….Watanzania tuombeeni Mungu-Majaliwa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Majaliwa Kassim, amewataka Watanzania wamuombee kwa Mungu yeye pamoja na Serikali ya awamu ya tano chini Rais Dk. John Maugufuli, ili waweze kufanyakazi ya ukusanyaji wa mapato yatakayowanufaisha watu wote.
Majaliwa amesema watu wanaoamini kwamba hawawezi kufanyakazi kwa ajili ya kuliokoa Taifa waondoe dhana hiyo, kwani Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuhakikisha kila kinachokusanywa kama mapato ya nchi kinatumika kwa masilahi ya Watanzania...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rWPPSKB_6Ks/VlDHH2IaRTI/AAAAAAAIHuE/uVbcsmg0vec/s72-c/84eb7daf-a904-49e9-b9ed-42a3df2719d9.jpg)
Magufuli zawadi ya Mungu kwa Watanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-rWPPSKB_6Ks/VlDHH2IaRTI/AAAAAAAIHuE/uVbcsmg0vec/s640/84eb7daf-a904-49e9-b9ed-42a3df2719d9.jpg)
Na mdau Ruger KahwaAwali ya yote napenda kumpongeza Mh. Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangu alipokuwa waziri wa ujenzi alikuwa anonyesha dhahiri kuwa ana nia ya dhati ya kuwatumikia watanzania, na sio maslahi yake mwenyewe na familia yake. Chama chetu cha CCM kilitambua hilo na kumpendekeza kuwa mgombea urais wa Tanzania. Naamini ndani ya chama kuna watu walikuwa na kiu na shauku ya kuwa marais kwa ajili yao na marafiki zao, lakini Mungu wetu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-m3EnQz3obIs/Vltux01FLsI/AAAAAAAIJFg/O_nSR_6S0Ww/s72-c/kassim.jpg)
TUMEDHAMIRIA KUWATUMIKIA WATANZANIA - MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-m3EnQz3obIs/Vltux01FLsI/AAAAAAAIJFg/O_nSR_6S0Ww/s400/kassim.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumapili, Novemba 29, 2015) wakati akifunga maadhimisho ya miaka 20 ya Dayosisi ya Pwani ya Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) kwenye ukumbi wa PTA, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
“Serikali imeanza kukabiliana na upotevu wa...
10 years ago
Mwananchi04 May
Mwenyezi Mungu utunusuru Watanzania na ajali hizi
10 years ago
Vijimambo27 Dec
SUMAYE ATAKA WATANZANIA KUWA NA HOFU YA MUNGU
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/123.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s72-c/1.jpg)
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-slj5kZenQ3E/VmG0l_MVMzI/AAAAAAAA1b4/FHGu_bGtYuo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vd0xHojhppo/VmG0lexvtUI/AAAAAAAA1b0/iW1seV--6-0/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IXaqdStwolQ/XklxlLsc5SI/AAAAAAALdms/pG6b_TER8BgxaJCdsZBMtVpQuXqFfE9TACLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault-3.jpg)
WATANZANIA WALIOPO WUHAN WAPO SALAMA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IXaqdStwolQ/XklxlLsc5SI/AAAAAAALdms/pG6b_TER8BgxaJCdsZBMtVpQuXqFfE9TACLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault-3.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo (Jumapili, Februari 16, 2020) kwenye Kumbukumbu ya Mazazi ya Mtume Muhammad Swalla Allahu Alayh...
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Watanzania tujifunze kuweka afya mikononi, tusisubiri kudra ya wakubwa au mungu-3
5 years ago
CCM BlogSERIKALI ITASHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WATANZANIA WOTE BILA YA UBAGUZI-MAJALIWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cxqeo85BUus/XqbwX1th4ZI/AAAAAAALoXs/e5HUOsuhQVYjptYY7kx64ZcyHPMRWaIdwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_1501.jpg)
DKT. MARY MWANJELWA ASISITIZA WATANZANIA WAMTANGULIZE MUNGU KATIKA JANGA LA CORON
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxqeo85BUus/XqbwX1th4ZI/AAAAAAALoXs/e5HUOsuhQVYjptYY7kx64ZcyHPMRWaIdwCLcBGAsYHQ/s400/IMG_1501.jpg)
“Hakuna njia nyingine yoyote isipokuwa kunyenyekea chini ya mkono wa Mungu. Tuendelee kuchukua tahadhari wakati bado tunaendelea kumtumainia Mungu. Ni heri kumwishia Mungu, na Roho Mtakatifu atatupa njia ya kutoka hapa tulipo,” alisema.
Ametoa kauli hiyo jana jioni...