WATANZANIA WAPOKEA TUZO YA MAONYESHO YA SANAA MUSCAT
![](http://2.bp.blogspot.com/-KzzT5qTALXM/VODVj2wdpMI/AAAAAAABlRI/kxQ4xzZcmcE/s72-c/fakh2.jpg)
Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Oman Balozi Juma Othman akipokea Tunzo ya ushiriki iliyotolewa na Mwakilishi kutoka Manispaa ya Mji wa Muscat ambao ni Waandaaji wa Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na Utamaduni. Tanzania imepeleka zaidi ya Watu 40 kuonesha kazi wanazoifanya za sanaa ikiwemo,Uchongaji,uchoraji na ufumaji wa nguo. Kulia ni Kiongozi wa Msafara huo Khadija Battashy na kushoto ni Msaidizi kiongozi Masha Hussein.
Naibu Balozi wa Tanzania nchini Oman Juma Othman katikati...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Ratiba ya maonyesho -Tamasha la 34 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo 2015!
Tamasha la 34 la Sanaa za Maonyesho na Utamaduni Bagamoyo…
Sehemu ya umati wa watu wanaojitokeza kushuhudia tamasha hilo…
RATIBA YA TAMASHA – PROGRAM.pdf
10 years ago
VijimamboWashiriki wa maonyesho ya kimataifa ya sanaa wakutana na Balozi wa Tanzania nchini Oman
9 years ago
MichuziTUZO ZA SANAA YA UCHORAJI TINGATINGA
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Basata kutoa tuzo tano za sanaa
ZAMDA BIWI NA IDDY ABDALLAH, (RCT)
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limepanga kutoa tuzo tano kwa wasanii waliochangia jamii na waliotumia maisha yao yote katika maendeleo ya sanaa kwa ujumla nchini.
Tuzo hizo zitakazotolewa katika maadhimisho ya siku ya msanii yatakayofanyika Desemba 12, katika ukumbi wa Blue Pearl uliopo jijini Dar es Salaam, yatakuwa na kauli mbiu ya ‘Nguvu ya Sanaa’.
Mkurugenzi wa Ukuzaji wa Masoko, Nsao Vivian, alisema lengo la maadhimisho hayo ni kumtambulisha msanii,...
11 years ago
Mwananchi12 Jul
MAONI: Tunahitaji tuzo za jumla za sanaa
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
‘Watanzania changamkieni maonyesho DITF’
WATANZANIA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kibiashara kupitia maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) ambayo kwa mwaka huu yatajumuisha makampuni mengi zaidi ya kimataifa....
10 years ago
GPL11 years ago
Tanzania Daima14 May
Watanzania, Waturuki kushiriki maonyesho Dar
WAFANYABIASHARA wa Tanzania wameshauriwa kushiriki kwenye maonyesho ya bidhaa za sekta mbalimbali kutoka Uturuki yatakayoanza kesho. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Balozi wa Uturuki nchini hapa,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9JegV8w-qdc/VZEA0id_ZRI/AAAAAAAAVcg/rzb24I_So_A/s72-c/DSC_0020%255B1%255D.jpg)
PPF YAALIKA WATANZANIA MAONYESHO YA BIASHARA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-9JegV8w-qdc/VZEA0id_ZRI/AAAAAAAAVcg/rzb24I_So_A/s640/DSC_0020%255B1%255D.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y75-C01hwMo/VZEA1GFY0CI/AAAAAAAAVcc/L9x605PlyFQ/s640/DSC_1352%255B1%255D.jpg)