Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasabato watakaokeketa watoto Kitunda kufutwa

MCHUNGAJI wa Kanisa la Waadventista Wasabato Mtaa wa Kitunda, Sadick Lukinga, amewaonya washiriki wa kanisa hilo walioko katika mtaa huo, ambao watashiriki kuwakeketa watoto wao wa kike watafutwa ushirika wa kanisa hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO MKUBWA WA NENO LA MUNGU WA WASABATO WATANZANIA WAISHIO NCHINI MAREKANI WATOTO WATENGEWA SEHEMU YAO.

 Watoto wakiwa sehemu yao chini ya uangalizi maalumu huku wazazi wao wakihudhuria mkutano mkubwa wa neno la Mungu unaondelea DMV kwa siku nne ikiwa leo Jumampili April 19, 2015 ndio hitimisho la mkutano huo. Watoto wakiangalia vipindi vya watoto kwenye luninga. Msimamizi wa watoto Tanya Muganda akielekeza jambo. Tanya Muganda akiwapatia zawadi watoto

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA DIVISHENI YA AFRIKA MASHARIKI NA KATI WA KANISA LA WAADIVENTISTA WASABATO AWEKA JIWE LA MSINGI LA MSINGI KATIKA KANISA LA WASABATO KIGAMBONI

Katibu Mkuu wa Divisheni ya Afrika Mashariki na kati wa Kanisa la Waadiventista Wasabato, Dkt. Nathaniel Walemba, akifungua kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la kanisa la Waadiventista Wasabato Kigamboni jana mchana, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya extra vaganza yanayoendelea katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Divisheni ya Afrika Mashariki na kati wa Kanisa la Waadiventista Wasabato, Dkt. Nathaniel Walemba, (wa nne kutoka kushoto), akiwa katika picha ya...

 

5 years ago

Michuzi

BARUA ZAWASILISHWA KUTAKA KUFUTWA KESI ZA UDHALILISHAJI WANAWAKE NA WATOTO ZANZIBAR

Zaidi ya barua 100  zimewasilishwa katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashataka (DPP) zenye lengo la kutaka kufutwa kwa kesi za udhalilishaji wanawake na watoto visiwani hapa katika siku za hivi karibuni.Hayo yamesemwa na Wakili wa Seikali kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa mashtaka (DPP) Mkoa wa Mjini Magharib Unguja Omar Makungu Omar wakati alipoka akieleza jinsi wanavyokabiliana na chanagamoto dhidi ya kesi hizo katika mkutano maalumu uliofanyika ofisi za TAMWA-ZNZ huko Tunguu Wilaya ya kati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaopika gongo Kitunda kukiona

SERIKALI ya Mtaa wa Kitunda Kati wilayani Ilala, inatarajia kufanya operesheni ya kukamata watu wanaopika na kuuza pombe haramu ya gongo. Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya wakazi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kitunda, polisi kupambana na uhalifu

KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Kitunda Gold Mining, iliyopo Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, imeahidi kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kupambana na vitendo vya kihalifu kwenye msitu wa Kitunda...

 

10 years ago

Habarileo

Kiongozi wa Wasabato avutiwa na Tanzania

KANISA la Waadventista Wasabato (SDA) duniani limeipongeza Tanzania na Watanzania kwa kulinda amani nchini na pia kusaidia kuleta na kuinua kiwango cha amani na utulivu katika nchi nyingine katika eneo la Afrika Mashariki na Kati.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UDA yawapiga jeki Waanglikana, Wasabato

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA), limechangia sh milioni 20 kwa makanisa ya Anglikana na Waadventista Wasabato yaliyopo Tabata Segerea, jijini. Akikabidhi michango hiyo, Mkurugenzi wa Bodi ya UDA,...

 

9 years ago

StarTV

Waadventista wasabato watakiwa kufanya kazi

Kanisa la waadventista wasabato mtaa wa Sabasaba wilayani Tarime mkoani Mara limewataka waumini wa kanisa hilo kuienzi kauli mbiu ya Rais John Magufuli ya hapa kazi tu kwa kufanya kazi kama yalivyo maagizo ya Mwenyezi Mungu.

Kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi wa mawasiliano wa kanisa la waadventista wasabato jimbo la Mara mchungaji Joseph Matongo katika ibada maalum ya sabato ya 52 ambayo ni sabato ya mwisho ya mwaka 2015.

Mchungaji matongo amesema, baada ya  mh Raisi Magufuli kuja na kauli...

 

10 years ago

Habarileo

Wasabato walaani ukatili kwa albino

KANISA la Waadventista Wasabato Nyanda za Juu Kusini, limelaani visa vya kikatili wanavyotendewa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), ikiwemo kukatwa viungo vyao na kuuawa, likisema watu wanaowatendea uovu huo wamelaaniwa na Mungu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani