Wizzy anogesha sanaa Nigeria
Wizzy au Wizkid, ni mshindi wa tuzo mbalimbali na nyota maarufu nchini Nigeria na nje ya mipaka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Sanaa kuinua uchumi Nigeria, Tanzania tunalo la kujifunza
HIVI karibuni dunia imeshuhudia na kushtushwa na namna ambavyo taifa la Nigeria limekua kiuchumi barani Afrika na kufanikiwa kuipiku Afrika Kusini. Hayo yamebainishwa katika takwimu mpya zilizotolewa za kupandisha pato...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Dhana ya kikwetu kwetu itasaidia sanaa sanaa
10 years ago
Dewji Blog09 Aug
MO anogesha tamasha la Simba Day
Mgeni rasmi katika Tamasha la Simba Day, Mohammed Dewji akichukua taswira mbalimbali kwenye majukwaa yaliyofurika mashabiki na wanachama wa Simba katika tamasha hilo lililofanyika kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi katika Tamasha la Simba Day, Mohammed Dewji akisalimiana na mmoja wa wadau kwenye jukwaa kuu wakati wa tamasha la Simba Day. Kulia mwenye pama ni Makamu wa Rais wa klabu ya Simba SC, Geofrey Nyange ‘Kaburu’.
Rais wa klabu ya soka ya Simba, Evans Aveva...
10 years ago
Habarileo11 Jun
Mkulima anogesha mbio za urais
MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe (43) jana alichukua fomu za kuwania urais na kusema kuwa kati ya wagombea 27 ambao wamejitokeza haoni kama kuna mgombea ambaye ni tishio kwake.
9 years ago
Habarileo26 Aug
Waziri Mkuu anogesha kampeni za Magufuli
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana alikuwa mstari wa mbele kunogesha kampeni za mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli, akisisitiza ni chaguo sahihi kwa Watanzania na kwamba hata upatikanaji wake ulikuwa sahihi kwa asilimia 100 na kwamba, yeye aliyekuwa mjumbe wa vikao hivyo ni shuhuda wa hilo.
9 years ago
Global Publishers27 Dec
Mwana Fa anogesha hafla ya miaka 250 ya Hennessyâ€
![](http://3.bp.blogspot.com/-gvlpGQHMo3I/Vn0Wm5MBpEI/AAAAAAAAMDs/YxvnsZ0a8aU/s640/_K0A1925.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--rehLSEKazY/Vn0WmO-ajmI/AAAAAAAAMDg/A4n2emQPmjg/s640/_K0A1893.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eQC1DWCecvw/Vn0WlyZiTvI/AAAAAAAAMDc/041PhpCsZmI/s640/_K0A1904.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zf4vEjRscgg/Vn0Wnf-Lr3I/AAAAAAAAMDw/JnAmmirXjpM/s640/_K0A1935.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cJd1yJeKWeg/Vn0WoUKouPI/AAAAAAAAMD4/3nxKn__o5kM/s400/_K0A1962.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ixYFfOxPENA/Vn0WuLN5XXI/AAAAAAAAMEA/wGE0jNT8Sac/s640/h%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WJxNnwv5tf4/Vn0WyXOF1KI/AAAAAAAAMEQ/OL-rL6RAUqw/s640/h%2B444.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RXLAZBw-Tus/Vn0WyhD9bmI/AAAAAAAAMEU/mI-FlSMm5bE/s640/h%2Bndondo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/---X3Ooys2j4/Vn0Wkt4VQyI/AAAAAAAAMDY/6RadpP6zP2E/s640/HENNESSY%2B2.jpg)
10 years ago
VijimamboDIAOMOND USIPIME ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Baby J anogesha onesho la Yamoto Band Dar Live
Baby J akiwapagawisha mashabiki.
….akiwaimbisha mashabiki.
Mabaunsa wakijaribu kuwatuliza vijana waliotaka kumvaa Baby J.
Baby Jay akiimba sambamba na Maromboso wa Yamoto Band.
Baada ya Baby Jay mwanamuziki aliyeibukia kupitia shindano la BSS, Juma Kayumba naye alivamia jukwaa na kuwapagawisha kwa ‘live band’ ambapo aligeuka koffi Olomide kwa muda na kupiga kibao cha Selfie ‘Ikotite’.
Muimbaji wa Taarabu, Zena Mohammed akiimba sambamba na Yamoto Band kibao alichoshirikiana na bendi hiyo ambacho...