Waziri atamani Tanesco nyingine
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, ameelezea kukerwa na Shirika la Umeme (Tanesco), kwa kushindwa kufikisha umeme vijijini na kusababisha miradi ya maji kusuasua. “Tungekuwa na mashirika mengine ya umeme tungewafungia maji haraka, lakini kwa vile ni Tanesco peke yake, sasa wananchi hawana maji … Tanesco ukiritimba umezidi,” alisema Profesa Maghembe.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 May
Mbunge- Waziri atafute kazi nyingine
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) amesema haiingii akilini kuona Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika kuendelea kuwa madarakani licha ya kushindwa kusimamia maeneo muhimu ya kilimo kama wakulima kupelekewa mbegu na mbolea bandia.
10 years ago
VijimamboWaziri wa Nishati na Madini azindua Bodi mpya ya Tanesco
9 years ago
StarTV29 Dec
Waziri Muhongo atoa siku saba kwa TANESCO
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametoa siku saba kwa shirika la ugavi wa Umeme nchini TANESCO kuunganisha umeme katika kituo cha ushuru wa forodha kilichopo kwenye mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania ambacho kimekuwa kikitegemea umeme kutoka nchini jirani ya Rwanda.
Waziri Muhongo ametoa maagizo hayo baada ya kupata taarifa kutoka kwa Maafisa wa forodha wa kituo hicho ambao wamemuelezea changamoto ya mara kwa mara ya ukosefu wa umeme...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2SyIV2fY7V0/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kC3K11mrxDA/Xqw7iIzvy-I/AAAAAAALoyg/TL27FtiBEnwC1ZOnkh8Xv2c9H12y3gWpQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3AA-768x512.jpg)
TANESCO KATENI UMEME KWA WADAIWA SUGU MUONGEZE MAPATO-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kC3K11mrxDA/Xqw7iIzvy-I/AAAAAAALoyg/TL27FtiBEnwC1ZOnkh8Xv2c9H12y3gWpQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-3AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-4AA-1024x682.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) pamoja na Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO wakipata maelezo kutoka kwa msimamizi mkuu wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Zuzu jijini Dodoma, baada ya...
9 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA MUHONGO ATEMA CHECHE, Awataka TANESCO kufanya kazi
10 years ago
MichuziWaziri wa Nishati na Madini azindua rasmi Bodi ya Tanesco Asisitiza siku za kuunganisha umeme kupungua
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CtBy_0HfB-s/VO13X40NuUI/AAAAAAAHFxY/Iy7NNVikRac/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISAHATI NA MADINI AKUTANA NA MAMENEJA WA TANESCO,MKOA LINDI, MTWARA, PWANI NA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-CtBy_0HfB-s/VO13X40NuUI/AAAAAAAHFxY/Iy7NNVikRac/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ElIA4ntlnE4/VO13X4gTJpI/AAAAAAAHFxM/PHbFDEwohBg/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-688gDdE8XCE/XntrMp_N7zI/AAAAAAALlA8/X5wDULOKjisVMirWwLmkAElfzz7JTWkcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0ac0cdc6-8372-4b7d-9515-d183e1fcd04f.jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI ARIDHISHWA NA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA TANESCO MKOANI MOROGORO KATIKA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
NAIBU Waziri wa Nishati Subiri Mgalu ameamua kufanya ziara ya kushtukiza katika ofisi Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Morogoro kwa lengo la kuuangalia kama maelezo yote ambayo yametolewa na Serikali kwa ajili ya kujinga na maambukizi ya virusi vya COVID-19 (CORONA) kama yamezingatiwa.
Angalau amefanya ziara hiyo leo Machi 25 mwaka 2020 na akiwa kwenye ofisi hizo za TANESCO mkoani Morogoro amepata nafasi ya kuangalia sehemu ambazo zimetengwa kwa ajili kunawa mikono kwa wateja na...