Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizzy anogesha sanaa Nigeria

Wizzy au Wizkid, ni mshindi wa tuzo mbalimbali na nyota maarufu nchini Nigeria na nje ya mipaka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sanaa kuinua uchumi Nigeria, Tanzania tunalo la kujifunza

HIVI karibuni dunia imeshuhudia na kushtushwa na namna ambavyo taifa la Nigeria limekua kiuchumi barani Afrika na kufanikiwa kuipiku Afrika Kusini. Hayo yamebainishwa katika takwimu mpya zilizotolewa za kupandisha pato...

 

11 years ago

Mwananchi

Dhana ya kikwetu kwetu itasaidia sanaa sanaa

Ukifikiria umoja, halafu ukitaka kuleta ubinafsi ndani yake, huku ukiangalia dhana yenyewe kwa juu juu unaweza ukahisi unachanganya mambo, lakini ukikaa kwa umakini na kuzitekeleza dhana hizi kwa utaratibu, utajikuta kwenye mafanikio makubwa sana.

 

10 years ago

Dewji Blog

MO anogesha tamasha la Simba Day

IMG_1602

Mgeni rasmi katika Tamasha la Simba Day, Mohammed Dewji akichukua taswira mbalimbali kwenye majukwaa yaliyofurika mashabiki na wanachama wa Simba katika tamasha hilo lililofanyika kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

IMG_1615

Mgeni rasmi katika Tamasha la Simba Day, Mohammed Dewji akisalimiana na mmoja wa wadau kwenye jukwaa kuu wakati wa tamasha la Simba Day. Kulia mwenye pama ni Makamu wa Rais wa klabu ya Simba SC, Geofrey Nyange ‘Kaburu’.

IMG_1648

Rais wa klabu ya soka ya Simba, Evans Aveva...

 

10 years ago

Habarileo

Mkulima anogesha mbio za urais

MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu.MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe (43) jana alichukua fomu za kuwania urais na kusema kuwa kati ya wagombea 27 ambao wamejitokeza haoni kama kuna mgombea ambaye ni tishio kwake.

 

9 years ago

Habarileo

Waziri Mkuu anogesha kampeni za Magufuli

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana alikuwa mstari wa mbele kunogesha kampeni za mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli, akisisitiza ni chaguo sahihi kwa Watanzania na kwamba hata upatikanaji wake ulikuwa sahihi kwa asilimia 100 na kwamba, yeye aliyekuwa mjumbe wa vikao hivyo ni shuhuda wa hilo.

 

9 years ago

Global Publishers

Mwana Fa anogesha hafla ya miaka 250 ya Hennessy‏

Mwana FA akiimba.Dj aliyekuwepo kwenye hafla hiyo akifanya yake. Madam Ritha Paulsen akiwa na Mwana FA pamoja na Mmiliki wa Oasis Baa, Nuru mosha Akiendelea kuimba huku akiwa na chupa yake ya Hennessy Mheshimiwa Zitto pia alikuwapo Chupa ya Hennessy 250 Collectors blend iliyotengenezwa maalum kusherekea miaka 250 ya kinywaji hicho. Kwa ndani kulikuwa na eneo lilikowekwa picha mbalimbali kuhusiana na historia ya kinywaji hicho Wageni waliojumuika pamoja siku hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAOMOND USIPIME ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV

Prezida wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza showa wake Roma Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton Hotel ya Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na mashabiki wake kutoka kila pembe ya Marekani huku mashabiki wengine wakitokea Tanzania, Mzuka unazidi kupanda Diamond Platnumz asaula koti lake.Balozi akimshukuru Diamond kwa kuwezesha kunogesha usiku wa Uhuru wa Tanzania Bara na...

 

9 years ago

Global Publishers

Baby J anogesha onesho la Yamoto Band Dar Live

yamoto band (1)Baby J akiwapagawisha mashabiki.yamoto band (2)….akiwaimbisha mashabiki.yamoto band (3)Mabaunsa wakijaribu kuwatuliza vijana waliotaka kumvaa Baby J.yamoto band (4)Baby Jay akiimba sambamba na Maromboso wa Yamoto Band.yamoto band (5)Baada ya Baby Jay mwanamuziki aliyeibukia kupitia shindano la BSS, Juma Kayumba naye alivamia jukwaa na kuwapagawisha kwa ‘live band’ ambapo aligeuka koffi Olomide kwa muda na kupiga kibao cha Selfie ‘Ikotite’.yamoto band (6)Muimbaji wa Taarabu, Zena Mohammed akiimba sambamba na Yamoto Band kibao alichoshirikiana na bendi hiyo ambacho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani