Waombwa ushirikiano kukabili malaria majumbani
KITENGO cha kupambana na malaria Zanzibar kimewataka wananchi kutoa ushirikiano mkubwa katika kufanikisha kazi ya kupiga dawa majumbani itakayofanyika wiki ijayo katika shehia 68.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Jun
JK ahimiza ushirikiano kukabili tabia nchi
RAIS Jakaya Kikwete amesema kutokana na kiwango kilichofikiwa cha Tabia Nchi hivi sasa, nchi za Afrika hazina budi kuungana na kuchukua hatua za kupunguza madhara ya mabadiliko ya hali ya hewa kwa pamoja.
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Polisi yataka ushirikiano kukabili wahalifu
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
JK aomba ushirikiano wa kimataifa kukabili ujangili
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ufunguzi wa mkutano mkubwa wa kudhibiti ujangili na hifadhi endelevu ya wanyamapori uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana na Tanzania katika kukabiliana na majangili...
11 years ago
Mtanzania22 Aug
Polisi waomba ushirikiano kukabili mauaji ya albino

Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu, amesema vitendo vya mauaji ya albino vimeanza kushamiri tena katika baadhi ya maeneo nchini.
Amesema kutokana na hali hiyo, jeshi la polisi limewaomba wananchi, asasi za raia, viongozi wa dini na wanasiasa kushirikiana nao waweze kukamata mtandao wa watu wanaojihusisha na shughuli hizo na kuwachukulia hatua.
Alisema kuwa vitendo hivyo vinahusishwa moja...
11 years ago
Dewji Blog27 Oct
Tibaijuka asisitiza ushirikiano duniani kukabili changamoto mbalimbali
Baadhi ya wakuu wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa nchini wakiwapokea wageni waalikwa kwenye hafla mchapalo ya kusheherekea miaka 69 ya Umoja wa Mataifa iliyofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar.
Na Mwandishi wetu
Tanzania imetaka jumuiya za kimataifa na washirika wa maendeleo kuhakikisha wanashirikiana na Umoja wa Mataifa kuhakikisha kwamba madhumuni ya kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa (UN) yanafikiwa.
Umoja wa Mataifa ulianzishwa miaka 69 iliyopita kuhakikisha amani, maendeleo na...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
RTI yataka ushirikiano vita ya malaria
WAKATI Tanzania ikiungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Malaria, Kampuni ya RTI International ya jijini Dar es Salaam, imesema vita dhidi ya ugonjwa huo inahitaji ushirikiano, hivyo kuzitaka...
11 years ago
Michuzi27 Oct
PROF.TIBAIJUKA ASISITIZA USHIRIKIANO DUNIANI KUKABILI CHANGAMOTO MBALIMBALI



11 years ago
GPL
TIBAIJUKA ASISITIZA USHIRIKIANO DUNIANI KUKABILI CHANGAMOTO MBALIMBALI
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Novartis and Malaria No More help fulfill malaria treatment goal in Zambia by raising funds for three million treatments through Power of One
-Power of One campaign, supported by exclusive treatment sponsor Novartis, raises funds for three million treatments for children with malaria
-Novartis associates rallied behind Power of One to fund close to 500,000 antimalarial treatments for Zambia
-Company reaches delivery landmark with 700 million antimalarial treatments supplied without profit in 60 malaria-endemic countries since 2001
Novartis (http://www.novartis.com) announced today that, through Power of One, enough funds have...