WOLPER: MIMI NA LOWASA HADI KIFO
![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49aQoaGSXfvcT8XN8EzrouJYxP47sYVdt5kh*QW-CaPvSFYY3M4tt72iKu*PNTpCFkC9ZW8q4A4dVmDTUZ18CuHt/Wolper.gif?width=650)
SHANI RAMADHANI STAA wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper Massawe amejikuta akimwaga machozi usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita kufuatia kambi yake ya kisiasa ya Edward Lowassa ‘Timu Lowassa’ kukatwa jina kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka huu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akisema yeye na Lowassa ni mpaka kifo, Amani limeinyaka....Soma zaidi===>http://bit.ly/1SoLmdV ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
WOLPER: Mimi Sio Simba ni Yanga
Mara baada ya timu ya Simba kuibuka mtani JEMBE, baada ya hiileo kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya timu ya Yanga, muigizaji wakike maarufu, Jackline Wolper aliweka picha hii matandaoni na alipoulizwa kuwa yeye ni mnyama au, wolper alisema.
"Hayo Mavazi tuu mimi ni Yanga yanga yanga ..Yanga woyeeeee ..okey byee sema leo nilipenic sana".
Sasa jiulize maneno haya niyakweli au?!! Au yeye ni Yanga Ukawa….Hehehe. Hongereni Simba na poleni washabiki wa Yanga
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/92d27__wolper2bongoclan.co_.tz_.jpg)
WOLPER: MIMI NI FREEMASON KWA MUDA MREFU SASA!
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qbn-hmie8EI/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies25 Jun
Wolper: Hakulaliki Nipo Tuu Natafakari Kitu Kinaitwa Kifo
Nimelala lakini hakulaliki nipo tuu natafakari kitu kinaitwa kifo, watu wa dini wanasema usilie bali uombe kwa Mungu apunguziwe adhabu ukilia unamuumiza sijui unamzidishia adhabu sasa mtu unaumia ufanyaje?
Jamani dah kifo bwana acheni tuu Mungu aitwe Mungu lakini pia silaumu ila naamini Mungu kafanya hivi ili pia tusijusahau natumkumbuke kuwa yeye yupo sasa ndugu zangu mliogombana mlioachana kimapenzi embu mtafute mwenzio msemezane tuu ata kwa salamu mkikutana ili akifa uweze kwenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GYGxPKcv9GJP1Fr7sxB0bC9NLD9-0X9HDfBZ2p7WFW2otSZ*Nd6GprSsb6zG-dVeKRsU2LIL7h2SaYSqpeh76yM/BANZA.gif?width=650)
BANZA SIKU167 ZA MATESO HADI KIFO!
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Ariel Sharon: Mpiganaji aliyekumbana na misukosuko hadi kifo chake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIuXPv1DFnzacqC4U*CWVZ3EtBQyd85KnySlSNlXRAW5Qa2PUgB2qNB*ITuEnOHi3qZ6Y7fNuD306waEp-yVpXAv/aishaaa.jpg)
AISHA MADINDA; KUTOKA KIGOMA, UHOLANZI, DUBAI HADI KIFO!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FfAWy1U7k-0/Xru3p9ZxuLI/AAAAAAALqBc/vd1Ciah8A5II9hcZowgrZmtONheg6OmFwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_1441.jpg)
MAISHA YA MILIMA NA MABONDE YA NGULI WA MUZIKI WA NCHINI MAFUMU BILAL BOMBENGA HADI KIFO KILIPOMKUTA MEI 11 ,2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-FfAWy1U7k-0/Xru3p9ZxuLI/AAAAAAALqBc/vd1Ciah8A5II9hcZowgrZmtONheg6OmFwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_1441.jpg)
PIGO kubwa limeipata familia ya muziki wa dansi nchini Tanzania baada ya nguli kwenye muziki huo Mafumu Bila Bombenga kufariki dunia jana Mei 11 mwaka huu wa 2020.
Kifo cha mwanamuziki huyo nguli ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupuliza Saxaphone kimeacha majonzi na simanzi kubwa kwa wadau wa muziki huo nchini.
Enzi za uhai wake Mombenga amefanya kazi za muziki katika bendi mbalimbali za muziki wa dansi na hakika amejijengea heshima...
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...