Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 16 waumia ufyatuaji wa risasi Marekani

Watu 16 wamejeruhiwa kwenye ufyatuaji wa risasi katika bustani moja mjini New Orleans, polisi wamesema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Watu ishirini wapigwa risasi Marekani

Watu ishirini wamepigwa risasi na mtu mmoja mwenye silaha katika mji wa San Bernardino mashariki mwa Los Angeles.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Watu 9 wauawa kwa kupigwa risasi kwenye chuo nchini Marekani

Watu 9 wameuwa na wengine saba kujeruhiwa kufuatia mauaji kwa kutumia bunduki yaliyotokea kwenye chuo kilichopo kwenye jimbo la Oregon, Marekani. Muuaji mwenye umri wa miaka 26 alifyatua risasi kwenye chuo cha Umpqua jana asubuhi kwa saa za Marekani na yeye kuuawa na polisi. Polisi wamedai kuwa jina la mtu huyo ni Chris Harper Mercer. […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Weusi 2 wapigwa risasi Ferguson,Marekani

Watu 2 weusi walipigwa risasi na polisi katika maandamano ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu kuuawa kwa mvulana mweusi huko Ferguson, Missouri

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 5 wapigwa risasi na kuuawa Burundi

Vijana watano wamepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu saba wauawa kwa risasi Burundi

Watu saba wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia kinachodaiwa kuwa jaribio la wizi katika benki moja.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwekezaji ajeruhi watu sita kwa risasi Z’bar

Jeshi la Polisi Zanzibar linamshikilia mwekezaji kutoka Ufaransa, Ivan Kodeh kwa tuhuma za kuwajeruhi watu sita wakiwamo waandishi wa habari kwa risasi baada ya uongozi wa Hoteli ya Cristal kudaiwa kugoma kukabidhi madaraka kwa uongozi mpya huko Paje, Mkoa wa Kusini Unguja.

 

11 years ago

Mwananchi

Ofisa wa jeshi adaiwa kuua watu kwa risasi

>Watu wawili inadaiwa wameuawa na mmoja kujeruhiwa eneo la Pugu Kinywamwezi baada ya kupigwa risasi na ofisa mmoja wa jeshi wakati walipopanda katika gari lake huku wakishangilia kuanza kwa Mwaka Mpya wa 2014.

 

10 years ago

CloudsFM

MWEKEZAJI AJERUHI WATU SITA KWA RISASI ZANZIBAR

Jeshi la Polisi Zanzibar linamshikilia mwekezaji kutoka Ufaransa, Ivan Kodeh kwa tuhuma za kuwajeruhi watu sita wakiwamo waandishi wa habari kwa risasi baada ya uongozi wa Hoteli ya Cristal kudaiwa kugoma kukabidhi madaraka kwa uongozi mpya huko Paje, Mkoa wa Kusini Unguja.
Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai Zanzibar (DDCI), Salum Msangi aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa tano asubuhi katika hoteli hiyo.

Aliwataja waliojeruhiwa kuwa ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waja wazito waumia zaidi na Ebola

Wanawake waja wazito ni nadra kupona wakiambukizwa Ebola, utafiti unafanywa kujua sababu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani