Yanga yaivuruga Simba kwa Sh90m
Waswahili husema, mwenye fedha siyo mwenzio! Hiki ndicho kinachoonekana kufanywa na klabu ya soka ya Yanga ambayo imetumia jeuri ya fedha msimu huu kuivurugia Simba kwenye usajili unaoendelea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
Vijimambo29 May
Yanga safi kwa Mzimbabwe, Simba yakwama kwa Mavugo
![](http://api.ning.com/files/5wu8U2MaqbiIzZtKrnNmE56xoZWtOlqiPAp30XO*4RBtcLoLMfKi-NaTZ0C5Gdigaq8AnGbMpWzXYoff4gnpmYLFJDAN*bl8/donaldngoma.jpg)
Dinaldo Ngoma, FC Platinum ya Zimbambwe.
Nicodemus Jonas na Hans MloliMBIO za usajili zinazidi kukolea, Yanga imemalizana na Dinaldo Ngoma wa FC Platinum ya Zimbambwe, wakati upande wa pili wapinzani wao, Simba wanaweza kukwama kumnasa straika Mrundi, Laudit Mavugo kutokana na Klabu ya Vital’O kuonekana kuweka ngumu.Yanga wameeleza kuwa wamemalizana na mchezaji huyo lakini wanachosubiri ni tamko la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya kuongeza idadi ya wachezaji wa kimataifa.Katibu Mkuu...
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Simba yaendeleza ubabe kwa Yanga
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Simba kuishangilia Yanga kwa masharti
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Simba yaichokoza Yanga kwa Msuva
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Udhaifu wa Simba kuibeba tena kwa Yanga
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mashabiki Yanga wang’ara kwa Simba