Wasira awapiga kijembe wanaotambia shule za kata
>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amewakosoa baadhi ya vigogo wanaojinasibu kuanzisha programu ya shule za sekondari za kata nchini akisema ni ujinga kusema hivyo kwa kuwa miradi yote hufanywa na Serikali na siyo mtu binafsi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogKATIBU WA UENEZI MKOA WA NJOMBE, NGOLE AWAPIGA MSASA MAKATIBU WENEZI WA KATA 16
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Serikali iboreshe shule za kata
SUALA la elimu hapa nchini linapaswa kutazamwa kiundani ili kuwa na elimu bora nchini. Elimu ipewe kipaumbele kwa kuweka miundombinu rafiki na hatimaye kuwa mkombozi kwa maisha ya Watanzania wote....
10 years ago
Mtanzania16 May
JK awabeza waliodharau shule za kata
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
RAIS Jakaya Kikwete amewabeza wale walioziita shule za kata kwa jina la yebo yebo kwa kuwa sasa ndizo zinazofanya vizuri katika ufaulu kwa shule za Serikali.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana, wakati akifunga Maadhimisho ya Wiki ya Elimu yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma.
Alizitolea mfano shule tatu za Mkoa wa Kilimanjaro zilizofanya vizuri katika ufaulu wa mtihani wa kidato cha nne kitaifa.
“Tulikosea wakati tunajenga madarasa, niliwaagiza wajenge madarasa...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Watakiwa wasizidharau shule za kata
WITO umetolewa kwa watanzania kuacha kuzibeza shule za sekondari za kata badala yake waziamini na kuziunga mkono hasa kwa kuwa kipindi hiki ambapo shule hizo zinafanya vizuri katika mitihani ya...
11 years ago
Habarileo04 May
Serikali kushusha neema shule za Kata
SERIKALI imesema imejipanga kuongeza uwekezaji katika Shule za Sekondari za Kata nchini ili kuongeza kiwango cha ufaulu ambapo pia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa katika sekta ya elimu umesaidia kuinua kiwango cha ufaulu kidato cha nne ambacho kilitetereka kwa miaka mitatu mfululizo.
11 years ago
Habarileo29 Dec
Kagera wachachamalia maabara shule za kata
WANANCHI mkoani Kagera kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya zao wameelezwa kuwa hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kupata maendeleo bila kuzalisha wanasayansi, hivyo Serikali ya Mkoa imetoa agizo ifikapo Juni mwaka kesho shule zote za kata ziwe na maabara mbili.
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Maabara 78 kukamilika shule za kata jijini Dar
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Waja na mpango wa kutunuku wanafunzi shule za kata
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Serikali yashauriwa kufuta ada shule za kata
KAIMU Ofisa wa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Pwani, Dismas Chuwalo, ameishauri serikali kufuta ada ya shule za sekondari za Kata ili wahitimu wote wanaochaguliwa waweze kujiunga na shule hizo....