wapi hapa?
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Oct
JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA
Akiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.
10 years ago
Vijimambo27 Feb
Sikiliza hapa remix ya Nitampata Wapi inayomsifia Wema Sepetu
Jitiririshe na hii hapa remix ya Nitampata Wapi inayomsifia Wema Sepetu
11 years ago
Michuzi9 years ago
GPLSAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?
MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...
10 years ago
Vijimambo23 Mar
HAPA HUDDAH HAPA ZARI BILA DIAMOND HUKO KENYA KULIKONI
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye pati iliyoandaliwa na Zari na Huddah [Boss Lady wa Uganda na Kenya]. Pati ilifanyika kwenye mgahawa wa Art Of Luxury #Skylux Lounge iliyopo Kenya. Watonyaji wali ng'atana sikio kuhusu mchumba wa Zari kutoka Tanzania mbona akuonekana pembeni na vipi mbona kimbwida cha Zari akionekani hewani kama mkungu wa ndizi au mambo ya Project hadi tumboni?. Jitiririshe na picha za warembo hao hapa chini na ufunge mdomo kimya kimya.
10 years ago
Michuzi11 Jul
10 years ago
VijimamboPICHA 5 ZA USHAHIDI KUWA MAGUFULI HAKAMATIKI HIZI HAPA ONA LIVE DODOMA HAPA!!
Dr Magufuli ndiyo habari ya mjini hii ni ndani ya Dodoma na kutoa ujumbe wakusema kuwa Wafanyakazi wazembe,Nitalala nao mbeleeeeee
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Baby Madaha: Diamond wa hapa hapa
MWANADADA anayetamba kimataifa kupitia kazi zake, Baby Joseph ‘Baby Madaha’, amedai mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ hamuwezi kwa lolote kwani yeye yupo kimataifa zaidi....
10 years ago
Vijimambo20 Jan
HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO
Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia.Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano iliyopita baada ya kuona anaishi kwa dhiki na anatengwa na baadhi ya watu.“Nilijitengenezea jeneza langu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10