Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazanzibari walichovya vidole mara mbili

Wakati wapigakura wa Tanzania Bara walitakiwa kuchovya kidole mara moja kuthibitisha kuwa wametumia haki yao ya kidemokrasia kuchagua viongozi wa kitaifa, Tanzania visiwani ilikuwa tofauti; walichovya vidole mara mbili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nimenusurika kupigwa na Wazanzibari mara mbili bungeni

>Mbunge wa Nkasi Kaskazini mkoani Rukwa, Ally Keissy amesema kuwa katika uhai wake akiwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Bunge la Katiba hawezi kusahau alivyonusurika kupata kipigo kutoka kwa wabunge wa Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Adaiwa kujiandikisha mara mbili Daftari la Wapigakura

Mbeya. Mkazi wa Kijiji cha Mpandapanda Kata ya Kiwira wilayani Rungwe, anahojiwa na vyombo vya usalama kwa tuhuma za kujiandikisha mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapigakura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Agonga mara mbili, ajiua kwa risasi

MFANYABIASHARA wa madini, Richard Lucas (29), amejipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti na gari lake kupinduka. Tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 12 jioni nyumbani kwa...

 

10 years ago

GPL

MWANDISHI ALBINO ANUSURIKA KIFO MARA MBILI

OJUKU ABRAHAM/Amani MWANDISHI wa habari mwandamizi, Henry Mdimu ambaye ni Albino, aliyejiteua kuwa Balozi wa kuwatetea walemavu wa ngozi kwa kuanzisha kampeni aliyoiita Imetosha, kutokana na kukithiri kwa mauaji dhidi yao, amesema alinusurika kuuawa mara mbili na watu alioamini walihitaji viungo vyake, Amani lina data kamili. Mwandishi wa habari mwandamizi, Henry Mdimu. Akizungumza na gazeti hili juu ya nia yake hiyo ya...

 

11 years ago

Habarileo

Aliyewahi kujaribu kujinyonga mara mbili afanikiwa kujiua

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Suzan KagandaBIBI kizee aliyefahamika kwa jina la Emmy Mjenzi (106) mkazi wa Mtaa wa Mhuti Kijiji cha Chigongwe wilayani Bahi, mkoani hapa amekufa kwa kujinyonga chumbani kwake kwa kutumia kamba ya mbuyu iliyosokotwa kwa kile kilichodaiwa kuchoka kuishi kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Mtanzania

152 mbaroni kwa kujiandikisha mara mbili BVR

NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, limewatia mbaroni watu 152 wa Mkoa wa Njombe kwa tuhuma za kujiandikisha mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo wa elektroniki (BVR).
Akizungumza jana na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi wa NEC, Dk. Sisti Cariah, alisema watuhumiwa hao walinaswa kupitia vifaa maalumu na watashtakiwa kwa kosa la jinai ili iwe fundisho kwa wengine.
Alisema mfumo mpya wa BVR...

 

10 years ago

Habarileo

150 kortini kwa kujiandikisha mara mbili BVR

 Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC, Dk Sisti CariahTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema watu 152 watafikishwa mahakamani mkoani Njombe kutokana na kujiandikisha mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo mpya wa ‘Biometric Voter Registration Kit’ (BVR).

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge laahirishwa mara mbili kutafuta mwafaka maazimio ya PAC

Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania limeongeza muda wake na kusitisha vikao vyake mara mbili ili kutafuta muafaka juu ya andikaji wa maazimio yatakayotumiwa kuwawajibisha wale wote waliohusika na kashfa ya Escrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani