wawili kufa baada ya nyumba waliokuwa wamelala kuteketea kwa moto. Kwa mujibu wa Kaimu kamanda John Laswai tukio hilo lilitokea Desemba 7 saa 4 usiku katika maeneo ya Mbuga Tarafa ya Ulanga Wilayani Uranga Mkoani hapa.
10 years ago
GPLWANNE WAFA AJALINI IRINGA
11 years ago
Habarileo29 Mar
Wanne wasombwa na maji ya mvua, wafa
WATU wanne wamekufa na miili yao kukutwa ikielea kwenye maji katika kata ya Nyangao wilayani Lindi mkoani humo.
10 years ago
MichuziWANNE WAFA AJALAINI MKOANI PWANI
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Ulrich Matei alisema kuwa watu hao walikuwa wakimpeleka mgonjwa hospitali.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Januari 5 mwaka huu majira ya saa 6:30 mchana huko eneo la Fukayosi Tarafa ya Msata wilaya ya Bagamoyo.
Alisema kuwa ajali hiyo...
10 years ago
Habarileo19 Feb
Wanne wafa mgogoro wa wakulima, wafugaji Kilosa
WATU wanne wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa na kulazwa katika kituo cha afya cha Mtakatifu Joseph kilichopo kata ya Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro, baada ya kuzuka kwa mapigano baina ya wakulima na wafugaji.
10 years ago
GPLWANNE WAFA WAKIHOFIA KUTOKEA AJALI HUKO PWANI
11 years ago
BBCSwahili13 May
10 wauawa katika mapigano Somalia
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Watu 20 waua katika mapigano Bangui
10 years ago
StarTV10 Nov
Mmoja auawa katika mapigano Mombasa.
Waandamanaji walipora maduka na kuwarushia mawe polisi kupinga kupigwa risasi na kuuwawa kwa mtu anayeshukiwa kuwa mpiganaji Muislamu.
Polisi wanakanusha kuwa walihusiuka na mauaji hayo yaliyotokea Jumamosi ya Hassan Guti, ambaye alihusishwa na mauaji ya afisa mwandamizi wa polisi mwezi Agosti.
Inaarifiwa kuwa ghasia zilizuka Jumapili baada ya mazishi ya Bwana Guti.
Watu kadha wa msimamo mkali wa kidini wameuwawa mjini Mombasa katika miezi ya karibuni.
Kumetokea mashambulio...