Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Monalisa kuipeleka tuzo ya APA Bungeni

Dar es Salaam. Siku mbili baada ya msanii Yvonne Cherrie ‘Monalisa’, kuibuka msanii bora wa kike katika tuzo za za African Prestigious Awards (APA), anatarajia kuipeleka tuzo hiyo Bungeni kesho.

Utoaji wa tuzo hizo ulifanyia Aprili 14, mwaka huu Accra, Ghana ambapo lengo lake ni kutambua maendeleo na tija aliyonayo mtu kwenye nyanja za uongozi, biashara, sanaa na kadhalika.

Taarifa kutoka kwa mama yake, Susan Lewis ’Natasha’ iliiambia MCL Digital leo kwamba baada ya msanii huyo kutua leo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Lulu, Monalisa, Richie watajwa kuwania tuzo za Africa Magic, AMVCA 2016

a2-poster

Waigizaji Elizabeth ‘Lulu’ Michael, Single ‘Richie’ Mtambalike na Yvonne ‘Monalisa’ Cherry wametajwa kuwania tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards, AMVCA za mwaka 2016 kupitia filamu walizoigiza.

a2-poster

Majina ya filamu zinazoshindana mwaka huu yalitajwa Jumamosi hii.

Lulu ametajwa kuwania tuzo hizo kwenye kipengele cha Best Movie – East Africa kupitia filamu yake ya Mapenzi ya Mungu pamoja na Monalisa kupitia Daddy’s Wedding.

1965077_719656421418883_2052333202_n

Kupitia Instagram Lulu ameandika: Nina Kila sababu ya Kumshukuru...

 

11 years ago

Mwananchi

Nooij kuipeleka Stars AFCON

Kocha mpya wa Taifa Stars, Martinus Ignatinus ‘Mart’ Nooij raia wa Uholanzi amesema kazi yake kubwa atakayoanza nayo ni kuhakikisha Stars inafuzu kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika 2015 pamoja mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2016.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wauza Miraa wamegoma kuipeleka Somalia

Wafanya biashara wa marungi au miraa wa Kenya, wameacha kusafirisha bidhaa hiyo kwenda Somalia kwa sababu imekuwa ghali mno.

 

10 years ago

Habarileo

Twiga Stars waishukuru TFF kuipeleka Zanzibar

WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars wamelishukuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuihamishia kambi yao Zanzibar.

 

9 years ago

Habarileo

Makalla amtaka Minziro kuipeleka Panone Ligi Kuu

MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla amemtaka kocha mkuu wa timu ya daraja la kwanza ya Panone Fc, Fred Minziro kuandaa timu yake vyema ili kucheza Ligi Kuu.

 

11 years ago

Michuzi

URUSI NA CHINA ZA KWAMISHA AZIMIO LA KUIPELEKA SYRIA ICC

Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, katika mkutano wake uliofanyika siku ya Alhamisi ambapo ilishindikana kupitisha Rasimu ya Azimio lililotaka kuipeleka Syria katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ( ICC) baada ya Urusi na China ambazo ni wajumbe wa kudumu wa Baraza hilo kupiga kura ya turufu (veto) huku nchi 13 zikipiga kura ya kuunga mkono.
Na Mwandishi Maalum Siku chache baada ya Bw. Lakhdar Brahimi ,Mjumbe wa Maalum wa Katibu Mkuu na Muungano wa Nchi za...

 

5 years ago

Michuzi

Wizara ya Kilimo Lazima Tuongeze Tija na Uzalishaji Ili Kuipeleka Tanzania kwenye Uchumi wa Viwanda – Waziri Hasunga


Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye kikao kazi na Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Kilimo pamoja na Idara na Vitengo vya Wizara ya Kilimo uliofanyika Leo Tarehe 7 Machi 2020 Jijini Dodoma. Wengine Pichani ni Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Musabila Kusaya. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Sehemu ya Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na...

 

11 years ago

GPL

MONALISA AFANYIWA SHEREHE!

Stori: Hamida Hassan ZIKIWA zimekatika siku 40 tangu kifo cha muongozaji maarufu Bongo, George Otieno ‘Tyson’, mke wa ndoa wa marehemu, Yvonne Sheryl ‘Monalisa’, mama yake mzazi , Suzan Lewis ‘Natasha’ pamoja na mwanaye Sonia wamefanyiwa sherehe. Mke wa ndoa wa marehemu Tyson, Yvonne Sheryl ‘Monalisa’ akiwa katika picha ya pamoja na mwanaye Sonia. Kwa mujibu wa Monalisa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani