Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Youssou Ndour ndiye mwanamuziki tajiri

Usanii wa muziki ni miongoni mwa kazi zinazolipa vizuri duniani.Hatahivyo si kila mtu anayefanikiwa katika sekta ya muziki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Je, Mwanamuziki Burna Boy, ndiye bora zaidi Afrika?

Mwanamuziki Burna Boy amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii hasa nchini Nigeria baada ya kuandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba yeye ndiye mwanamziki bora Zaidi.

 

9 years ago

Michuzi

HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE

Ni jambo lilo wazi kuwa watu wote hawawezi kuwa sawa, hivyo watu wote hawawezi  kuwa matajiri. Hivyo kulipo na matajiri  wakubwa na  maskini nao ni wengi. Kwa sababu tajiri na maskini wanategemeana.  Utajiri hauwezi kuwepo bila kuwepo umaskini.Kwa mantiki hiyo ili tajiri awepo maskini lazima awepo na   maskini akiwepo  na tajiri atakuwepo, wote wanategemeana. Kanuni hii ni kwa watu na hata nchi.Ni kweli matajiri wanachukia umaskini  na maskini wenyewe wanatamani utajiri. Hivyo si rahisi kwa...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: J. Martins ft. Youssou N’Dour — Time Is Now

J.Martins ametoa wimbo aliofanya collabo na mwimbaji mkongwe wa Senegal, Youssou n’dour uitwao “Time Is Now”. Ujumbe mkubwa ulioko kwenye wimbo huu ni, muda ni sasa wa kufanya mabadiliko tunayoyataka kwaajili ya Afrika.

 

9 years ago

GPL

YOUSSOU N’DOUR ANAOGELEA KWENYE UTAJIRI

Mwanamuziki kutoka nchini Senegal, Youssou N'Dour.  YOUSSOU N’dour ni mwanamuziki kutoka nchini Senegal barani Afrika. Anatumia staili Mbalax ambao ni mchanganyiko wa lugha za asili nchini Senegal ikijumuisha rhumba, jazz, rocky, pop na soul. Jarida la People With Money la Afrika Magharibi limemtaja kwa mara nyingine kuongoza kwa utajiri mwaka 2015 kwa upande wa wasanii wa Afrika akiwa na utajiri wa Dola milioni 145 (zaidi...

 

10 years ago

Bongo5

Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha

Baada ya kuachia video mpya ‘Njoo’ iliyoongozwa na director Enos Olik, Shaa amezungumzia mambo kadhaa kuhusu collabo hiyo mpya na star mkubwa wa Kenya, Redsan ikiwemo sababu za kumchagua kumshirikisha pamoja na mtu aliyemsaidia kumpata Redsan kiurahisi na kufanya nae kazi. Shaa amesema baada ya kufanya utafiti aligundua Redsan ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya ambaye […]

 

10 years ago

GPL

TAJIRI J4 MWANZA ABANWA

Na Waandishi Wetu, Mwanza IKIWA ni takriban zaidi ya wiki moja imepita baada ya Mkurugenzi wa Mabasi ya J4 Express, Juma Mahende ‘J4” kudaiwa kuua kwa kuwapiga risasi wafanyabiashara wenzake wawili, kigogo huyo amebanwa na polisi kuhusiana na mauaji hayo. . ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1LzCfXx

 

9 years ago

Raia Mwema

Tajiri wa makontena abainika

MIONGONI mwa wafanyabiashara waliohifadhi makontena yenye utata katika malipo ya kodi kwenye Band

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

MUME KWA MKE TAJIRI

UME KWA MKE TAJIRI Mke akiwa tajiri, mwanamume maskini Hana uwezo fakiri, mke hatamthamini Natunga hili shairi, nisemayo naamini Mume kwa mke tajiri

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana tajiri Afrika ni Mtanzania

Mfanyabiashara na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29, akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani