Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI MKUU ASALI SALA YA EID EL FITRI, KATIKA MSIKITI WA GADDAFI, JIJINI DODOMA.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Viongozi wa Dini ya Kiislam, Mkoa wa Dodoma, wakati akiwasili katika Msikiti wa Gaddafi, Jijini Dodoma, kuhudhuria Sala ya Eid el Fitri, May 24, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiitikia dua, baada ya sala ya Eid el Fitri, katika Msikiti wa Gaddafi, Jijini Dodoma, May 24, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waumini wa Dini ya Kiislamu, waliyohudhuria katika ibada ya sala ya Eid el Fitri, akiitikia dua,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU MAJALIWA ASALI SALA YA EID EL FITRI, MSIKITI WA GADDAFI, DODOMA.


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Viongozi wa Dini ya Kiislam, Mkoa wa Dodoma, wakati akiwasili katika Msikiti wa Gaddafi, Jijini Dodoma, kuhudhuria Sala ya Eid el Fitri, May 24, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiitikia dua, baada ya sala ya Eid el Fitri, katika Msikiti wa Gaddafi, Jijini Dodoma, May 24, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waumini wa Dini ya Kiislamu, waliyohudhuria katika ibada ya sala ya Eid el Fitri, akiitikia dua, baada...

 

10 years ago

Vijimambo

SALA YA EID KATIKA MSIKITI WA ISLAMIC CENTER MASSACHUSSET AVENUE WASHINGTON DC

Islamic Center Mosque ni moja ya msikiti mkubwa ndani ya washington DC, nje ni baadhi ya waumini wakiwa wamemaliza sala ya eid Nje ya msikiti waumini wakisikiliza hutba ya sala ya eid ilisaliwa hapo katika msikiti wa Islamic Center, Washington DCwaumini wakiwa na sura za furaha wakipata picha za kumbukumbu baada ya sala ya eid katika maeneo ya nje ya msikiti wa Massachusset Avenue, Washington DC

 Familia hazikuwa nyuma katika kipiga picha katika siku hii adhimu, siku tukufu, baada ya mahujaji...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu mgeni rasmi Baraza la Eid- ElL-Fitri

pind02

Na Hassan Silayo-MAELEZO

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mizengo Pinda (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid- ElL-Fitri.

Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) Suleiman Lolila baraza hilo litafanyika katika viwanja vya Karimjee kuanzia saa kumi kamili alasiri.

Aidha taarifa hiyo imesema kuwa Sikukuu ya Eid-EL-Fitri inatarajiwa kuwa tarehe 28 au 29 julai 2014 kulingana na mwandamo wa mwezi.

Sikukuu...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA WAJASIRIMALI WA ASALI KATIKA VIWANJA VYA M.J NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda,akipata maelekezo ya asali alipotembelea banda la asali katika maonesho ya 39 yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.Wajasiriamali wa bidhaa ya asali  ndani ya maonesho ya 39 yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

MSIKITI WA GADDAFI DODOMA WAMSHUKURU MEMBE


 Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabani (kulia) akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (katikati), kwa waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani humo jana, wakati waumini hao walipomwita kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi. Kushoto ni Diwani wa Kwadelo, Alhaj Omary Kariati. Waziri wa Mambo ya Nje na...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIKITI WA GADDAFI DODOMA WAMSHUKURU MEMBE - TUMIA HII

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabani (kulia) akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (katikati), kwa waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani humo jana, wakati waumini hao walipomwita kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi. Kushoto ni Diwani wa Kwadelo, Alhaj Omary Kariati. Picha zote na John BadiSheikh Mkuu...

 

5 years ago

CCM Blog

WAPALESTINA WASHAMBULIWA KATIKA SWALA YA EID EL FITRI

Askari wa Kizayuni washambulia Wapalestina katika Swala ya Idi Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Wapalestina waliokuwa wamefika katika Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds kwa ajili ya Ibada.Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Fars, wanajeshi wa utawala ghasibu siku ya Jumapili  asubuhi waliwashambulia  Wapalestina waliokuwa wamefika kando kando ya msikiti wa Al Aqsa kwa ajili ya Swala ya siku kuu ya Eid el Fitri.Pamoja na kuwepo utumiaji mabavu wa askari wa Kizayuni, Wapalestina hao hatimaye waliweza kuswali Swala siku kuu ya Eid el...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Shein ajumuika na waislamu katika Sala ya Eid el Fitr

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein(wa pili kulia) akijumuika na Viongozi na waislamu mbali mbali katika swala ya Suna ya Idd el Fitri iliyoswaliwa kitaifa leo katika viwanja vya Maisara Suleiman Mjini Unguja,Waislamu wa mitaa mbali mbali ya Mji wa Unguja wakimsikiliza Sheikh Soraga(hayupo pichani) alipotoa hutba ya swala ya Idd el Fitri leo iliyoswaliwa kitaifa katika viwanja vya Maisara Suleiman,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...

 

11 years ago

Vijimambo

SALA YA EID ILIOSALIWA KATIKA JIMBO LA MARYLAND NCHINI MAREKANI

Mmoja wa viongozi wa msikiti wa MCC katika jimbo la Maryland nchini Marekani, akielezea maendeleo ya msikiti  katika huduma za afya ,shuke na utanuzi wa msikiti
 IMAM AKITOA MUONGOZO WA SALA YA EID ITAKAVYOSALIWA IKIFUATIWA NA GHUTBA
 KATIKATI, ALMAARUFU DULA MAKEO, NA MBALI KIDOGO UBAVUNI KWAKE NI MOHAMED LODI NA WAUMINI WENGINE WAKIFUATILIA KWA MAKINI MAELEKEZO YA SHEIKH AMBAYE HAYUPO PICHANI






























 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani