Young Killer arekodi wimbo na Fid Q , aupa jina la tarehe yao ya kuzaliwa ’13’, umefanywa na maproducer 4 akiwemo Majani
Rapper kutoka Rock City, Young killer Msodoki wiki hii amerekodi wimbo mpya ambao amemshirikisha kaka yake rapper Fareed Kubanda aka Fid Q, ambaye pia anatoka Mwanza. Msodoki amezungumza na Bongo 5 kuhusu wimbo huo, “Ni project mpya kabisa kali naweza kusema kwasababu imekutanisha wakali wawili halafu kutoka mji mmoja”, alisema Killer. Amesema kuwa jina la […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Fid Q, Young Killer kupokewa kifalme Mwanza
WASANII wa muziki wa hip hop wanaowakilisha Mwanza ‘Rock City’, Farid Kubanda ‘Fid Q’ na Erick Msodoki ‘Young Killer’, wanatarajiwa kupokelewa kifalme mkoani humo baada ya kuchukua tuzo za muziki...
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-iTdyopoVJEw/VFoD-Pc1-EI/AAAAAAAABPY/Lzok7wxOLRQ/s72-c/Young%2BKiller%2Bartwork.jpg)
10 years ago
Bongo509 Oct
Picha: Fid Q na Young Killer waingia mtaani kushoot video ya ‘13’ muongozaji ni..
10 years ago
Bongo511 Oct
Nisher: Tumekasirika sana round hii, aongoza video ya ’13’ ya Young Killer f/ Fid Q
11 years ago
Bongo507 Jul
Young Killer kuachia video ya wimbo ‘My Power’,july 12
9 years ago
Bongo521 Oct
Barnaba arekodi wimbo na Jose Chameleone
11 years ago
Michuzi18 Feb
9 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
9 years ago
Bongo502 Nov
Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee
![mtu chee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mtu-chee2-94x94.jpg)