Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watangazania wajipime kwanza kwa haya machache

Wiki ijayo nitaendelea kujadili hasa kwenye runinga, redioni na kwenye hadhara mbalimbali juu ya mchakato wa ndani ya Chama cha Mapinduzi wa kumpata mtu atakayepewa dhamana na chama ya kuwa mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NesiWangu: YAMEBAKI MASAA MACHACHE KUPATA HUDUMA YA MENO KWA...

NesiWangu: YAMEBAKI MASAA MACHACHE KUPATA HUDUMA YA MENO KWA...: HUDUMA YA MENO KWA 50% OFF INAFIKIA KIKOMO JUMATATU TAREHE 1/6/2015 SAA 6:00 USIKU SHUKURANI ZA DHATI KWA DR. TAALIB ALI WA AV...



 

10 years ago

Mwananchi

Uzuri na ubaya wa CCM kuwa na watangazania wengi

Mpaka sasa, zaidi ya makada 30 wamejitokeza wakitangaza nia zao kutaka kuwania kiti cha urais kupitia CCM.

 

10 years ago

Mwananchi

Ahadi za watangazania CCM ni unafiki, uongo au wameokoka?

Hadi sasa wanachama 38 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamechukua fomu kuomba uteuzi wa kupeperusha bendera ya chama hicho tawala katika nafasi ya urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Filikunjombe ataka wanasiasa wajipime

Deo-FilikunjombeNa Mwandishi Wetu, Ludewa

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka viongozi wa siasa kujitafakari kuhusu nafasi wanazoziongoza kuona kama wapo kwa ajili yao binafsi ama kwa ajili ya jamii iliyowachagua.

Filikunjombe alitoa kauli hiyo juzi wakati akitoa salamu zake za pole kwa wakazi wa Ludewa katika mazishi ya aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wilayani hapo, Elizabeth Haule yaliyofanyika kijijini kwake Luana.

Alisema lazima viongozi kujenga utamaduni wa...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yataka vigogo wajipime

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametoa ufafanuzi mpya kuhusu maagizo ya Rais John Magufuli, kwa watendaji wakuu na maofisa masuhuli wote wa wizara, idara na taasisi za Serikali, katika suala zima la kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya fedha za umma. Katika ufafanuzi huo uliotumwa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Balozi Sefue ametaka kila mtendaji wa Serikali kujihoji mwenyewe, kwamba endapo Rais Magufuli ataamua kufika katika eneo lake la kazi, ni kwa kiasi gani atakuta...

 

11 years ago

Mwananchi

Mzee Moyo awataka CCM wajipime

Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Mzee Hassan Nassor Moyo amesema wajumbe wa CCM ndani ya Bunge la Katiba wanatakiwa kujiuliza sababu zilizolifanya kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutoka nje ya Bunge na ndipo watafute suluhu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana aunguruma Mkuranga awataka viongozi waliojilimbikizia vyeo wajipime

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutumia katika mkutano wa hadhara mjini Kimanzichana, wilayani Mkuranga, Pwani , alipoanza zira ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya chama hicho pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.Kinana aliwataka viongozi wa chama na serikali waliojilimbikizia vyeo na kushindwa kutekeleza wajibu wao, waanze kujiuzulu baadhi ya vyeo ili wapatiwe wengine wasio na vyeo kwa lengo la...

 

9 years ago

Habarileo

Mkwasa alia mabao machache

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa anasema pamoja na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Malawi, lakini lengo lao halikutimia kwani walitaka kushinda mabao mengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani