Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wolper: Hakulaliki Nipo Tuu Natafakari Kitu Kinaitwa Kifo

Nimelala lakini hakulaliki nipo tuu natafakari kitu kinaitwa kifo,  watu wa dini wanasema usilie bali uombe kwa Mungu apunguziwe adhabu ukilia unamuumiza sijui unamzidishia adhabu sasa mtu unaumia ufanyaje?

Jamani dah kifo bwana acheni tuu Mungu aitwe Mungu lakini pia silaumu ila naamini Mungu kafanya hivi ili pia tusijusahau natumkumbuke kuwa yeye yupo sasa ndugu zangu mliogombana mlioachana kimapenzi embu mtafute mwenzio msemezane tuu ata kwa salamu mkikutana ili akifa uweze kwenda...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WOLPER, JIFUNZE KITU MIJENGO YA WATU!

Muigizaji wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper. KWAKO muigizaji wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper bila shaka u-mzima wa afya na unaendelea na majukumu yako ya kila siku.Nilisikia siku hizi hutaki tena kuigiza badala yake unatafutiwa biashara ya kufanya, hivi ni kweli? Kwa nini usiendelee na sanaa yako ambayo ndiyo imekufanya uwe maarufu?
Ukitaka kujua hali yangu, mimi ni mzima wa afya. Naendelea na mishemishe zangu...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND: NIPO TAYARI KWA KIFO!

SIKU chache baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata binti na kumwita Latifah ‘Princess Tiffah’ na kuanza maisha mapya ya familia na mzazi mwenzake, Zarina Hassan ‘Zari’, nyota huyo anadaiwa kutoa ya moyoni kwa kusema kuwa sasa yupo tayari kwa kifo kwa vile ndoto yake kubwa ya kupata mtoto imekamilika na ana chata duniani.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1NbUP9j ...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND SASA NIPO TAYARI KWA KIFO

diamond mtotoStaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa na mtoto wake Latifah ‘Princess Tiffah’.
SIKU chache baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata binti na kumwita Latifah ‘Princess Tiffah’ na kuanza maisha mapya ya familia na mzazi mwenzake, Zarina Hassan ‘Zari’, nyota huyo anadaiwa kutoa ya moyoni kwa kusema kuwa sasa yupo tayari kwa kifo kwa vile ndoto yake kubwa ya kupata mtoto imekamilika na ana chata duniani.

KWANZA ANAMSHUKURU MUNGU
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu

Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.

 

"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke  nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...

 

10 years ago

Bongo5

Nora: Wema, Lulu, Wolper wanaweza, Batulli, Aunt Ezekiel, Chuchu Hans hamna kitu!

Muigizaji wa filamu nchini, Nuru Nassoro maarufu kama Nora anaweza akawa ameshaongeza matatizo mengi kuyazidi 99 ya Jay Z. Kwenye kipindi cha hivi karibuni cha Mkasi, Salama Jabir alimuuliza swali gumu kwake la kuwataja wasanii wa filamu wanaofaa na wasiofaa. Nora alikataa kutaja akijitetea kuwa hataki beef na mtu lakini watangazaji wa show hiyo walimrahisishia […]

 

11 years ago

GPL

KIFO CHA TYSON, KUNA KITU!

Stori: WAANDISHI WETU Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine, mwigizaji, prodyuza na mwongozaji filamu mahiri, George Otieno ‘Tyson’ (41). Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiwa limehifadhiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki,...

 

10 years ago

Bongo5

Juma Nature: Wanawake wengi waongo, bado nipo nipo sana

Juma Nature amesema tabia ya uongo kwa wanawake wengi inamfanya asifikirie kuoa awe mgumu kuoa. Nature ambaye ni baba wa mtoto mmoja aitwaye Furaha, ameiambia Bongo5 kuwa anashidwa kufanya uchaguzi sahihi wa mwanamke kutokana na wanawake kuwa matapeli. “Suala la kuoa ni suala la kitaifa, siku mimi nikioa hata rais atajua Juma Nature anaoa, nikiwa […]

 

10 years ago

GPL

WOLPER: MIMI NA LOWASA HADI KIFO

SHANI RAMADHANI STAA wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper Massawe amejikuta akimwaga machozi usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita kufuatia kambi yake ya kisiasa ya Edward Lowassa ‘Timu Lowassa’ kukatwa jina kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka huu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akisema yeye na Lowassa ni mpaka kifo, Amani limeinyaka....Soma zaidi===>http://bit.ly/1SoLmdV ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kapombe: Bado nipo nipo kwanza

ALIYEKUWA beki wa timu ya Simba, Shomari Kapombe, amesema mipango yake ya kujiunga na Azam imekwama, akisubiri amalizane kwanza na AS Cannes ya Ufaransa. Kapombe ameamua kurejea nchini na kujiunga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani