Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu wengine 4 wauawa Mombasa

Watu wenye bunduki waliokuwa kwenye pikipiki wamewaua takriban watu wanne katika mji ulioko pwani ya Kenya Mombasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WANNE WAUAWA MJINI MOMBASA, KENYA

Vijana mjini Mombasa, Kenya. WATU wanne wameuawa kwa kuchomwa visu na vijana waliokuwa na silaha mjini Mombasa Pwani ya Kenya. Watu kadhaa pia walijeruhiwa katika shambulio hilo la usiku wa kuamkia leo kwenye vituo vya basi Kisauni.
Mwandishi wa BBC mjini humo Emmanuel Igunza amesema hali ya wasiwasi imetanda Mombasa huku maafisa wa polisi wakipiga doria mitaani. Walioshuhudia mashambulio hayo wanasema vijana waliokuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa kwa bomu Mombasa

Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine sita kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika mji wa Mombasa nchini Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

watu 30 wauawa Nigeria

Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.

 

11 years ago

GPL

WATU 28 WAUAWA CHINA

Baadhi ya majeruhi katika shambulio hilo wakiwa hospitali. Miili ya watu waliouawa katika shambulio hilo.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 9 wauawa Burundi

Watu tisa wameuawa usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 50 wauawa Pakistan

Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wauawa Somalia

Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vipi kila ukutanapo na watu wengine wewe ni ombaomba tu?

"OOHOOO, afadhali nimekuona, sasa nitapata elfu ya karibu" hayo ni baadhi ya maneno ambayo siku hizi yamekuwa ni kama sala kwa jinsi yalivyo ya kawaida kutamkwa na baadhi ya watu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa Bujumbura

Watu wawili wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia makabiliano makali ya risasi Jumanne Usiku

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani