Wataka kamati iwataje wabunge wanaohusika na ujangili
>Wananchi mbalimbali wakiwamo wasomi na wabunge, wamelitaka Bunge kuweka wazi majina ya wabunge waliotajwa kuhusika na vitendo vya ujangili wa wanyamapori.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Wabunge wa ujangili wasipotajwa, Bunge halina nia thabiti
KAMA kazi ya Bunge ni kuisimamia serikali, basi ni vema Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira iwataje wabunge wanaotuhumiwa kuhusika na ujangili wa wanyama pori, ili nao wawajibike....
11 years ago
Habarileo11 Jun
Wabunge wataka walindwe na polisi
MBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) ameomba Serikali iwape ulinzi wa polisi wabunge, kama inavyofanya kwa viongozi wengine, wakiwemo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Walemavu wataka asilimia 30 ya wabunge
WATU wenye ulemavu jijini Mwanza, wamependekeza katiba mpya ijayo iamuru rais wa nchi asiteue wabunge watano kutoka kundi hilo maalumu, badala yake idadi hiyo ipatikane kwa asilimia 30 kati ya...
11 years ago
Habarileo13 Feb
Wabunge wataka mwandishi aombe radhi
WABUNGE nchini wamesema habari ya Gazeti la Uingereza la Daily Mail on Sunday kuwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete inafumbia macho ujangili ni upotoshaji na serikali inapaswa kumtaka mwandishi huyo aombe radhi.
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wabunge India wataka Marekani iwajibike
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wabunge wataka tume kuchunguza EFD
11 years ago
Mwananchi20 May
Wabunge wataka JK aunde tume ya elimu
10 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge wataka wauza ‘unga’ wanyongwe
SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, unaopendekeza wanaobainika kufanya biashara hiyo, watozwe faini ya Sh bilioni moja au kifungo cha maisha.
11 years ago
Habarileo12 Jan
Wabunge wataka Operesheni Mifugo irudie
WABUNGE wa majimbo ya Morogoro, wameiomba Serikali ya Mkoa kurudia Operesheni ya kuondoa Mifugo katika maeneo mbalimbali na Hifadhi ya Bonde la Mto Kilombero baada ya kurejea kwa mifugo hali inayosababisha uharibifu wa mazingira.