‘Watu wengi hawana uelewa wa usonji’
WATANZANIA wengi hawana uelewa wa tatizo la usonji (autism) kwa watoto, hivyo uhamasishaji na utoaji wa elimu kwa jamii unahitajika ili watu watambue tatizo hilo na kuweza kuwasaidia watoto hao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWatanzania wengi hawana uelewa kuhusu tatizo la usonji - Mama Salma Kikwete
Watanzania wengi hawana uelewa wa tatizo la usonji (Autism) kwa watoto hivyo basi uhamasishaji na utoaji wa elimu kwa jamii unahitajika ili watu watambue tatizo hilo na kuweza kuwasaidia watoto hao.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma kikwete wakati akiongea na Prof. Andy Shih ambaye ni Makamu wa Rais Mwandamizi wa Mambo ya kisayansi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Autism Speaks katika ofisi za Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) zilizopo jijini Dar es...
11 years ago
Habarileo25 Mar
‘Wahitimu wengi hawana uelewa’
BAADHI ya wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini, wameelezwa licha ya kumaliza vyuo na kupata vyeti kwa ngazi mbalimbali bado hawana uelewa wa kutosha kwa mambo wanayosomea.
10 years ago
Habarileo24 Sep
‘Wengi hawana uelewa wa Katiba’
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kimebaini Watanzania wengi hasa walio mikoa ya pembezoni, kutokuelewa kuhusu mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vIsRoygPXgA/VWuMQ5bFa_I/AAAAAAABgyc/_7zhr0brRAc/s72-c/A.jpg)
KAMPENI YA UELEWA KUHUSU TATIZO LA USONJI YAZINDULIWA JIJINI DAR
Familia nyingi Tanzania hazina ufahamu wa hali hii
Kliniki ya Lotus kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zimeanzisha kampeni mpya inayolenga kuelimisha uma kuhusu ugonjwa wa usonji (autism), ambao watanzania wengi hawaufahamu.Ugomjwa huu sasa unatishia familia nyingi kwani dalili zake huanza utotoni na zinaweza kuendelea hadi ukubwani.Akizugumza wakati wa uzinduzi huo Jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama cha Kuhudumia...
10 years ago
Mwananchi04 Feb
‘Watanzania hawana uelewa wa mirathi’
9 years ago
Bongo528 Sep
Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch
10 years ago
Habarileo22 Nov
TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
TZ: Wengi wana uelewa finyu kuhusu HIV
11 years ago
Mwananchi31 Dec
‘Wajasiriamali wengi nchini hawana elimu’