YANGA INAVYOPIGA MATIZI HUKO TUKUYU…
Mabingwa wa kandanda Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans wanaendelea na mazoezi mjini Tukuyu, Mbeya kujiwinda na mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC itayopigwa Agosti 22 mwaka huu uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.Wakiwa huko, Yanga tayari wamecheza mechi mbili za kirafiki ambapo ya kwanza walishinda 4-1 dhidi ya Kimondo FC.Magoli ya Wanajangwani katika mchezo huo uliopigwa uwanja wa CCM Vwawa Mbozi yalifungwa na Geofrey Mwashiuya (mawili), Simon Msuva na Amissi Tambwe.Yanga...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s72-c/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI HUKO TUKUYU,JIJINI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s1600/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo (Julai 8 mwaka huu) kuhusu maandalizi ya timu hiyo, Nooij amesema timu yake inafanya mazoezi kwenye maeneo ya baridi kwa sababu za kitaalamu, hivyo kambi ya Tukuyu kama ilivyokuwa ya Botswana itawasaidia kwa mechi dhidi ya Msumbiji.
Taifa Stars...
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Ajali ya Hiace huko Tukuyu Mbeya: Abiria zaidi ya 20 wapoteza maisha, Utingo pekee anusurika
Baadhi ya miili ya walipoteza maisha kwenye ajali ya gari aina ya Hiace iliyopinduka Mtoni, ikiwa imefunikwa baada ya kuopolewa na wasamaria wema huko, eneo la Uwanja wa Ndege, Kiwira Kyela.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
“Tuamke na Mungu, tutembee na Mungu. Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwa sasa kufuatia hali ya ajali za mara kwa mara zinazotokea ndani ya nchi yetu”.
Asubuhi ya leo huko Tukuyu Mkoani Mbeya imeripotiwa ajali mbaya ya Hiace iliyoua takribani watu zaidi ya 20, eneo la...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HiKWKqm5alA/VK2q1eKrufI/AAAAAAADVE4/62nbqSB4m3Y/s72-c/Simba-SC.png)
SIMBA NAO KAMA YANGA HUKO UWANJA WA AMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-HiKWKqm5alA/VK2q1eKrufI/AAAAAAADVE4/62nbqSB4m3Y/s1600/Simba-SC.png)
Simba sasa imeamka kwenye Kombe la Mapinduzi baada ya kufanikiwa kutinga nusu fainai ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuichabanga Taifa ya Jang'ombe kwa mabao 4-0.
Simba imeonyesha inaweza baada ya kuzitumia dakika 45 za kipindi cha pili kwa kuichapa Taifa mabao yote manne kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Shujaa wa Simba leo ni Ibrahim Ajib aliyefunga mabao matatu, hat trick na kufanikiwa kuondoka na mpira wa zawadi wakati mkongwe Shabani Kisiga alimalizia bao la nne.
Simba ilitawala...
11 years ago
Michuzi10 Mar
10 years ago
Vijimambo06 Jan
YANGA WAFANYA YAO HUKO MAPINDUZI CUP POINTI 9 NA GOLI 9 COUTINHO NI SHEEEDA
Yanga imeifunga Shaba kwa bao 1-0 bao lililo fungwa na Coutinho dk ya 86 katika mechi ngumu katika michuano ya Kombe la Mapinduzi kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Pamoja na kushambulia sana na kukosa sana, Yanga walilazimika kusubiri hadi dakika ya 86 wakati Andrey Coutinho alipofunga bao kwa kichwa akiunganisha krosi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-zHurJ-tRjaQ/VRTfPap0kCI/AAAAAAAAzv8/2-QZdKDMdsY/s72-c/FB_IMG_1427345462102.jpg)
TASWIRA BARABARA TUKUYU RUNGWE
![](http://lh6.ggpht.com/-zHurJ-tRjaQ/VRTfPap0kCI/AAAAAAAAzv8/2-QZdKDMdsY/s640/FB_IMG_1427345462102.jpg)
![](http://lh5.ggpht.com/-5oNpX9OYwnY/VRTfQwvBN-I/AAAAAAAAzwE/GG5fIgsEKLw/s640/FB_IMG_1427345451697.jpg)
![](http://lh6.ggpht.com/-S1AzGz49y2M/VRTfSEqNw8I/AAAAAAAAzwM/Si7PmmPciZg/s640/FB_IMG_1427345446805.jpg)
![](http://lh4.ggpht.com/-lr7X6RVBRTM/VRTfTGoLXMI/AAAAAAAAzwU/XD5J80BhjTA/s640/FB_IMG_1427345435953.jpg)
![](http://lh6.ggpht.com/-ixxy4LTZ6ls/VRTfUWj0OfI/AAAAAAAAzwc/t0vL_HR4WxI/s640/FB_IMG_1427345439893.jpg)
Picha na Bashiru Madodi Rungwe
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XjVtFzsAcjI/VFnx58qeNvI/AAAAAAAGvjw/ILQTBZyakPo/s72-c/unnamed.jpg)
SHUKURANI TOKA FAMILIA YA MAREHEMU MZEE ANGULILE MWASUMBWE WA TUKUYU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-a12xkj_ToR8/VJK-P0JTKYI/AAAAAAAG4Hw/_mQXjtG3vl0/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
Prof. Mwandosya akagua Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Lupaso-Bujesi,Tukuyu
![](http://1.bp.blogspot.com/-a12xkj_ToR8/VJK-P0JTKYI/AAAAAAAG4Hw/_mQXjtG3vl0/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ujj_ouyDCE4/VJK-REUESHI/AAAAAAAG4H0/82ptibUOSNA/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_aLaAR_AwNg/VJK-SQBBX5I/AAAAAAAG4IA/uAUNqP4f8BM/s1600/unnamed%2B(60).jpg)