WENYE MADUKA SINZA WACHANGIA MIFEREJI KUZIBA
Barabara ya Shekilango maeneo ya Sinza ilivyo na sehemu zilizowekewa zege kwenye mitaro ili kupitisha magari na wateja. Mfereji uliokwamisha maji baada ya kujaa taka. WAFANYABIASHA katika maduka barabara ya Shekilango, jijini Dar es Salaam,  wanasemekana kukwamisha mifereji ya uchafu kwa kujenga njia za zege ili kuwezesha kupitisha kwa urahisi magari yao  na wateja. Mifereji hiyo hushindwa kufanya kazi kutokana na...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziDC CHONGOLO AWAONYA WENYE TABIA YA KUTUPA TAKATAKA KATIKA MIFEREJI ILIYOKO BARABARANI
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Daniel Godfrey Chongolo ametoa onyo kwa wananchi walioko ndani ya Wilaya hiyo ambao wanatabia ya kutupa takataka katika mitaro ambayo imejengwa katika barabara mbalimbali kwa kutumia fedha nyingi za Serikali.
Akizungumza na Michuzi Blog pamoja na Michuzi TV, katika mahojiano maalum, Chongolo amesema kuwa barabara ambazo zinajengwa imekuwa ikiwekewa mifereji ya kuondosha maji , sasa wananchi wamebadilisha na kuanza...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Wenye maduka watakiwa kuacha mgomo
NAIBU wa Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba amewaagiza wafanyabiashara wafungue maduka wakati muafaka baina ya wizara na Jumuiya ya Wafanyabiara (JWT) ukiendelea na mazungumzo. Akitoa taarifa kwa waandishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiIr9s40Eet-FOz2NIBdsjjpdpTl23aR7Aa6i1SctOEtiuQnLjox8WSjinKtwnPq5fVBYHWMOq6TctRwiS3oNXGr/duka2.jpg?width=650)
MGOMO WA WENYE MADUKA KUPINGA KUPANDISHIWA KODI MJINI MOSHI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZmezFz3eu3GTd9yEOWdCV85YIF9ajmqdSS7HxcP1xiuua3*O4UpS5h84SCDDpY2A59pD88pryMgCGhEJWbVD9Y/priscaclementkatikatimarabaadayakushindatajilavipajikatikamashindanoyaMissTanzania2013.jpg?width=650)
MAZOEZI YA MISS SINZA KUANZA MEI 5 KWENYE UKUMBI WA MEEDA, SINZA
11 years ago
MichuziRedd's Miss Sinza 2014 Kufanyika kesho Meeda Club Sinza
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZLXQ7JsgPZI/XoLWv5HKqdI/AAAAAAALlpQ/RA4u_s10GG0PErca0ZP9YT9QlAFz4H7MgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200330-WA0133.jpg)
WAFANYABISHARA WANAOMILIKI MADUKA STENDI KUBWA YA MOSHI WAAMUA KUVUNJA KUFULI BAADA YA MANISPAA YA KUYAFUNGA MADUKA HAYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZLXQ7JsgPZI/XoLWv5HKqdI/AAAAAAALlpQ/RA4u_s10GG0PErca0ZP9YT9QlAFz4H7MgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200330-WA0133.jpg)
Na Woinde Shizza,KILIMANJARO
WAFANYABIASHARA 10 wanaomiliki maduka katika eneo la stendi kubwa Moshi mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuvunja kufuli mara baada ya kufungiwa maduka yao na mgambo wa Manispaa kwa madai kwamba sio wapangaji halali
Wakizungumzia tukio hilo kwa niaba ya wafanyabiashara hao Iren Charles ameleza kwamba wananyanyasika na Mgambo wa Manispaa ya Moshi kwa kuwavamia na kufunga maduka yao hivyo kukazimika kuvunja kufuli hizo.
Ameeleza kuwa walifungua kesi Mahakamani...
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Olunga kuziba nafasi ya Sherman
MSHAMBULIAJI nyota wa Gor Mahia ya Kenya, Michael Olunga ametajwa kuingia kwenye rada za kujiunga na mabingwa watetezi wa ligi kuu, Yanga ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Kpah Sherman wa Liberia ambaye yuko mbioni kusajiliwa na Mpumalanga FC ya Afrika Kusini.
Akizungumza na Raia Tanzania jana jijini Dar es Salaam, mmoja wa viongozi wa bechi la ufundi alisema kocha wao mkuu Hans Van Pluijm anamtaka mshambuliaji huyo kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao.
Kiongozi huyo ambaye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3N9HrgPY5tQcZ4Gr8bzoxFFNXc0pn3MRKZsv0hT6DM91jnsYSG*AXThWDn0Ez0UPiiZSf*FnwIHWLvF5x6pYgAj/faropian1.jpg?width=650)
KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Kampuni ya Dandho yalalamikiwa kuziba barabara
WAKAZI wa Mtaa wa Usalama, Kata ya Sandali, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, wanailalamikia Kampuni ya Dandho inayosafirisha mizigo na mafuta ndani na nje ya nchi kwa kugeuza eneo...