Watu wengine 4 wauawa Mombasa
Watu wenye bunduki waliokuwa kwenye pikipiki wamewaua takriban watu wanne katika mji ulioko pwani ya Kenya Mombasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8YskyMbZdInhplXf8OytOrwORi4tSkdXuPucTANLGcd3-gGu-rrxOFun4A4qKxptkyYUKdDzhR8zaiGaigo00KE/mombasa.jpg?width=650)
WANNE WAUAWA MJINI MOMBASA, KENYA
Vijana mjini Mombasa, Kenya. WATU wanne wameuawa kwa kuchomwa visu na vijana waliokuwa na silaha mjini Mombasa Pwani ya Kenya. Watu kadhaa pia walijeruhiwa katika shambulio hilo la usiku wa kuamkia leo kwenye vituo vya basi Kisauni.
Mwandishi wa BBC mjini humo Emmanuel Igunza amesema hali ya wasiwasi imetanda Mombasa huku maafisa wa polisi wakipiga doria mitaani. Walioshuhudia mashambulio hayo wanasema vijana waliokuwa...
11 years ago
BBCSwahili03 May
Watatu wauawa kwa bomu Mombasa
Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine sita kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika mji wa Mombasa nchini Kenya.
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
watu 30 wauawa Nigeria
Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jHu91qaKIFKjNGlB7A64a86f0eO3TjN5eizLCtmbHMIauqnrj1gtNxCsdIqwSRRuaCEN76I0KaVE2jo0FbI620n/MAJERUHI2.jpg)
WATU 28 WAUAWA CHINA
Baadhi ya majeruhi katika shambulio hilo wakiwa hospitali. Miili ya watu waliouawa katika shambulio hilo.…
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Watu 50 wauawa Pakistan
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 7 wauawa Somalia
Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Vipi kila ukutanapo na watu wengine wewe ni ombaomba tu?
"OOHOOO, afadhali nimekuona, sasa nitapata elfu ya karibu" hayo ni baadhi ya maneno ambayo siku hizi yamekuwa ni kama sala kwa jinsi yalivyo ya kawaida kutamkwa na baadhi ya watu...
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Watu wawili wauawa Bujumbura
Watu wawili wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia makabiliano makali ya risasi Jumanne Usiku
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania