Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasira awapiga kijembe wanaotambia shule za kata

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amewakosoa baadhi ya vigogo wanaojinasibu kuanzisha programu ya shule za sekondari za kata nchini akisema ni ujinga kusema hivyo kwa kuwa miradi yote hufanywa na Serikali na siyo mtu binafsi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

KATIBU WA UENEZI MKOA WA NJOMBE, NGOLE AWAPIGA MSASA MAKATIBU WENEZI WA KATA 16


 KATIBU wa Siasa, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe, Erasto Ngole maarufu kwa jina la Shikamoo Parachichi,  akisisitiza jambo wakati wa kikao na baadhi ya  Makatibu wa Siasa, Itikadi na Uenezi wa Kata pamoja na makatibu Kata wa chama hicho kutoka Kata 16 za Wilaya ya Njombe, kuhusu wajibu wao na mikakati mbalimbali ya kuimarisha uhai wa chama katika Kata zao. Ngole amefanya vikao kama hicho katika wilaya ya Wanging'ombe. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
 Ngole ambaye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali iboreshe shule za kata

SUALA la elimu hapa nchini linapaswa kutazamwa kiundani ili kuwa na elimu bora nchini. Elimu ipewe kipaumbele kwa kuweka miundombinu rafiki na hatimaye kuwa mkombozi kwa maisha ya Watanzania wote....

 

10 years ago

Mtanzania

JK awabeza waliodharau shule za kata

Rais Jakaya KikweteNA RAMADHAN HASSAN, DODOMA

RAIS Jakaya Kikwete amewabeza wale walioziita shule za kata kwa jina la yebo yebo kwa kuwa sasa ndizo zinazofanya vizuri katika ufaulu kwa shule za Serikali.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana, wakati akifunga Maadhimisho ya Wiki ya Elimu yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma.

Alizitolea mfano shule tatu za Mkoa wa Kilimanjaro zilizofanya vizuri katika ufaulu wa mtihani wa kidato cha nne kitaifa.

“Tulikosea wakati tunajenga madarasa, niliwaagiza wajenge madarasa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watakiwa wasizidharau shule za kata

WITO umetolewa kwa watanzania kuacha kuzibeza shule za sekondari za kata badala yake waziamini na kuziunga mkono hasa kwa kuwa kipindi hiki ambapo shule hizo zinafanya vizuri katika mitihani ya...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kushusha neema shule za Kata

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imesema imejipanga kuongeza uwekezaji katika Shule za Sekondari za Kata nchini ili kuongeza kiwango cha ufaulu ambapo pia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa katika sekta ya elimu umesaidia kuinua kiwango cha ufaulu kidato cha nne ambacho kilitetereka kwa miaka mitatu mfululizo.

 

11 years ago

Habarileo

Kagera wachachamalia maabara shule za kata

WANANCHI mkoani Kagera kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya zao wameelezwa kuwa hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kupata maendeleo bila kuzalisha wanasayansi, hivyo Serikali ya Mkoa imetoa agizo ifikapo Juni mwaka kesho shule zote za kata ziwe na maabara mbili.

 

10 years ago

Mwananchi

Maabara 78 kukamilika shule za kata jijini Dar

>Ujenzi wa maabara 78 za masomo ya sayansi kwa shule za sekondari za kata jijini Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika Novemba 30, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Waja na mpango wa kutunuku wanafunzi shule za kata

Maendeleo hayaji bila hamasa na motisha. Ili shule za sekondari za kata zifanye vizuri katika taaluma kama ilivyo kwa shule binafsi, wadau wa shule hizo na jamii kwa jumla haina budi kubuni mikakati ya kukuza ari ya kufundisha na kujifunza shuleni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kufuta ada shule za kata

KAIMU Ofisa wa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Pwani, Dismas Chuwalo, ameishauri serikali kufuta ada ya shule za sekondari za Kata ili wahitimu wote wanaochaguliwa waweze kujiunga na shule hizo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani