Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wassira: Msitumie maneno ya uzushi kufanyia maamuzi

>Stephen Wasira siyo jina dogo katika ulimwengu wa siasa za Tanzania. Ni miongoni mwa wanasiasa wachache nchini ambaye amepata kuwa kiongozi katika Serikali ya awamu ya kwanza, pili na ya nne akishika nafasi mbalimbali za uwaziri na ukuu wa mkoa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.

Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na  nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Msitumie bidhaa zilizoisha muda’

Wakazi wa Mkoa wa Simiyu wametakiwa kuacha kutumia bidhaa zilizoisha muda wake kwa kuwa husababisha madhara kwa walaji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TRCA: Msitumie vibaya mitandao ya kijamii

WATANZANIA wamehimizwa kuacha matumizi mabaya ya mitandao ya jamii ikiwemo kuweka picha za utupu, kusababisha ugomvi, kuwahimiza wengine kwa mambo yasiyo ya kweli, kupotosha jamii na kuvuruga maendeleo. Akizungumza, Meneja...

 

10 years ago

Habarileo

JK- Msitumie fedha za maendeleo kulipa posho

RAIS Jakaya Kikwete amezitaka halmashauri nchini kuepukana na vishawishi vya kutumia fedha za maendeleo ya wananchi kulipia posho za vikao vya madiwani.

 

10 years ago

Habarileo

'Maneno maneno' yamkera Waziri

WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE: MSITUMIE SUKARI SIYO NZURI SANA!

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni na jarida moja la masuala ya afya la nchini Uingereza (BMC Public Health), unywaji wa vinywaji vyenye sukari, kiasi cha mara tatu kwa wiki, huweza kunenepesha matiti na unenepaji wa matiti huongeza hatari ya mwanamke kupatwa na saratani ya matiti. Waliofanyiwa utafiti huo ni wanawake 776 ambao hawajafikia ukomo wa hedhi (Premenopausal) na wanawake 779 waliofikia ukomo wa hedhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dogo Janja aanza kufanyia kazi Arusha

KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’, amesema kwa sasa atakuwa anafanya kazi zake za muziki jijini Arusha kutokana na mashabiki wengi wa Dar es Salaam...

 

10 years ago

Mwananchi

BoT kufanyia kazi noti ya Sh1,000

Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema imeanza kufanyia kazi malalamiko ya kukosewa kwa picha ya Rais wa kwanza wa Tanzania, Marehemu Mwalimu Julius Nyerere.

 

11 years ago

GPL

HATIMAYE WALEMAVU WAPEWA ENEO LA KUFANYIA BIASHARA

Bw. David Nyendo, mlemavu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Maendeleo ya Kiuchumi kwa walemavu akisisitiza jambo katika eneo walilopewa. Mlemavu akisikiliza jambo. Baadhi ya walemavu wakiwa katika eneo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani