Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hollande ataka kuundwe serikali ya Ulaya

Rais Francois Holande amependekeza kuundwe serikali moja ya Ukanda wa Ulaya, yenye bunge moja na sarafu moja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Obama ataka Ulaya kudhibiti ebola

RAIS wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa nchi za Ulaya kufanya juhudi kuhakikisha homa ya ebola inadhibitiwa huku Ufaransa ikitangaza kufanya ukaguzi zaidi katika viwanja vya ndege ili kuhakikisha kuwa watu wanaoingia katika ardhi ya Ufaransa wamefanyiwa vipimo.

 

10 years ago

Habarileo

Wataka kuundwe Tume ya Utamaduni wa Kimila

UMOJA wa Machifu Tanzania (UMT) umewasilisha mapendekezo yao wanayotaka yaingizwe kwenye Rasimu ya Katiba mpya na miongoni mwao wanataka watambuliwe pamoja na kuundwe tume ya utamaduni wa kimila.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa ataka serikali tatu

Hatimaye mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa amezungumzia kuundwa kwa Katiba Mpya ambayo itakuwa ya serikali tatu itakayoipa Zanzibar mamlaka kamili.

 

11 years ago

Habarileo

Balozi Lusinde ataka serikali 1

MWANASIASA mkongwe nchini Balozi mstaafu Job Lusinde (83) amesema angependelea muundo wa serikali moja ili kupambana na kero za Muungano zilizopo.

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa ataka weledi Serikali za Mitaa

WATUMISHI wa Serikali za Mitaa wametakiwa kufanya kazi kwa kujituma wakizingatia maadili na taaluma zao badala ya kufanya kazi kwa woga na kwamba hakuna mtumishi yeyote atakayeadhibiwa akifanya kazi yake kwa weledi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi ataka serikali mpya Uraq

Kiongozi wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatollah Ali al-Sistani ametaka kuundwa haraka kwa serikali mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani ataka serikali iongeze walimu

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Kagera, limeiomba serikali kujizatiti zaidi kuzalisha walimu wengi hapa nchini ili kukuza sekta hiyo muhimu. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiongozi APPT ataka mjadala mkali muundo wa Serikali

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa APPT Maendeleo, Peter Mziray, ameshauri kuwe na mjadala mkali na wenye hisia kali kuhusu muundo wa Serikali ya Jamhuri.

 

10 years ago

Habarileo

Ataka Serikali kuhakikisha uhuru wa habari kusaidia wananchi

Mwanahabari Nguli nchini, Jenerali Ulimwengu.MWANDISHI mkongwe Jenerali Ulimwengu alinyakua tuzo ya Utumishi Uliotukuka katika Tuzo ya Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kutokana na mchango wake katika tasnia ya habari na kukemea maovu bila woga kwa kutumia kalamu yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani