Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watalipaje kama wanazuiwa kwenda kutafuta ajira?

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, ametoa agizo kwa taasisi zinazohusika kuhakikisha kuwa Watanzania ambao wanadaiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, hawapatiwi ruhusa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHAMSA, NAY, SIAMINI KAMA NYIE NI WA KUTAFUTA KIKI!

WAANDISHI wa habari na mastaa wa fani mbalimbali duniani ni watu wa familia moja. Wanakutana, wanaongea na baadhi yao wanajenga urafiki mkubwa au hata kuoana. Kuna msururu mrefu wa mastaa walioingia katika uhusiano wa kimapenzi na waandishi au kujenga urafiki wa kindugu. Ni rahisi kwangu kwa mfano, kukutana na staa yeyote mkubwa katika nchi hii kuliko inavyoweza kuwa hivyo kwa mtu mwingine. Hata kama sijawahi kukutana naye, ni...

 

9 years ago

Bongo5

Najipanga kwenda kutafuta Modeling Agency nje, za hapa Bongo hazilipi — Miss Universe TZ 2014

Miss Universe Tanzania 2014, Caroline Benard amesema kuwa kwa sasa anajipanga kwenda kutafuta Modeling Agency za nje ya nchi baada ya kugundua za hapa Bongo zimeshindwa kumtimizia ndoto zake. Caroline Benard (katikati) “Najipanga kwenda kutafuta Modelling Agency za nje coz za hapa Bongo hazilipi. Nipo kwenye modeling toka 2013 hadi leo but still hadi leo […]

 

9 years ago

Mwananchi

CCM wanazika wafu wao, Chadema wanazuiwa

Hii ni aibu ya kujitakia kwa Serikali. Madaktari, manesi, mabwana na mabibi afya hufundisha kwamba kipindupindu ni miongoni mwa magonjwa ambayo husababishwa na bakteria aitwaye “Vibrio cholera” na ni ugonjwa unaosambazwa kupitia kwenye kinyesi kutoka kwa wagonjwa wenye kipindupindu.

 

9 years ago

Bongo5

Kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu – Fid Q

Fidq

Fid Q anaiunga mkono kasi ya wasanii wa Bongo kwenda kushoot video zao nje ya nchi, na kuongeza kuwa inasaidia kufanya watu wafatilie kwa ukaribu ujio wa kazi hiyo.

Fidq

“Nadhani kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu, unajua wabongo ukisema unaenda kufanya video nje ya nchi tayari wanakuwa wanaisubiria kwahiyo sidhani kama ni kosa, ni kitu kizuri kwasababu kinasaidia mtu kunotice kama kuna kitu ulifanya.” Alisema Fid Q kupitia 255 ya XXL.

“Nimeona wasanii wametoa video hivi karibuni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua

0,,16820284_303,00

Blogger Maggid Mjengwa.

Ndugu zangu,

Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.

Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.

Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA

Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ASAFIRI KWA MASAA 14 KWENYE ZIWA VICTORIA KWENDA KISIWANI IRUGWA NA KUTUMIA MASAA MANNE MENGINE KWENDA KISIWA CHA UKARA KISI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa, wilayani Ukerewe waliojitokeza kwa wingi kumpokea ,Kinana ameweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika katika kisiwa hicho akiwa kwenye ziara ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya IrungwaKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray: Napata Wasiwasi Kama Tunaweza Kumpata Rais Kama Kikwete

Napata kigugumizi na mgagasuko mkubwa sana ndani ya kilindi cha moyo wangu, kama tutaweza kumpata Rais atakaye tuthamini kama wewe baba yetu, Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa na hao watakaokupokea kijiti chako, nimeilewa sana hotuba yako siku ya leo (jana) hasa pale uliposema Bongo Fleva na Bongo Movie wameitangaza sana nchi yako ya Tanzania kimataifa na kusahau hata yale machungu unayoyapataga kwenye soka tutakukumbuka sana rais wetu

Vicent Kigosi “Ray”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani