Wawata Dar wasaidia wagonjwa mil 9.5/-
WANAWAKE Wakatoliki Tanzania (WAWATA), Jimbo Kuu la Dar es Salaam, wametoa Sh milioni 9.5 kwa ajili ya kusaidia Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Taasisi ya Saratani ya Ocean road.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Wakala wa ununuzi wasaidia wagonjwa
ALLY BADI
WAKALA wa Ununuzi wa Serikali Mkoa wa Lindi, GPSA umekabidhi msaada wenye thamani ya Sh milioni moja kwa wagonjwa wa Hospitali ya Sokoine mkoani hapa.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Kaimu Meneja wa Wakala wa Ununuzi Mkoa wa Lindi, Mwakiselu Mwambange, alisema wametoa msaada wa kanga, sabauni za kuogea na kufulia kwa wagonjwa pamoja na makopo ya maziwa kwa ajili ya kusaidia wagonjwa.
Mwambange alisema kitendo hicho ni utamaduni wa wakala wa ununuzi kusaidia watu wenye...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1-21.jpg?width=650)
WATUMIAJI INSTAGRAM WASAIDIA WAGONJWA OCEAN ROAD
9 years ago
MichuziUJASIRI WA WANASHERIA WASAIDIA KUPUNGUZA VITENDO VYA UKATILI WA JINSIA SOKO LA TABATA MUSLIM JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Bongo Movies21 Dec
Picha: Fashion Show ya Kwanza ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) Jinsi ya Kuvaa Kanisani
Kwa mara ya kwanza mbunifu mkubwa wa mavazi, Mustafa Hassanali akiwa na mwanamtindo maarufu hapa Bongo, Jokate Mwegelo siku ya jana waliandaa onyesho la mavazi ya kanisani kwa wakinamama yaliyofanyika kwenye ukumbi wa kardinali Rugambwa jijini Dar es salaam, ambapo Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ndiyo alikuwa mgeni rasmi wa onyesho hilo.
Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bGrr85Jb5oQ/U_FCwnJNDVI/AAAAAAAGAVo/b5FrIwr9A6g/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
MKUU WA MKOA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AMEFUNGUA JENGO LA HUDUMA KWA WAGONJWA WA NJE (O.P.D) KWENYE KITUO CHA AFYA LUMUMA MPWAPWA LENYE THAMANI YA MIL.350
![](http://3.bp.blogspot.com/-bGrr85Jb5oQ/U_FCwnJNDVI/AAAAAAAGAVo/b5FrIwr9A6g/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-G11Ea-hyKfM/U_FCxNjGGaI/AAAAAAAGAVg/i8tWc1pJ1QA/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
5 years ago
MichuziDAR YABAKI NA WAGONJWA WAWILI WA CORONA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAZIRI wa afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hadi sasa Mkoa wa Dar es Salaam umesalia na wagonjwa wawili pekee wa virusi vya Corona (COVID-19) waliopo katika hospitali za umma na binafsi na kueleza kuwa hali hiyo imepelekea kurejeshwa kwa huduma katika hospitali ya Amana pamoja na kituo cha Mloganzila.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati akifungua kituo cha kitaifa cha Afya Mtandao cha Wizara ya Afya kilichopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tUNFg79Qh_k/Xpwwif9yE9I/AAAAAAALnaY/f2gHzQQD4ckNVfwJu0R8X0VkYp3Ydy7cQCLcBGAsYHQ/s72-c/zanzibar%252Bpic.jpg)
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Coronavirus: Chumba cha wagonjwa mahututi ni nini na ni wagonjwa gani wanastahili kukitumia?
9 years ago
Vijimambo27 Aug
Kipindupindu Dar chaua 10, wagonjwa sasa wafikia 65
Nipashe ilitembelea katika Kambi ya Mburahati wilayani Kinondoni jana na kushuhudia madaktari na wauguzi wakiendelea kutoa matibabu.
Akizungumza na gazeti hili msimamizi wa kambi hiyo, ambaye pia ni Mratibu wa Mafunzo Idara ya Afya Wilaya ya Kinondoni, Alfred Ngowi, alisema hadi...