Youssou Ndour ndiye mwanamuziki tajiri
Usanii wa muziki ni miongoni mwa kazi zinazolipa vizuri duniani.Hatahivyo si kila mtu anayefanikiwa katika sekta ya muziki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Je, Mwanamuziki Burna Boy, ndiye bora zaidi Afrika?
Mwanamuziki Burna Boy amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii hasa nchini Nigeria baada ya kuandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba yeye ndiye mwanamziki bora Zaidi.
9 years ago
Michuzi03 Sep
HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE
Ni jambo lilo wazi kuwa watu wote hawawezi kuwa sawa, hivyo watu wote hawawezi kuwa matajiri. Hivyo kulipo na matajiri wakubwa na maskini nao ni wengi. Kwa sababu tajiri na maskini wanategemeana. Utajiri hauwezi kuwepo bila kuwepo umaskini.Kwa mantiki hiyo ili tajiri awepo maskini lazima awepo na maskini akiwepo na tajiri atakuwepo, wote wanategemeana. Kanuni hii ni kwa watu na hata nchi.Ni kweli matajiri wanachukia umaskini na maskini wenyewe wanatamani utajiri. Hivyo si rahisi kwa...
10 years ago
Bongo527 Jan
New Video: J. Martins ft. Youssou N’Dour — Time Is Now
J.Martins ametoa wimbo aliofanya collabo na mwimbaji mkongwe wa Senegal, Youssou n’dour uitwao “Time Is Now”. Ujumbe mkubwa ulioko kwenye wimbo huu ni, muda ni sasa wa kufanya mabadiliko tunayoyataka kwaajili ya Afrika.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PtBnzvaIyMbf3BF7KKui5aEUTjjMslwaiqei6njOe6m9-1b7SOSyAIrKfXozq-Xt1lazOeH8zoJ5m1LYMMcZKwkZvMG6LFmK/youssou_2142835b.jpg?width=650)
YOUSSOU N’DOUR ANAOGELEA KWENYE UTAJIRI
Mwanamuziki kutoka nchini Senegal, Youssou N'Dour. YOUSSOU N’dour ni mwanamuziki kutoka nchini Senegal barani Afrika. Anatumia staili Mbalax ambao ni mchanganyiko wa lugha za asili nchini Senegal ikijumuisha rhumba, jazz, rocky, pop na soul. Jarida la People With Money la Afrika Magharibi limemtaja kwa mara nyingine kuongoza kwa utajiri mwaka 2015 kwa upande wa wasanii wa Afrika akiwa na utajiri wa Dola milioni 145 (zaidi...
10 years ago
Bongo501 Nov
Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha
Baada ya kuachia video mpya ‘Njoo’ iliyoongozwa na director Enos Olik, Shaa amezungumzia mambo kadhaa kuhusu collabo hiyo mpya na star mkubwa wa Kenya, Redsan ikiwemo sababu za kumchagua kumshirikisha pamoja na mtu aliyemsaidia kumpata Redsan kiurahisi na kufanya nae kazi. Shaa amesema baada ya kufanya utafiti aligundua Redsan ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya ambaye […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3d31H8i-xQqPjNe0DOE-qdPza2ujNCOBkjKvfJXujBzdj0OOT6T8CXwXK3Xf6IyfCIlYkHCJB922fMyaSVTOYZ2/BACKUWAZI.gif?width=650)
TAJIRI J4 MWANZA ABANWA
Na Waandishi Wetu, Mwanza
IKIWA ni takriban zaidi ya wiki moja imepita baada ya Mkurugenzi wa Mabasi ya J4 Express, Juma Mahende ‘J4†kudaiwa kuua kwa kuwapiga risasi wafanyabiashara wenzake wawili, kigogo huyo amebanwa na polisi kuhusiana na mauaji hayo. . ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1LzCfXx
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Tajiri wa makontena abainika
MIONGONI mwa wafanyabiashara waliohifadhi makontena yenye utata katika malipo ya kodi kwenye Band
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi05 Jun
MUME KWA MKE TAJIRI
UME KWA MKE TAJIRI
Mke akiwa tajiri, mwanamume maskini
Hana uwezo fakiri, mke hatamthamini
Natunga hili shairi, nisemayo naamini
Mume kwa mke tajiri
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Kijana tajiri Afrika ni Mtanzania
Mfanyabiashara na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29, akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania