Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauza Miraa wamegoma kuipeleka Somalia

Wafanya biashara wa marungi au miraa wa Kenya, wameacha kusafirisha bidhaa hiyo kwenda Somalia kwa sababu imekuwa ghali mno.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Usafirishaji wa miraa Somalia warejelewa

Usafirishaji wa miraa kutoka Kenya hadi Mogadishu umerejelewa baada ya kusitishwa kwa siku tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakataa kusafirisha miraa Somalia

Wafanya biashara wa marungi au miraa wa Kenya, wameacha kusafirisha bidhaa hiyo kwenda Somalia kwa sababu imekuwa ghali mno.

 

11 years ago

Mwananchi

Nooij kuipeleka Stars AFCON

Kocha mpya wa Taifa Stars, Martinus Ignatinus ‘Mart’ Nooij raia wa Uholanzi amesema kazi yake kubwa atakayoanza nayo ni kuhakikisha Stars inafuzu kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika 2015 pamoja mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2016.

 

5 years ago

Bongo Movies

Monalisa kuipeleka tuzo ya APA Bungeni

Dar es Salaam. Siku mbili baada ya msanii Yvonne Cherrie ‘Monalisa’, kuibuka msanii bora wa kike katika tuzo za za African Prestigious Awards (APA), anatarajia kuipeleka tuzo hiyo Bungeni kesho.

Utoaji wa tuzo hizo ulifanyia Aprili 14, mwaka huu Accra, Ghana ambapo lengo lake ni kutambua maendeleo na tija aliyonayo mtu kwenye nyanja za uongozi, biashara, sanaa na kadhalika.

Taarifa kutoka kwa mama yake, Susan Lewis ’Natasha’ iliiambia MCL Digital leo kwamba baada ya msanii huyo kutua leo...

 

10 years ago

Habarileo

Twiga Stars waishukuru TFF kuipeleka Zanzibar

WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars wamelishukuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuihamishia kambi yao Zanzibar.

 

9 years ago

Habarileo

Makalla amtaka Minziro kuipeleka Panone Ligi Kuu

MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla amemtaka kocha mkuu wa timu ya daraja la kwanza ya Panone Fc, Fred Minziro kuandaa timu yake vyema ili kucheza Ligi Kuu.

 

11 years ago

Michuzi

URUSI NA CHINA ZA KWAMISHA AZIMIO LA KUIPELEKA SYRIA ICC

Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, katika mkutano wake uliofanyika siku ya Alhamisi ambapo ilishindikana kupitisha Rasimu ya Azimio lililotaka kuipeleka Syria katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ( ICC) baada ya Urusi na China ambazo ni wajumbe wa kudumu wa Baraza hilo kupiga kura ya turufu (veto) huku nchi 13 zikipiga kura ya kuunga mkono.
Na Mwandishi Maalum Siku chache baada ya Bw. Lakhdar Brahimi ,Mjumbe wa Maalum wa Katibu Mkuu na Muungano wa Nchi za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,miraa inaongeza nguvu za kiume?

Mwakilishi wa wanawake katika eneo la Meru huko Kenya Florence Kajuju ameanza mpango wa kuwahamasisha wanaume kutumia miraa

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasomali walaani marufuku ya Miraa UK

Wasomali waishio Uingereza wanaotafuna mmea wa Miraa wamelaani hatua ya serikali kupiga marufuku mmea huo . Je nini athari yake?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani