Wasabato watakaokeketa watoto Kitunda kufutwa
MCHUNGAJI wa Kanisa la Waadventista Wasabato Mtaa wa Kitunda, Sadick Lukinga, amewaonya washiriki wa kanisa hilo walioko katika mtaa huo, ambao watashiriki kuwakeketa watoto wao wa kike watafutwa ushirika wa kanisa hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUBWA WA NENO LA MUNGU WA WASABATO WATANZANIA WAISHIO NCHINI MAREKANI WATOTO WATENGEWA SEHEMU YAO.
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA DIVISHENI YA AFRIKA MASHARIKI NA KATI WA KANISA LA WAADIVENTISTA WASABATO AWEKA JIWE LA MSINGI LA MSINGI KATIKA KANISA LA WASABATO KIGAMBONI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kqvjFhP5Y0k/XuNoxwOSCnI/AAAAAAALtiE/RR884UVQAXIO-SP_6NACekhiRj11bO7RwCLcBGAsYHQ/s72-c/01..jpeg)
BARUA ZAWASILISHWA KUTAKA KUFUTWA KESI ZA UDHALILISHAJI WANAWAKE NA WATOTO ZANZIBAR
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Wanaopika gongo Kitunda kukiona
SERIKALI ya Mtaa wa Kitunda Kati wilayani Ilala, inatarajia kufanya operesheni ya kukamata watu wanaopika na kuuza pombe haramu ya gongo. Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya wakazi wa...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Kitunda, polisi kupambana na uhalifu
KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Kitunda Gold Mining, iliyopo Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, imeahidi kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kupambana na vitendo vya kihalifu kwenye msitu wa Kitunda...
10 years ago
Habarileo10 Feb
Kiongozi wa Wasabato avutiwa na Tanzania
KANISA la Waadventista Wasabato (SDA) duniani limeipongeza Tanzania na Watanzania kwa kulinda amani nchini na pia kusaidia kuleta na kuinua kiwango cha amani na utulivu katika nchi nyingine katika eneo la Afrika Mashariki na Kati.
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
UDA yawapiga jeki Waanglikana, Wasabato
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA), limechangia sh milioni 20 kwa makanisa ya Anglikana na Waadventista Wasabato yaliyopo Tabata Segerea, jijini. Akikabidhi michango hiyo, Mkurugenzi wa Bodi ya UDA,...
9 years ago
StarTV28 Dec
Waadventista wasabato watakiwa kufanya kazi
Kanisa la waadventista wasabato mtaa wa Sabasaba wilayani Tarime mkoani Mara limewataka waumini wa kanisa hilo kuienzi kauli mbiu ya Rais John Magufuli ya hapa kazi tu kwa kufanya kazi kama yalivyo maagizo ya Mwenyezi Mungu.
Kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi wa mawasiliano wa kanisa la waadventista wasabato jimbo la Mara mchungaji Joseph Matongo katika ibada maalum ya sabato ya 52 ambayo ni sabato ya mwisho ya mwaka 2015.
Mchungaji matongo amesema, baada ya mh Raisi Magufuli kuja na kauli...
10 years ago
Habarileo23 Mar
Wasabato walaani ukatili kwa albino
KANISA la Waadventista Wasabato Nyanda za Juu Kusini, limelaani visa vya kikatili wanavyotendewa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), ikiwemo kukatwa viungo vyao na kuuawa, likisema watu wanaowatendea uovu huo wamelaaniwa na Mungu.