Wanne wasombwa na maji ya mvua, wafa
WATU wanne wamekufa na miili yao kukutwa ikielea kwenye maji katika kata ya Nyangao wilayani Lindi mkoani humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Maafa Shinyanga *Barafu yafunika kijiji, watu 42 wafariki dunia *Zaidi ya 91 wajeruhiwa, mamia wasombwa na maji *Nyumba zabomolewa, mifugo mingi nayo yafa
Paul Kayanda na Kadama Malunde, Kahama
WATU 42 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 91 wamejeruhiwa vibaya baada ya mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kunyesha katika Kijiji cha Mwakata, Kata ya Isaka, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Pamoja na vifo hivyo, nyumba za makazi na majengo ya taasisi mbalimbali, yamebomolewa na mafuriko yaliyosababishwa mawe kusambaa kijiji kizima.
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, aliiambia MTANZANIA kwa simu jana kwamba zaidi ya kaya 100...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kYLfWN4-a0awc2SwQD4Dbk1wTf-rt7vs0*kBHFZifWAES8WS3DT*QIPOkARHU7TQUWKH9dGm1SlWYoP-KVV2*JPXTgoDgNYA/BREAKINGNEWS.gif)
WANNE WAFA AJALINI IRINGA
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Wanne wafa Tabora katika mapigano
WATU wanne wamefariki dunia kutokana na mapigano ya wakulima na wafugaji, na wengine tisa kujeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Wilaya Igunga, mkoani Tabora. Akizungumza na waandishi wa habari juzi,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqB-QE2cB-o/VKuQkjhMBLI/AAAAAAAG7ow/Whmujh8WivE/s72-c/image061%2B(1).jpg)
WANNE WAFA AJALAINI MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqB-QE2cB-o/VKuQkjhMBLI/AAAAAAAG7ow/Whmujh8WivE/s1600/image061%2B(1).jpg)
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Ulrich Matei alisema kuwa watu hao walikuwa wakimpeleka mgonjwa hospitali.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Januari 5 mwaka huu majira ya saa 6:30 mchana huko eneo la Fukayosi Tarafa ya Msata wilaya ya Bagamoyo.
Alisema kuwa ajali hiyo...
10 years ago
Habarileo19 Feb
Wanne wafa mgogoro wa wakulima, wafugaji Kilosa
WATU wanne wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa na kulazwa katika kituo cha afya cha Mtakatifu Joseph kilichopo kata ya Dumila wilayani Kilosa mkoani Morogoro, baada ya kuzuka kwa mapigano baina ya wakulima na wafugaji.
11 years ago
Habarileo11 Dec
Wanne Moro wafa katika matukio tofauti
WATU wanne wamekufa na watano kujeruhiwa mkoani Morogoro katika ajali tofauti ikiwemo ya watoto wawili kufa baada ya nyumba waliokuwa wamelala kuteketea kwa moto. Kwa mujibu wa Kaimu kamanda John Laswai tukio hilo lilitokea Desemba 7 saa 4 usiku katika maeneo ya Mbuga Tarafa ya Ulanga Wilayani Uranga Mkoani hapa.
10 years ago
GPLWANNE WAFA WAKIHOFIA KUTOKEA AJALI HUKO PWANI
10 years ago
BBCSwahili07 May
Watu nane wafa kwa mvua Dar es Salaam
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Mamia ya wahamiaji wafa maji