Monalisa kuipeleka tuzo ya APA Bungeni
Dar es Salaam. Siku mbili baada ya msanii Yvonne Cherrie ‘Monalisa’, kuibuka msanii bora wa kike katika tuzo za za African Prestigious Awards (APA), anatarajia kuipeleka tuzo hiyo Bungeni kesho.
Utoaji wa tuzo hizo ulifanyia Aprili 14, mwaka huu Accra, Ghana ambapo lengo lake ni kutambua maendeleo na tija aliyonayo mtu kwenye nyanja za uongozi, biashara, sanaa na kadhalika.
Taarifa kutoka kwa mama yake, Susan Lewis ’Natasha’ iliiambia MCL Digital leo kwamba baada ya msanii huyo kutua leo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo513 Dec
Lulu, Monalisa, Richie watajwa kuwania tuzo za Africa Magic, AMVCA 2016
![a2-poster](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/a2-poster-300x194.jpg)
Waigizaji Elizabeth ‘Lulu’ Michael, Single ‘Richie’ Mtambalike na Yvonne ‘Monalisa’ Cherry wametajwa kuwania tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards, AMVCA za mwaka 2016 kupitia filamu walizoigiza.
Majina ya filamu zinazoshindana mwaka huu yalitajwa Jumamosi hii.
Lulu ametajwa kuwania tuzo hizo kwenye kipengele cha Best Movie – East Africa kupitia filamu yake ya Mapenzi ya Mungu pamoja na Monalisa kupitia Daddy’s Wedding.
Kupitia Instagram Lulu ameandika: Nina Kila sababu ya Kumshukuru...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Nooij kuipeleka Stars AFCON
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Wauza Miraa wamegoma kuipeleka Somalia
10 years ago
Habarileo02 Aug
Twiga Stars waishukuru TFF kuipeleka Zanzibar
WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars wamelishukuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuihamishia kambi yao Zanzibar.
9 years ago
Habarileo14 Dec
Makalla amtaka Minziro kuipeleka Panone Ligi Kuu
MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla amemtaka kocha mkuu wa timu ya daraja la kwanza ya Panone Fc, Fred Minziro kuandaa timu yake vyema ili kucheza Ligi Kuu.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RVcy2WF9J7o/U375BQHTjCI/AAAAAAAFkks/DmbJ7iCCvRQ/s72-c/unnamed.jpg)
URUSI NA CHINA ZA KWAMISHA AZIMIO LA KUIPELEKA SYRIA ICC
![](http://2.bp.blogspot.com/-RVcy2WF9J7o/U375BQHTjCI/AAAAAAAFkks/DmbJ7iCCvRQ/s1600/unnamed.jpg)
Na Mwandishi Maalum Siku chache baada ya Bw. Lakhdar Brahimi ,Mjumbe wa Maalum wa Katibu Mkuu na Muungano wa Nchi za...
5 years ago
MichuziWizara ya Kilimo Lazima Tuongeze Tija na Uzalishaji Ili Kuipeleka Tanzania kwenye Uchumi wa Viwanda – Waziri Hasunga
Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye kikao kazi na Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Kilimo pamoja na Idara na Vitengo vya Wizara ya Kilimo uliofanyika Leo Tarehe 7 Machi 2020 Jijini Dodoma. Wengine Pichani ni Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Musabila Kusaya. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)
Sehemu ya Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkwEyosXaP1DIwFGfOPbqWfQf*uW30sYTl9QKObn6kcROk-JbNZyTYRX6BRkH0s4M29nxc5*XP9izhsOQj*qPVUN/mona.jpg)
MONALISA AFANYIWA SHEREHE!