Watu 16 waumia ufyatuaji wa risasi Marekani
Watu 16 wamejeruhiwa kwenye ufyatuaji wa risasi katika bustani moja mjini New Orleans, polisi wamesema.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Watu ishirini wapigwa risasi Marekani
Watu ishirini wamepigwa risasi na mtu mmoja mwenye silaha katika mji wa San Bernardino mashariki mwa Los Angeles.
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Watu 9 wauawa kwa kupigwa risasi kwenye chuo nchini Marekani
Watu 9 wameuwa na wengine saba kujeruhiwa kufuatia mauaji kwa kutumia bunduki yaliyotokea kwenye chuo kilichopo kwenye jimbo la Oregon, Marekani. Muuaji mwenye umri wa miaka 26 alifyatua risasi kwenye chuo cha Umpqua jana asubuhi kwa saa za Marekani na yeye kuuawa na polisi. Polisi wamedai kuwa jina la mtu huyo ni Chris Harper Mercer. […]
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Weusi 2 wapigwa risasi Ferguson,Marekani
Watu 2 weusi walipigwa risasi na polisi katika maandamano ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu kuuawa kwa mvulana mweusi huko Ferguson, Missouri
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watu 5 wapigwa risasi na kuuawa Burundi
Vijana watano wamepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura.
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Watu saba wauawa kwa risasi Burundi
Watu saba wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia kinachodaiwa kuwa jaribio la wizi katika benki moja.
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mwekezaji ajeruhi watu sita kwa risasi Z’bar
Jeshi la Polisi Zanzibar linamshikilia mwekezaji kutoka Ufaransa, Ivan Kodeh kwa tuhuma za kuwajeruhi watu sita wakiwamo waandishi wa habari kwa risasi baada ya uongozi wa Hoteli ya Cristal kudaiwa kugoma kukabidhi madaraka kwa uongozi mpya huko Paje, Mkoa wa Kusini Unguja.
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Ofisa wa jeshi adaiwa kuua watu kwa risasi
>Watu wawili inadaiwa wameuawa na mmoja kujeruhiwa eneo la Pugu Kinywamwezi baada ya kupigwa risasi na ofisa mmoja wa jeshi wakati walipopanda katika gari lake huku wakishangilia kuanza kwa Mwaka Mpya wa 2014.
10 years ago
CloudsFM25 Nov
MWEKEZAJI AJERUHI WATU SITA KWA RISASI ZANZIBAR
Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai Zanzibar (DDCI), Salum Msangi aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa tano asubuhi katika hoteli hiyo.
Aliwataja waliojeruhiwa kuwa ni...
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
Waja wazito waumia zaidi na Ebola
Wanawake waja wazito ni nadra kupona wakiambukizwa Ebola, utafiti unafanywa kujua sababu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania