Wataka kuundwe Tume ya Utamaduni wa Kimila
UMOJA wa Machifu Tanzania (UMT) umewasilisha mapendekezo yao wanayotaka yaingizwe kwenye Rasimu ya Katiba mpya na miongoni mwao wanataka watambuliwe pamoja na kuundwe tume ya utamaduni wa kimila.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 May
Wabunge wataka JK aunde tume ya elimu
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wabunge wataka tume kuchunguza EFD
10 years ago
Mtanzania02 Apr
CCM wataka tume vurugu Zanzibar
Na Is-haka Omar, Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, kimeitaka Serikali kuunda tume huru kuchunguza tukio la kuvamiwa na kujeruhiwa vibaya wafuasi 25 wa Chama cha Wananchi (CUF), waliokuwa wanatoka katika mkutano Makunduchi hivi karibuni.
Kauli hiyo ya CCM imekuja siku chache baada ya CUF, kuishutumu kuhusika na tukio la kupigwa na kujeruhiwa kwa wafuasi wake.
Akizungumza na MTANZANIA jana mjini Unguja, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Vuai Ali Vuai, alikana chama chao kuhusika na kutukio...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Wanazuoni wataka tume huru uchaguzi
WASOMI kutoka vyuo vikuu nchini, wamesema wanataka mfumo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uwe huru. Rai hiyo waliitoa jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kongamano la ushiriki...
10 years ago
Habarileo14 Dec
Wasomi waiponda PAC, wataka Tume huru
WAKATI Ikulu ikitoa taarifa na kusema kuwa Rais Jakaya Kikwete atafanya maamuzi juu ya sakata la akaunti ya Escrow kuhusu maazimio ya Bunge, Jumuiya ya Wanazuoni wameibuka na kuponda maazimio ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe
10 years ago
Vijimambo13 Jun
TUME YA HAKI ZA BINADAMU, UNESCO WATAKA JAMII KUTAMBUA WATU WENYE ALBINISM
![XX](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/XX.jpg)
![UNS](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/UNS.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Hollande ataka kuundwe serikali ya Ulaya
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora nchini, leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...