Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauaji wa wanawake Arusha mbaroni

Arusha Town

Arusha Town

ELIYA MBONEA NA EDITHA EDWARD, ARUSHA

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limewatia mbaroni watu saba wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya wanawake pamoja na uporaji wa kutumia silaha mjini hapa.

Taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari jana na Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, ilisema kuwa kati ya watuhumiwa hao, wawili walifikishwa mahakamani juzi na kusomewa mashtaka.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, waliokamatwa wanahusika pia na tukio la kumpiga risasi mtoto wa miaka...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wauaji mmiliki wa shule mbaroni

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaPOLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuua mmiliki wa shule ya Mtakatifu Zion, Anna Mizingi (48) kisha kumtumbukiza katika shimo la choo cha shule hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yaonya wanawake kujichunga na wauaji Dar

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaKUTOKANA na kushamiri kwa matukio ya wanawake kuuawa na watu wanaodhaniwa ni wapenzi wao wa muda mfupi, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewaonya wanawake jijini Dar es Salaam kuwa makini na baadhi ya wanaume wanaowataka kimapenzi na kuwaua kisha kutelekeza miili yao.

 

10 years ago

CloudsFM

MBARONI WAKIHUSISHWA NA MAUAJI YA WANAWAKE DAR

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya utekaji, unyanyasaji wa kijinsia na mauaji ya wanawake.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu, Suleiman Kova alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema watuhumiwa hao wamehusishwa na vitendo hivyo baada ya upelelezi wa kina na wa kitaalamu uliosaidia kuwakamata wahalifu hao wakiwa na vielelezo mbalimbali.

Kova aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni...

 

10 years ago

Habarileo

Wakili maarufu Arusha mbaroni

WAKILI mwandamizi wa kujitegemea wa jijini hapa, Manase Keenja (53) mkazi wa Kijenge Mwanama, Arusha, anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kughushi nyaraka za serikali na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu zaidi ya Sh milioni 320.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabomu saba yakamatwa Arusha, 25 watiwa mbaroni

>Jeshi la Polisi limekamata mabomu saba ya kutupa kwa mkono, risasi sita za bunduki aina ya Shortgun, mapanga mawili na bisibisi moja, katika operesheni dhidi ya matukio ya mabomu mjini hapa.

 

11 years ago

Michuzi

watuhumiwa 25 mbaroni arusha kwa kushukiwa kuhusika na matukio ya kigaidi nchini

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(DCI)Isaya Mngulu akishauriana na maafisa wake leo
Kufuatia tukio la mlipuko wa bomu siku ya tarehe 7/7/2014 majira ya saa 22.15 usiku katika mgahawa wa VAMA, eneo la Uzunguni Jijini Arusha,  ambapo watu wanane walijeruhiwa, Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa 25 kwa uchunguzi. Kufuatia uchunguzi huo kati yao watu sita watafikishwa mahakamani mapema iwezakanavyo.Watuhumiwa watakaofikishwa Mahakamani kwa tukio hilo ni:
1.  SHAABAN  MUSSA MMASA @...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wanawake sasa hatarini Arusha’

>Wanawake wanaoendesha magari katika Jiji la Arusha, wamekumbwa na hofu kutokana na kuibuka watu  wasiojukikana ambao wanawashambulia kwa risasi.

 

10 years ago

Habarileo

Anayetuhumiwa kuua wanawake Arusha akamatwa

MTU mmoja ambaye inadaiwa kinara wa kuua na kujeruhi wanawake maarufu, wafanyabiashara na wenye vyeo katika ofisi mbalimbali jijini Arusha, Adamu Mussa (30) mkazi wa Majengo Juu jijini humo ametiwa mbaroni.

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA MAJAJI WANAWAKE DUNIANI KUFANYIKA ARUSHA

Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) kwa kushirikiana na Chama cha Majaji Wanawake Duniani (IAWJ) kitafanya Mkutano wake Mkuu wa 12 utakaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa (AICC), Arusha, Tanzania. 
 Mkutano huo wa Kimataifa ambao utashirikisha jumla ya Majaji Wanawake takribani 600 kutoka nchi mbalimbali duniani wakiongozwa na Rais wao ambaye ni Mtanzania, Mhe. Eusebia Munuo, Jaji wa Rufaa (Mstaafu), utaanza rasmi mnamo tarehe 05 Mei, 2014 na utafunguliwa na Mhe. Dr....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani